Regia Mtema is No More!

Regia Mtema is No More!

Status
Not open for further replies.
Dah so so sad news, inasikisha sana, Mungu awape faraja wafiwa kipindi hiki kigumu cha majonzi..!
 
Yaani sisi binadamu! hamna kitu kabisa! leo hii Regia mtema hatunae tena?
Anywayz rest in peace dada angu mpendwa
 
regia pumzika jana tumemzika dr kibatala miongoni mwa wazawa wa kilombero na alikuwa daktari jabali wa upasuaji....tulikuwa wote wale muhimbili kumuaga katika safari yake ya mwisho..leo wewe umekwenda.....utaniliza sana regia why did u do this to me....daaah pumzika bana
 
Ni huzuni kubwa mpiganaji wa ukweli kututoka,eehe Mungu tusaidie katika hali hi ya huzuni! Rest in piace.
 
[h=6]John Heche
[/h][h=6]Nimepata habari za kutisha na kushitua kwamba Mh Regia mtema( mb) amefariki dunia kwa ajali ya gari leo.[/h]
 
Dah, kazi yake mola haina makosa. R.I.P my bect female Mp 2011
 
RIP Regia Mtema

ni kama ndoto ambayo huenda ikawa siyo tukitoka usingizini.
binafsi nilikuwa nakukubali kwa kuwa ulikuwa mkweli na ulikuwa tayari kutoa ufafanuzi wa mambo mbalimbali hasa hapa JF.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMENI
 
My dear Regia,
Why did you leave us so soon? Why Why Why?
You went too soon, Regia!
Pole pacha wake, pole wafiwa wote.
 
eeeh!!!! kweli maisha ni safari na roho haina spea R.I.P kamanda
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom