tatizo la nchi za kiafrika, baba akiwa Rais basi mtoto naye ni Rais mama pia ni Rais - kazi tunayo.
Mbona ume-panic baada ya kuelezwa ukweli!?
Tulia tuli na uliweke kalio sawa sindano ikuingie!!!
Hapana, nahisi labda hukupata nafasi ya kukutana na tume. Otherwise sioni sababu ya kupinga kilicholetwa na tume.
Mwisho wa siku wananchi wote tutapiga kura kupata mustakabali wa nchi yetu. Wajumbe wa bunge la katiba nao hawafiki 1k. Bado hata maamuzi yao hayataashiria matakwa ya watanzania wote.
Tunajenga nyumba moja hakuna sababu ya kunyang'anyana fito kwa jazba.
Nakubaliana na hoja yako na ulicho kiandika ndio hicho CCM tunakitaka.
Kama utakumbuka kauli ya rais, alisema hana tatizo na serikali tatu, kama utakumbuka kauli ya Nape kama msemaji wa chama, alisema CCM haina tatizo na serikali tatu kama Watanzania wakihitaji.
Jambo ambalo sikubaliani nalo ni hizo kauli za wapinzani kama vile, "Tanganyika haiepukiki", mara "bila Tanganyika patachimbika" etc
Kauli hizo ni wazi kuwa zimekaa kishari na zina viashiria vya uvunjifu amani. Sasa niwahikikishie wote wenye kauli hizo, endapo watathubutu kujaribu kwa namna yoyote kuidai Tanganyika kimabavu, basi nitakuwa mstari wa mbele kushinikiza FFU kuwaua tena kwa kuwapiga risasi za kichwa watu wote wa aina hiyo.
Hatuwezi kuendelea kuvumilia kauli za wapuuzi wachache wanaotaka kuingiza nchi yetu kwenye machafuko kisa matamanio yao kwa Tanganyika. Wakileta fujo wataenda kukutana na Tanganyika yao kuzimu.
Kuwa mtumwa sio lazima uuzwe ama kupigwa minyorroro miguuni kama walivyofanywa mababu zetu enzi zao, jamii yoyote ikiisha kushindwa kujielewa ni wapi walipo basi ni zaidi ya utumwa na wakati huo huo mtu mwenye macho anapofanya matendo sawa sawa na kipofu ni hatari zaidi ya yule mwenye upofu wa kweli.
Serikali ya CCM ni serikali huria ambayo kila mtu anaweza kujiamulia mambo yake tu kwa kuwa hakuna chombo ndani ya chama cha kumonitor wanayofanya mashabiki wake. Kitatoka wapi chombo hicho wakati kila mmoja yupo kwa ajili ya nafsi yake tu? Leo Ridhwan kasema hivi kesho kafanya vile ni upuuzi...
Pamoja na taaluma yake ya sheria ambayo hata hivyo ni ya kubebwa alistahili kuona mbali kwa kufahamu ukweli ametumia vyema fursa kutoka kwa baba yake kujilimbikizia mali na kwamba siasa ni mchezo wa fitna, kwamba enrolment yake kwenye siasa ingeweza kumpunguzia baba yake credibility of which iko chini na kuprove dhana iliyopo vichwani mwa watu kwamba kila analolifanya ni elekezi kutoka ikulu.
Nilikuwa namsikiliza Riziwani mtoto wa Jk akiongea Times Fm leo hii dah! Hata kama ni mtoto wa Mkuu wa Kaya ila ana dharau,
Namnukuu "Kuna watu ambao wameshamaliza muda wao wa kuishi,muda wao wa kucheka hapa duniani lakini ndio wa kwanza kushadadia Serikali tatu, namshangaa Warioba anavyopayuka kuwa anataka Serikali tatu, Kila siku anafanya interview kwenye redio tv na magazeti,ameshikilia maoni ya watu kama yake binafsi. Mbona wakati akiwa kijana na akiwa Waziri hakuwahi kudai Serikali tatu ila alikuwa anashikilia serikali mbili? Iweje leo anapayuka kudai serikali tatu?
Ila kwa sentensi hiyo kanikoroga akili! Kumbe naye anataka Serikali mbili,Warioba kutetea hoja za wananchi imekuwa nongwa sana kwa watu wa CCM?
Ridhiwani umeniboa!
Acha umbeya wako;
Kwani kasema uongo?
Naunga mkono hoja zake
Unamwekea maneno Riz 1,sio kweli
"Chadema iki ingia Ikulu Bangi na Gongo itaruhusiwa kuuzwa"-Dr Slaa
Acha umbeya wako;
Kwani kasema uongo?