msimamia kucha
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 771
- 643
Redio ya taifa ni radio 1pekee
tatizo la nchi za kiafrika, baba akiwa Rais basi mtoto naye ni Rais mama pia ni Rais - kazi tunayo.
Acha umbeya wako;
Kwani kasema uongo?
Acha umbeya wako;
Kwani kasema uongo?
Nakubaliana na hoja yako na ulicho kiandika ndio hicho CCM tunakitaka.
Kama utakumbuka kauli ya rais, alisema hana tatizo na serikali tatu, kama utakumbuka kauli ya Nape kama msemaji wa chama, alisema CCM haina tatizo na serikali tatu kama Watanzania wakihitaji.
Jambo ambalo sikubaliani nalo ni hizo kauli za wapinzani kama vile, "Tanganyika haiepukiki", mara "bila Tanganyika patachimbika" etc
Kauli hizo ni wazi kuwa zimekaa kishari na zina viashiria vya uvunjifu amani. Sasa niwahikikishie wote wenye kauli hizo, endapo watathubutu kujaribu kwa namna yoyote kuidai Tanganyika kimabavu, basi nitakuwa mstari wa mbele kushinikiza FFU kuwaua tena kwa kuwapiga risasi za kichwa watu wote wa aina hiyo.
Hatuwezi kuendelea kuvumilia kauli za wapuuzi wachache wanaotaka kuingiza nchi yetu kwenye machafuko kisa matamanio yao kwa Tanganyika. Wakileta fujo wataenda kukutana na Tanganyika yao kuzimu.
nilikuwa namsikiliza riziwani mtoto wa jk akiongea times fm leo hii dah! Hata kama ni mtoto wa mkuu wa kaya ila ana dharau,
namnukuu "kuna watu ambao wameshamaliza muda wao wa kuishi,muda wao wa kucheka hapa duniani lakini ndio wa kwanza kushadadia serikali tatu, namshangaa warioba anavyopayuka kuwa anataka serikali tatu, kila siku anafanya interview kwenye redio tv na magazeti,ameshikilia maoni ya watu kama yake binafsi. Mbona wakati akiwa kijana na akiwa waziri hakuwahi kudai serikali tatu ila alikuwa anashikilia serikali mbili? Iweje leo anapayuka kudai serikali tatu?
Ila kwa sentensi hiyo kanikoroga akili! Kumbe naye anataka serikali mbili,warioba kutetea hoja za wananchi imekuwa nongwa sana kwa watu wa ccm?
Ridhiwani umeniboa!
ukiendelea kuongea hivi bila kufikiria mara mbili, tofauti yako na ridhiwani itakua ni ndogo sana.
Wachen wafuwazike wafuwao
Kwa wale ambao wamefika chuo kikuu na kupata angalau shahada moja, hemu tuwe mstari wa mbele kusaidia wale ambao hawakupata elimu.
Ndugu zangu, katika kukusanya maoni ya watu, kuna njia mbalimbali hutumika, na matumizi ya njia hizo ndio zitapelekea uhalali wa data zilizopatikana na hivyo matokeo ya tafiti.
Kwa njia alizotumia Warioba na vibaraka wake, ni wazi kuwa "data" zake hazina uhalali wowote kwa kuwa sio data za kisayansi.
Mtafiti hawezi kukusanya maoni ya kajikundi fulani cha wananchi (ambacho labda kanataka serikali 3) halafu aje ahitimishe kuwa wananchi wanataka serikali tatu. Huo ni wendawazimu.
Yeye kama mwenyekiti wa tume akupaswa ku-generalize, angesema tu kwa mujibu wa data, idadi hii ilitaka hivi, hiyo ilitosha. Ila sio kudanganyana kuwa Watanzania tunataka serikali tatu kwa kutumia maoni ya watu 30,000.
Hata standards za sampling pekee zinatosha kuikataa rasimu ya Warioba.
Nilikuwa namsikiliza Riziwani mtoto wa Jk akiongea Times Fm leo hii dah! Hata kama ni mtoto wa Mkuu wa Kaya ila ana dharau,
Namnukuu "Kuna watu ambao wameshamaliza muda wao wa kuishi,muda wao wa kucheka hapa duniani lakini ndio wa kwanza kushadadia Serikali tatu, namshangaa Warioba anavyopayuka kuwa anataka Serikali tatu, Kila siku anafanya interview kwenye redio tv na magazeti,ameshikilia maoni ya watu kama yake binafsi. Mbona wakati akiwa kijana na akiwa Waziri hakuwahi kudai Serikali tatu ila alikuwa anashikilia serikali mbili? Iweje leo anapayuka kudai serikali tatu?
Ila kwa sentensi hiyo kanikoroga akili! Kumbe naye anataka Serikali mbili,Warioba kutetea hoja za wananchi imekuwa nongwa sana kwa watu wa CCM?
Ridhiwani umeniboa!
hivi wana-CCM hawakutoa maoni yao?achen kuweweseka!