Yegomasika
JF-Expert Member
- Mar 21, 2009
- 13,164
- 61,276
Ha ha ha..ni kutaka kujua tu ndugu yangu, halafu kwenye hayo mapango unaweza kukurupushwa na chatu huko, nasikia kuna chatu wakubwa kishenzi huko!.duh ndugu kuna kaharufu kama na wewe unataka geuka treasure hunter.Ukitaka jua kuna kitu waangalie wajerumani wanaokuja, wape escort, anyalyse maswali yao, na jinsi gani wana jiweka mbali na historia yao huku wakijifanya kuwa wanataka juwa african something, angalia vitabu wanavyoungua bila kuwashtua,kwani wakiona kuwa ni mjana san anao watakuwa wakificha reference zao wanapopajua, jaribu wauliza kam wana interest ya kuwekeza maeneo fulani ya sehemu walizo too curious.Then ujue kuna sehemu wameficha mzigo.Ila ukiona tofauti ujue kuwa ni historia tuu.Hawa jamaa wana documentation zote kule kwao, ila kwa sasa wanpata shida kidogo wanapojitahidi update info kwa GPS.Kwa vile maeneo mengi wabongo wameyavuruga sana.
Ukienda kichwkichwa utajikuta unafumua mahandaki ya mabomu, waliyoficha wajerumani kabla ya kuchapwa na muingereza.Dogo aombe mUngu asijikute ktk handaki lililotoswa.
Nilichosikia ama kinachosemwa ni kuwa Riz alienda Ukerewe katika kisiwa Kidogo cha Ukara, huko alikuwa na lengo la kupelekwa katika jengo la Zamani la Mjerumani.
Inadaiwa ili kufanikisha lengo alienda na gear ya kutaka Uganga (kwa mtu huyo) na akaingiza na hiyo ya kutaka apelekwe hapo mahali kwenye hiyo nyumba waliyokuwa wanakaa wajerumani akidai kuna mali nyingi zimefichwa hapo, lakini aliyemtaka kumpeleka alimgomea akidai hajui lolote na kwamba naye ndio kwanza anayasikia toka kwake.
Labda walioko huko watujuze zaidi....
Hawa jamaa si walikuwa na mkutano
Watanzania wanajua kinachoendelea; usidhani hawajui. Nimedokeza kidogo tu na watu wameanza kufunguka so the bottom line ni kuwa inawezekana kweli kuna hazina ilifichwa wakati wa Mjerumani?
Watanzania wanajua kinachoendelea; usidhani hawajui. Nimedokeza kidogo tu na watu wameanza kufunguka so the bottom line ni kuwa inawezekana kweli kuna hazina ilifichwa wakati wa Mjerumani?
wajerumani walipata mashinikizo mengi sana, baada ya vita za dunia na wao kupoteza makoloni yao.wameficha documents, na tresures nyingine nyingi tuu ambazo si lazima ziwe vito vya thamani.Waliweka mahandani yenye silaha, waliweka plans zao, na walimap vizuri kiasi cha kuwafanya wajerumani waliopo Ujerumani kuweza track hizo sites.Wenzetu walijuwa kubeba hivyo vitu kwa kipindi kifupi kilichokuwepo haikuwa salama njiani, na isingewasaidia kurudi baadaye, pia hawakuw ana hakika wangefikisha kwako vitu vyote kam serikali yao iliyokuwa chini ya HItler ingeweza vitumia vyema.
Kuna tetesi kuwa wazee waliowasindikiza walipochimba mashimo walifukiwa na kufia hukohuko ili siri zife nao.Wabongo wamekuwa wakiogopa sana hizo sehemu kw akuhusisha na mizimu.Kuna majaribio nchi nzima ya kutumia uganga na mambo mengine kw aiamni kuwa wajerumani walitambika watu iliw alinde hayo maendeo.Hii imechnagia sana mauaji ya wazee na watoto na albino ili kupata chambo ya kutambika.Ukweli ni kwamba wajerumani wali encode traces na instructions zao.Ndio maana wenztu wanatumia muda mrefu kuja huku kujitolea na kuweza test kama wamezielewa na usahihi wake.
