Dah!......
Speechless....
Upumzike kwa amani rafiki yangu,dada yangu na kiongozi wetu mpendwa...
Umeondoka katika kipindi ambacho Tanzania inakuhitaji hasa....
Kwa heri rafiki.......Umetangulia nasi tuko njiani...
Pole kwa familia, Pole kwa CHADEMA, Pole kwa vijana wote wa Tanzania, Pole kwa wana Kilombero, Pole kwa watanzania kwa jumla...
Hakika hili ni PIGO kwa watanzania........Bala na JF Tutakukumbuka daima dada yetu Gender Sensitive/Regia Mtema
Raha ya milele umpe ee bwana, na Mwanga wa milele umuangazie, apumzike kwa amani......Amina.