Ridhiwani achafua hali ya hewa Times FM

Ridhiwani achafua hali ya hewa Times FM

Leo hii dogo anamwambia warioba hivo cjui itakuaje huko mbeleni
Mkuu subiri Oct 2015 si mbali sana,kuna watu watarefuka ghafla maana huo ufupi wa umbo (Andunje) uko mpaka kwenye akili zao.
 
Huyu ndiye alisema raisi ajaye hatatoka kaskazini? Anayajua mengi atazidi kufunguka zaidi akipata ubunge
 
Nakubaliana na hoja yako na ulicho kiandika ndio hicho CCM tunakitaka.

Kama utakumbuka kauli ya rais, alisema hana tatizo na serikali tatu, kama utakumbuka kauli ya Nape kama msemaji wa chama, alisema CCM haina tatizo na serikali tatu kama Watanzania wakihitaji.

Jambo ambalo sikubaliani nalo ni hizo kauli za wapinzani kama vile, "Tanganyika haiepukiki", mara "bila Tanganyika patachimbika" etc

Kauli hizo ni wazi kuwa zimekaa kishari na zina viashiria vya uvunjifu amani. Sasa niwahikikishie wote wenye kauli hizo, endapo watathubutu kujaribu kwa namna yoyote kuidai Tanganyika kimabavu, basi nitakuwa mstari wa mbele kushinikiza FFU kuwaua tena kwa kuwapiga risasi za kichwa watu wote wa aina hiyo.

Hatuwezi kuendelea kuvumilia kauli za wapuuzi wachache wanaotaka kuingiza nchi yetu kwenye machafuko kisa matamanio yao kwa Tanganyika. Wakileta fujo wataenda kukutana na Tanganyika yao kuzimu.

Mungu mkubwa, usijeshangaa wewe ndio unaenda kukutana na muungano wa serikali-mbili kuzimu!
 
Yani we Mamndenyi unashabikia kijana anayetarajiwa kuwa Mbunge anavyotukana wazee, tena waliolitumikia Taifa hili. Sasa sisi wazee wengine tulio hohehae atatuambia nini wakati tukimtuma akawakilishe kero zetu, ama Chalinze anatarajia kuwawakiliasha vijana tu?

Kule chalinze atawawakilisha hata nyie wazee, na atapata tu Nafasi hiyo maana hao wapinzani hawana cha maana wanachoongea kwenye mikutano yao ya kuomba nafasi ya ubunge, Mfano chadema wanaelezea tu historia ya matukio yao, mala polisi wanatupiga sana, mala oooh... polisi wametuua sana... mala mwenzetu Daudi Mwangosi aliuawa na polisi..." sasa nikasema marehemu Daudi Mwangosi kwani si aliendaga kule kwenye mkutano wa chadema kama Mwandishi wa habari na sio kama kada wa chadema.
 
Last edited by a moderator:
Ccm kwa sasa imesajiri maadui wake wakuu nao ni:
Dr.W.P.SLaa na Yosefu SInde Warioba hawa ni maadui wa viongozi wa Ccm pamoja na familia zao.ila ni bahati mbaya kuwa muda hauko upande wao Ccm.
 
Kutofautiana kimtazamo hakuwezi kuwa chanzo cha kutakiana vifo! Huu si ustaarab kabisa, isitoshe Jaji Warioba, Dr Salim, Jaji Ramadhan, na wengine katika Tume ya Katiba ni wazazi, wana watoto, wajukuu, ndugu kwenye familia zao na sijui watajisikia vipi wakisikia kauli za kutakia vifo wazee wao?
 
Kwa wale ambao wamefika chuo kikuu na kupata angalau shahada moja, hemu tuwe mstari wa mbele kusaidia wale ambao hawakupata elimu.

Ndugu zangu, katika kukusanya maoni ya watu, kuna njia mbalimbali hutumika, na matumizi ya njia hizo ndio zitapelekea uhalali wa data zilizopatikana na hivyo matokeo ya tafiti.

Kwa njia alizotumia Warioba na vibaraka wake, ni wazi kuwa "data" zake hazina uhalali wowote kwa kuwa sio data za kisayansi.

Mtafiti hawezi kukusanya maoni ya kajikundi fulani cha wananchi (ambacho labda kanataka serikali 3) halafu aje ahitimishe kuwa wananchi wanataka serikali tatu. Huo ni wendawazimu.

Yeye kama mwenyekiti wa tume akupaswa ku-generalize, angesema tu kwa mujibu wa data, idadi hii ilitaka hivi, hiyo ilitosha. Ila sio kudanganyana kuwa Watanzania tunataka serikali tatu kwa kutumia maoni ya watu 30,000.

Hata standards za sampling pekee zinatosha kuikataa rasimu ya Warioba.

hizo hela za kuchukua data kwa hvyo unavyoviita vikundi vya watu warioba alitoa mfukoni mwake??? kwa hyo mulimpa mzee wa watu hiyo kazi makusudi ili hali mioyoni mwenu mshachagua serikali zenu? huo ni ubadhirifu wa fedha za umma ni bora mngesema hatuundi tume tumeamua kuwa sirikali mbili tu .
 
