Winston Mtanzania
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 340
- 117
Nasikia nchi imeuzwa kwa jamaa mwingine
Tatizo katokana na Zinaa hana adabu.MUNGU peke yake ndiyo anajua kusudi la kuwepo hai Warioba na kila aliye hai ulimwenguni maana ndiye anayetuwezesha kupumua.Punguani Riz anaonyesha uchawi mapemaaaa.Baba yake JK akifika umri gani anatakiwa asiendelee kuwepo Duniani?.Kijana ameonyesha Ukw.ere wake halisi....maneno machafu kwenye hoja yanafaya hoja iwe chafu na yanamtambulisha mtoa hoja mwenyewe.
tatizo la nchi za kiafrika, baba akiwa Rais basi mtoto naye ni Rais mama pia ni Rais - kazi tunayo.
tatizo la nchi za kiafrika, baba akiwa Rais basi mtoto naye ni Rais mama pia ni Rais - kazi tunayo.
Nilikuwa namsikiliza Riziwani mtoto wa Jk akiongea Times Fm leo hii dah! Hata kama ni mtoto wa Mkuu wa Kaya ila ana dharau,
Namnukuu "Kuna watu ambao wameshamaliza muda wao wa kuishi,muda wao wa kucheka hapa duniani lakini ndio wa kwanza kushadadia Serikali tatu, namshangaa Warioba anavyopayuka kuwa anataka Serikali tatu, Kila siku anafanya interview kwenye redio tv na magazeti,ameshikilia maoni ya watu kama yake binafsi. Mbona wakati akiwa kijana na akiwa Waziri hakuwahi kudai Serikali tatu ila alikuwa anashikilia serikali mbili? Iweje leo anapayuka kudai serikali tatu?
Ila kwa sentensi hiyo kanikoroga akili! Kumbe naye anataka Serikali mbili,Warioba kutetea hoja za wananchi imekuwa nongwa sana kwa watu wa CCM?
Ridhiwani umeniboa!
Ulishaambiwa alikuwa hana kichwa akawekewa boga akawa rais je mtoto wa mwenye kichwa cha boga itakuwaje?
Aisee kama ametamka maneno haya kweli kakosa staha hata kama ni siasa ndo amseme hivyo mzee wa watu. Ndo matatizo ya kuwa na mfumo wa kifalme vinginevyo heshima ingalikuwepo. Yeye ana uhakika gani wa kuishi daima dumu kwani hajaona vijana wanatangulia na wazee wanabaki all in all uhai anao Mungu.Nilikuwa namsikiliza Riziwani mtoto wa Jk akiongea Times Fm leo hii dah! Hata kama ni mtoto wa Mkuu wa Kaya ila ana dharau,
Namnukuu "Kuna watu ambao wameshamaliza muda wao wa kuishi,muda wao wa kucheka hapa duniani lakini ndio wa kwanza kushadadia Serikali tatu, namshangaa Warioba anavyopayuka kuwa anataka Serikali tatu, Kila siku anafanya interview kwenye redio tv na magazeti,ameshikilia maoni ya watu kama yake binafsi. Mbona wakati akiwa kijana na akiwa Waziri hakuwahi kudai Serikali tatu ila alikuwa anashikilia serikali mbili? Iweje leo anapayuka kudai serikali tatu?
Ila kwa sentensi hiyo kanikoroga akili! Kumbe naye anataka Serikali mbili,Warioba kutetea hoja za wananchi imekuwa nongwa sana kwa watu wa CCM?
Ridhiwani umeniboa!
Tatizo vijana wengi huwa hawapigi kura hili ndilo tatizo kubwa hapa kwetu. Wengine wanapewa ujira mdogo tu wanaacha kutetea maslahi ya nchi wanaweka mbele siasa na uchama. Tumuombe Mungu atusadie bara letu la africa kwani watawala wake wengi wanafanana.Mungu tubariki vijana tuelewe huu uzandiki na kupinga kwa nguvu zote.:amen::amen:
Acha umbeya wako;
Kwani kasema uongo?
Haka ka jamaa kakipata madaraka katakuwa kama yule Kim wa N. Korea
Mkuu ukiwa ndani ya System huwezi ona uozo mpaka utoke nje ya system hiyo.Tusubiri naye Ridhiwani
akizeeka, ataanza kudai serikali tatu. Kumbe serikali tatu ni ya sisi
wazee tuliomaliza muda wa kucheka.
Fair play...huu mchezo Vyama vyote vinaufanya. Mfano; Dada yake Tundu Lisu ni mbunge viti maalumu Singida mjini. Joyce Mukya wa Mbowe, n.k n.k Hivyo CHADEMA=CCMKwenye waraka wa
Mwalimu Nyerere "TUJISAHIHISHE" alioutoa Dar es Salaam May 1962
akiwalenga viongozi na wanachama wa TANU mojawapo wa maelekezo yake
namnukuu ...." haifai kuchagua kiongozi kwa sababu ni mjomba, au
ni binamu au ana sauti au ana sura nzuri.....jambo kubwa ni
kuchagua kiongozi mwenye tabia nzuri na anayeiweza kazi..." Nafikiri
viongozi wa serikali na chama cha mapinduzi wamelifumbia macho hili
ndiyo maana wanateua hata girlfriends zao kwenye nafasi ambazo si
kutokuziweza tu bali ni kuwafanya walioteuliwa kubainika ujuha wao!
Quote me!
hapo kwenye fair play hapana mushkeli! tatizo ni pale alipoingilia kazi za MOLA! eti! WARIOBA ni mtu may be asingetakiwa kuwepo! maana naogopa hata kutaja kufru hii wallaaah! takbiiiiir!Fair play...huu mchezo Vyama vyote vinaufanya. Mfano; Dada yake Tundu Lisu ni mbunge viti maalumu Singida mjini. Joyce Mukya wa Mbowe, n.k n.k Hivyo CHADEMA=CCM