Kubwajinga
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,194
- 297
Ingekuwa vema mtikila akatufahamisha hao wengine waliomkopesha maana kwa hali hii, sitashangaa kuona kuwa hata akina Lowassa, Chenge na marehemu Billali wote wanamdai.
hivi Mtikila anapata ruzuku, si najua kuwa chama chake hakijasajiliwa rasmi na msajili wa serikali kama chama cha siasa ingawa kipo,au?
Maana nilifikiri wanaopata ruzuku ni wale wenye wabunge tu, au?
DP ya Mtikila haipati ruzuku yoyote kwa sababu haina Mbunge hata mmoja na haina Diwani hata mmoja. Lakini mimi namwona Mtikila kuwa shujaa: kachukua fedha ya RAI lakini tofauti na Wabongo wengine, "fadhila" hiyo haijamfunga mdomo pale inapobidi kumshughulikia RAI. Kirefu cha RAI ni Rostam Aziz of Iran.hivi Mtikila anapata ruzuku, si najua kuwa chama chake hakijasajiliwa rasmi na msajili wa serikali kama chama cha siasa ingawa kipo,au?
Maana nilifikiri wanaopata ruzuku ni wale wenye wabunge tu, au?
Mtikila na Rostam lao moja: Ila kwa sasa Rostam anaweweseka na siku si nyingi wanasiasa na waandishi watakaomgeuka nao atawataja na fedha alizowapa. Jambo la msingi ni kwamba, siku mtikila anakabidhiwa hizo fedha zinaoana na siku Mtikila alipofungua kesi dhidi ya gazeti la Mwanahalisi, na siku alipofungua kesi dhidi ya Mwanahalisi, ndio siku Rostam alifungua kesi dhidi ya Mwanahalisi. Hapo kuna kazi kweli kweli. Lakini kwa CCM wanapaswa kumfukuza Rostam kwa kushirikiana na wapinzani tena kwa kuwafadhili dhidi ya serikali na chama chao
Umefuatilia issue ya Mtikila, TIB na wahindi? Nyumba yake ilivyopigwa mnada halafu akarudishiwa kinyemela na wahindi?
What more do you need?
Mtikila kweli umetuangusha Mchungaji wewe. kumbe na wewe ulipewa tena ulipewa tarehe ambazo mambo ya UFISADI ndo yalikuwa yanaunguruma sana hapa nchini. eti mkopo kwa nini hukwenda benki kukopa? Wachungaji wetu Mhhhhh