Mwana mfalme anaweza umbuka akikuta madini, mabomu , na mengine.Pengine serikali ilipasw alinda hayo maeneo na ili wabongo wasivuruge mpangilio, ili wataalamuw etu wa mambo ya kale na tamaduni za dunia waje decode.Tunaweza pata elimu kubwa sana kwa taifa pamoja utajiri.kama Spain walipokuja juu baad ya mataifa kugundua meli zilizozama na dhahabu ambao wafanyabiashara wa kihispania walipozama nazo.Ingawa debate inaweza kuwepo km kweli wan auhalali au walipora.
Kwa ujinga wa magamba watakwenda haibu vitu bure tu kama kenge aingiapo ktk kiota cha ndege huwa naavuruga kila kitu kabla ya kul amayai na makinda kama yapo.Mbaya wajerumani wanakuja kwa fujo kutufadhili ktk kila nyanja.Haswa maji kwani maji huanzia milimani, penye mapango na mahandaki, na afya ili wafike vijiji vilivyochoka na vyenye historia .
Wasomi wa UDSM wapo busy kufanya tafiti za mamabo yanayorudia kwani hayo ndio wanayoweza jiaminisha hata jinsi ya kuandaa tafiti.hakuna mwenye ni aya ku unlock the mysteries behaind german practices in Tanzania.
Nicholas umenifungua macho kwa kweli kwa elimu yako hii. Kwa nini tusiigawe hii elimu kwa watanzania wote ili waelewe kwamba wazungu wanapokuja kwetu siyo kutalii tu, yawezekana kuna mengine wanafuatilia.
Kuhusu Wajerumani, naweza kukubaliana na wewe kuhusu kuficha mali kwani hata kule kwao waliharibu mpaka miundo mbinu yao. Lakini kwa sasa nasikia wajerumani wapo bega kwa bega na CDM. CDM mumewachunguza hawa watu wanatafuta nini Tanzania?
kweli kwenye watu wengi kuna mawazo mengi...inawezekana dogo akawa amefuata hiyo mambo.Hapo issue itageuka kuwa kichekesho tuu.Mwanakijiji amepoteza dira kabisa sasa kama amefuata Mkuyati au kumvuta aliye mbali sisi inatuhusu nini?
wajerumani walipata mashinikizo mengi sana, baada ya vita za dunia na wao kupoteza makoloni yao.wameficha documents, na tresures nyingine nyingi tuu ambazo si lazima ziwe vito vya thamani.Waliweka mahandani yenye silaha, waliweka plans zao, na walimap vizuri kiasi cha kuwafanya wajerumani waliopo Ujerumani kuweza track hizo sites.Wenzetu walijuwa kubeba hivyo vitu kwa kipindi kifupi kilichokuwepo haikuwa salama njiani, na isingewasaidia kurudi baadaye, pia hawakuw ana hakika wangefikisha kwako vitu vyote kam serikali yao iliyokuwa chini ya HItler ingeweza vitumia vyema.
Kuna tetesi kuwa wazee waliowasindikiza walipochimba mashimo walifukiwa na kufia hukohuko ili siri zife nao.Wabongo wamekuwa wakiogopa sana hizo sehemu kw akuhusisha na mizimu.Kuna majaribio nchi nzima ya kutumia uganga na mambo mengine kw aiamni kuwa wajerumani walitambika watu iliw alinde hayo maendeo.Hii imechnagia sana mauaji ya wazee na watoto na albino ili kupata chambo ya kutambika.Ukweli ni kwamba wajerumani wali encode traces na instructions zao.Ndio maana wenztu wanatumia muda mrefu kuja huku kujitolea na kuweza test kama wamezielewa na usahihi wake.
Mwana mfalme anaweza umbuka akikuta madini, mabomu , na mengine.Pengine serikali ilipasw alinda hayo maeneo na ili wabongo wasivuruge mpangilio, ili wataalamuw etu wa mambo ya kale na tamaduni za dunia waje decode.Tunaweza pata elimu kubwa sana kwa taifa pamoja utajiri.kama Spain walipokuja juu baad ya mataifa kugundua meli zilizozama na dhahabu ambao wafanyabiashara wa kihispania walipozama nazo.Ingawa debate inaweza kuwepo km kweli wan auhalali au walipora.