Yale ni maoni yake kama mtanzania, ana haki ya msingi kufanya hivyo

Ana haki ya kumshambulia mzee Warioba? Tena kwa kazi aliyofanya kwa uadilifu,au kwa sababu mapendekezo ya tume yamekuwa kinyume cha baba yake dhaifu?
 
chadema inamilikiwa na walevi wa gongo,viroba na bangi

Kwani kila anayepinga msimamo wa ccm ni chadema? Hivi cuf,nccr,tlp,dp ya mtikila wanakubaliana na ccm? Au wakati Makamba alipokuwa anagawa simu mtetee ccm mtandaoni pale lumumba mliaminishwa kuwa mbaya wenu wa kupambana naye ni chadema kwa hiyo kila atakayepinga ni chadema? Au 7000 at work?
 
Hawa watoto wa vigogo lazima tuwakomalie wasitake nao watupelekesha kama baba zao na kibaya zaidi wanatumia majina ya baba zao kuhararisha ukasuku wao,kweli akina Ridhwani,Le Mutuz mna uhalali gani wa kumshambulia Mzee Warioba,na je na sisi tuanze kumshambulia Raisi Kikwete kwa kutaka serikali mbili ilihali wengi wanataka serikali tatu,tunayajua malengo yenu nyie watoto wa vigogo wa CCM,hatutakubali mututawale tena kifkra kama baba zenu walivyofanya,Tanganyika ni ya wote na sio ya kikundi/ccm n.k
 
Kukukoroga kwa kusema ukweli.ngoja nikueleze warioba ni mtu mwenye kisasi dhiidi ya mwalimu nyerere kwa sababu mwalimu are liilaumu serikali ya mwinyi kuwa imejaa rushwa katika wizara mbalimbali.wakati huo warioba alikuwa waziri mkuu.kwa tuhuma hizi mwinyi aldhamiria kumuondo warioba madarakani.kabla ya kuchukua hatua hizo warioba alipata fununu kutoka kwa akina butiku hivyo aliamua kujiuzuru kwa kisingizio cha kuwajibika.huo ndo ukweli kuhusu warioba si lolote si chochote

Turudi kwa riz1 bana wengine hatupendi umbea na udaku walau ungetupa source hizo ni hadithi za jikoni na wanaposukana nywele,kumwambia kuwa siku zake za kuishi zimekwisha ni sawa? Warioba hakuwa peke yake aliongoza tume iliyokuwa na wazee wenye heshina zao nchini kama jaji mkuu mstaafu Augustine Ramadhan, waziri mkuu mstaafu Salim Ahmed Salim just to name the few,nao walikuwa na chuki na Nyerere, kama wangependekeza serikali2 ingekuwa hivi? Tunaacha kujadili hoja tunajadili watu,pity
 
mbona hata sasa hivi vinaruhusiwa!,wauza gongo na bangi wote wanajulikana na magamba,karibu kila kata hapa nchini hiyo biashara ipo,unasemaje haijaruhusiwa?.

Tena dhaifu aliwahi kusema anawajua wauza unga lkn akaogopa kuwataja na riz1 yupo nini?
 
Nakubaliana na hoja yako na ulicho kiandika ndio hicho CCM tunakitaka.

Kama utakumbuka kauli ya rais, alisema hana tatizo na serikali tatu, kama utakumbuka kauli ya Nape kama msemaji wa chama, alisema CCM haina tatizo na serikali tatu kama Watanzania wakihitaji.

Jambo ambalo sikubaliani nalo ni hizo kauli za wapinzani kama vile, "Tanganyika haiepukiki", mara "bila Tanganyika patachimbika" etc

Kauli hizo ni wazi kuwa zimekaa kishari na zina viashiria vya uvunjifu amani. Sasa niwahikikishie wote wenye kauli hizo, endapo watathubutu kujaribu kwa namna yoyote kuidai Tanganyika kimabavu, basi nitakuwa mstari wa mbele kushinikiza FFU kuwaua tena kwa kuwapiga risasi za kichwa watu wote wa aina hiyo.

Hatuwezi kuendelea kuvumilia kauli za wapuuzi wachache wanaotaka kuingiza nchi yetu kwenye machafuko kisa matamanio yao kwa Tanganyika. Wakileta fujo wataenda kukutana na Tanganyika yao kuzimu.
Kauli kama hii Hamy-D ni za chuki iliyokithiri sana mkuu, Yaliyotokea Rwanda yalianza kwa kauli kama hizi hizi.
 
Mkuu, aolewe mara ngapi? Ifweero yeye ni kutukana wale wote wanaompinga jk na riz1. Moja ni baba mkwe na r ba-ha-sha wake.

umeonaeee. hayu ifweero anashabikia hata uchafu wa hao baba na mwana kwa ifweero ni safi kama LULU.
 
Hivi Hawa watoto wackuhizi heshima Hamna kwa wazee wao inamaa mkulu alimteua warioba ili alije adhalilishe mpka na watoto
 
HAMY-D ndg yangu hizo nguvu ungewekeza kwenye ujangiri sasahivi ujangiri ingebaki historia.
 
Back
Top Bottom