Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,178
- 37,475
Asante kamanda.
Mh.Mtema alikua mlemavu na gari ilikua ya kawaida sio maalumu kwa walemavu.Kifo cha Huyu dada kimenishtua na kunisikitisha sana,she was so lovely.Mwenyezi Mungu awe pamoja nasi katika msiba huu,poleni ndugu , na marafiki.