Kwa ujinga wa magamba watakwenda haibu vitu bure tu kama kenge aingiapo ktk kiota cha ndege huwa naavuruga kila kitu kabla ya kul amayai na makinda kama yapo.Mbaya wajerumani wanakuja kwa fujo kutufadhili ktk kila nyanja.Haswa maji kwani maji huanzia milimani, penye mapango na mahandaki, na afya ili wafike vijiji vilivyochoka na vyenye historia .
Wasomi wa UDSM wapo busy kufanya tafiti za mamabo yanayorudia kwani hayo ndio wanayoweza jiaminisha hata jinsi ya kuandaa tafiti.hakuna mwenye ni aya ku unlock the mysteries behaind german practices in Tanzania.
Kumbukumbu zangu zinaonyesha kua, Hitler aliingia madarakani wakati wajerumani wameshatoka Tanganyika. Kama ni kweli yalifanyika, basi yalifanyika kabla yake.
wajerumani walipata mashinikizo mengi sana, baada ya vita za dunia na wao kupoteza makoloni yao.wameficha documents, na tresures nyingine nyingi tuu ambazo si lazima ziwe vito vya thamani.Waliweka mahandani yenye silaha, waliweka plans zao, na walimap vizuri kiasi cha kuwafanya wajerumani waliopo Ujerumani kuweza track hizo sites.Wenzetu walijuwa kubeba hivyo vitu kwa kipindi kifupi kilichokuwepo haikuwa salama njiani, na isingewasaidia kurudi baadaye, pia hawakuw ana hakika wangefikisha kwako vitu vyote kam serikali yao iliyokuwa chini ya HItler ingeweza vitumia vyema.
Kuna tetesi kuwa wazee waliowasindikiza walipochimba mashimo walifukiwa na kufia hukohuko ili siri zife nao.Wabongo wamekuwa wakiogopa sana hizo sehemu kw akuhusisha na mizimu.Kuna majaribio nchi nzima ya kutumia uganga na mambo mengine kw aiamni kuwa wajerumani walitambika watu iliw alinde hayo maendeo.Hii imechnagia sana mauaji ya wazee na watoto na albino ili kupata chambo ya kutambika.Ukweli ni kwamba wajerumani wali encode traces na instructions zao.Ndio maana wenztu wanatumia muda mrefu kuja huku kujitolea na kuweza test kama wamezielewa na usahihi wake.
Mwana mfalme anaweza umbuka akikuta madini, mabomu , na mengine.Pengine serikali ilipasw alinda hayo maeneo na ili wabongo wasivuruge mpangilio, ili wataalamuw etu wa mambo ya kale na tamaduni za dunia waje decode.Tunaweza pata elimu kubwa sana kwa taifa pamoja utajiri.kama Spain walipokuja juu baad ya mataifa kugundua meli zilizozama na dhahabu ambao wafanyabiashara wa kihispania walipozama nazo.Ingawa debate inaweza kuwepo km kweli wan auhalali au walipora.
Kwa ujinga wa magamba watakwenda haibu vitu bure tu kama kenge aingiapo ktk kiota cha ndege huwa naavuruga kila kitu kabla ya kul amayai na makinda kama yapo.Mbaya wajerumani wanakuja kwa fujo kutufadhili ktk kila nyanja.Haswa maji kwani maji huanzia milimani, penye mapango na mahandaki, na afya ili wafike vijiji vilivyochoka na vyenye historia .
Wasomi wa UDSM wapo busy kufanya tafiti za mamabo yanayorudia kwani hayo ndio wanayoweza jiaminisha hata jinsi ya kuandaa tafiti.hakuna mwenye ni aya ku unlock the mysteries behaind german practices in Tanzania.
Nakumbuka Lowassa akiwa PM alikwenda Ukerewe na kuuliza kwanini nyinyi Wakerewe mnazaana sana (Ukerewe is one of the district where fertility rate is very high). Akajibiwa kwamba "KWASABABU YA SUPU YA VICHWA VYA SAMAKI MZEE".
Je hilo ndilo pia amefuata Ridhwani Ukerewe?!