Unamwekea maneno Riz 1,sio kweli
"Chadema iki ingia Ikulu Bangi na Gongo itaruhusiwa kuuzwa"-Dr Slaa
Ridhiwan ni mshenz hana adabu
chadema inamilikiwa na walevi wa gongo,viroba na bangi
Ndo wengi sasa wa kuamua juu ya nchi yao,tunasubilia tu uchaguzi wa serikali za mitaa,huku ni kuwahamasisha vijana kujitokeza kujiandikisha kwa wingi
nilikuwa namsikiliza riziwani mtoto wa jk akiongea times fm leo hii dah! Hata kama ni mtoto wa mkuu wa kaya ila ana dharau,
namnukuu "kuna watu ambao wameshamaliza muda wao wa kuishi,muda wao wa kucheka hapa duniani lakini ndio wa kwanza kushadadia serikali tatu, namshangaa warioba anavyopayuka kuwa anataka serikali tatu, kila siku anafanya interview kwenye redio tv na magazeti,ameshikilia maoni ya watu kama yake binafsi. Mbona wakati akiwa kijana na akiwa waziri hakuwahi kudai serikali tatu ila alikuwa anashikilia serikali mbili? Iweje leo anapayuka kudai serikali tatu?
Ila kwa sentensi hiyo kanikoroga akili! Kumbe naye anataka serikali mbili,warioba kutetea hoja za wananchi imekuwa nongwa sana kwa watu wa ccm?
Ridhiwani umeniboa!
Nilikuwa namsikiliza Riziwani mtoto wa Jk akiongea Times Fm leo hii dah! Hata kama ni mtoto wa Mkuu wa Kaya ila ana dharau,
Namnukuu "Kuna watu ambao wameshamaliza muda wao wa kuishi,muda wao wa kucheka hapa duniani lakini ndio wa kwanza kushadadia Serikali tatu, namshangaa Warioba anavyopayuka kuwa anataka Serikali tatu, Kila siku anafanya interview kwenye redio tv na magazeti,ameshikilia maoni ya watu kama yake binafsi. Mbona wakati akiwa kijana na akiwa Waziri hakuwahi kudai Serikali tatu ila alikuwa anashikilia serikali mbili? Iweje leo anapayuka kudai serikali tatu?
Ila kwa sentensi hiyo kanikoroga akili! Kumbe naye anataka Serikali mbili,Warioba kutetea hoja za wananchi imekuwa nongwa sana kwa watu wa CCM?
Ridhiwani umeniboa!