Bimsillahi Rrahmani Rrahiimبسم الله الرحمن الرحيم
اللهم انت الملك، لااله الا انت، انت رب وان عبدك، الظلمت نفسي وعترفت بالذنبي، فغفرلي ذنوبي جميع، انه الا يغفر الذنوب الا انت، وحدني لاحسن الاحلاك، لا يهدي لحسنها الا انت، وصرف عني سياهي لا يصرف عني سياهي الا انت، لبيك وسعديك، والحير كله بيديكا، والشر ليس اليكا، انبك واليكا، تباركت ربنا وتعليكا، نستغفروك واتوبي اليكا.
Mola wetu Wewe Ndiye Mfalme, hakuna mwengine ila Wewe tu. Wewe Ndie Mola wetu Mlezi na sisi ni waja Wako. Tumezidhulumu nafsi zetu na sisi ni wenye dhambi. Basi utusamehe sote dhambi zetu, kwani hakuna wa kusamehe dhambi ila WeweBimsillahi Rrahmani Rrahiim
Allahumma antal malik, La ilaha illa anta, Anta rabbi wa ana abduka, Dhwalamtu nafsii waataraftu bidhanbii, Faghfir lii dhunubii jamiia, Innahu la yaghfir dhunub illa anta, Wahdinii liahsanil akhlak, La yahdi lihusniha illa anta, Wasrif anni sayiaha laa yasrif anni sayiaha illa anta, Labbaika wasaadayka, Walhkhayra kullahu biyadayka, Wash sharu laysa ilayka, Anabika wailayka, Tabarakta Rabbana wataalayka, Nastaghfiruka waatubu ilayka.
manchoso
"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
Mwenyezi Mungu wewe ni mfalme, Hakuna Mola apasae kuabudiwa kwa haki isipokuwa wewe, Wewe ndie bwana wangu na mimi ni mja wako, Nimedhulumu nafsi yangu na nakiri kwako nina hatia, Nisamehe madhambi yangu yote hakika hakuna wa kunisamehe dhambi zangu ila ni wewe, Niongoe katika tabia njema kwani hakuna wa kuniongoa katika tabia njema ila ni wewe, Niweke mbali na mabaya kwani hakuna wa kuniweka mbali na mabaya ila ni wewe, Unatoka kwako na uzuri wote u mikononi mwako, Na shari haitokamani nawe, Mimi niko mbele yako Uliyetakasika na Uliyemtukufu, Nakutaka msamaha na natubia kwako.Mola wetu Wewe Ndiye Mfalme, hakuna mwengine ila Wewe tu. Wewe Ndie Mola wetu Mlezi na sisi ni waja Wako. Tumezidhulumu nafsi zetu na sisi ni wenye dhambi. Basi utusamehe sote dhambi zetu, kwani hakuna wa kusamehe dhambi ila Wewe
Nimejaribu japo misyari michache ya mwanzo[emoji3][emoji3][emoji3]
Swadakta uko sahihi kabisa mkuuMwenyezi Mungu wewe ni mfalme, Hakuna Mola apasae kuabudiwa kwa haki isipokuwa wewe, Wewe ndie bwana wangu na mimi ni mja wako, Nimedhulumu nafsi yangu na nakiri kwako nina hatia, Nisamehe madhambi yangu yote hakika hakuna wa kunisamehe dhambi zangu ila ni wewe, Niongoe katika tabia njema kwani hakuna wa kuniongoa katika tabia njema ila ni wewe, Niweke mbali na mabaya kwani hakuna wa kuniweka mbali na mabaya ila ni wewe, Unatoka kwako na uzuri wote u mikononi mwako, Na shari haitokamani nawe, Mimi niko mbele yako Uliyetakasika na Uliyemtukufu, Nakutaka msamaha na natubia kwako.
[emoji120][emoji120][emoji120]
"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
Haya nimekuja kukujibu inshallah kwanza sie tuna utanguliziNamsubiri atujibu maana naamini tuko nae nchi moja sasa kwanini afuate nchi ya mbali!
"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
bismillah naanza kukujibu kwanza mimi sikutangulia kufunga kabla ya mwezi kuonekana ni makosa makubwa na haizingatiwi bali swaumu yako itakuwa batil kwa kutangulia kufunga kabla ya muda wa kufunga kuingiaNamsubiri atujibu maana naamini tuko nae nchi moja sasa kwanini afuate nchi ya mbali!
"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
Nimejibu tyrNamsubiri atujibu maana naamini tuko nae nchi moja sasa kwanini afuate nchi ya mbali!
"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
shukrani🙏Bimsillahi Rrahmani Rrahiim
Allahumma antal malik, La ilaha illa anta, Anta rabbi wa ana abduka, Dhwalamtu nafsii waataraftu bidhanbii, Faghfir lii dhunubii jamiia, Innahu la yaghfir dhunub illa anta, Wahdinii liahsanil akhlak, La yahdi lihusniha illa anta, Wasrif anni sayiaha laa yasrif anni sayiaha illa anta, Labbaika wasaadayka, Walhkhayra kullahu biyadayka, Wash sharu laysa ilayka, Anabika wailayka, Tabarakta Rabbana wataalayka, Nastaghfiruka waatubu ilayka.
manchoso
"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
"Fungeni kwa kuuona mwezi na mfungue kwa kuuona pia", ukifuatilia hadithi mbali mbali za mtume utagundua kwamba katika hayo mafundisho yake kuna kitu kuuona, mtume ametuachia Sunna ambapo ni kufunga kwa kusikia ikiwa mwezi umeonekana kokote kule ulimwenguni. Lakini swala linalokuja ni kwamba sisi na Saudia tupo katika longitude moja (Zone C) kwa hiyo kuna ufanano wa masaa na kitu kama hicho, lakini linapokuja swala la mwezi Saudia wanakuwa wa kwanza kuuona, kwa vile wanatumia vifaa vya kutizamia mwezi kitu ambacho mimi sikubaliani nacho moja kwa moja kwani kwa siku ya jana mwezi ulikuwa ndio umekuwa kwa 0.2% ambapo sio wa kuonekanaHaya nimekuja kukujibu inshallah kwanza sie tuna utangulizi
bismillah naanza kukujibu kwanza mimi sikutangulia kufunga kabla ya mwezi kuonekana ni makosa makubwa na haizingatiwi bali swaumu yako itakuwa batil kwa kutangulia kufunga kabla ya muda wa kufunga kuingia
Mtume SAW ametutaka tufunge kwa kuonekana kwa mwezi na mwezi umeonekana zaidi ya nchi kumi za kiislam na wamefunga hili swali napaswa nikulize Careem kwa nini waislam dunia wamefunga kwa mafundisho hayo ya mtumeSAW
Kwa nini nyinyi mmechelewa kufunga naomba unijibu swali langu la msingi waislam dunian wamefunga ikiwepo MAKKA NA MADINA kwa nini nyinyi mmechelewa kufunga Shadeeya Sesten Zakazaka Careem njoon mujibu nami nimejibu hoja ya careem
ukhuty njoo huku Careem anakuita"Fungeni kwa kuuona mwezi na mfungue kwa kuuona pia", ukifuatilia hadithi mbali mbali za mtume utagundua kwamba katika hayo mafundisho yake kuna kitu kuuona, mtume ametuachia Sunna ambapo ni kufunga kwa kusikia ikiwa mwezi umeonekana kokote kule ulimwenguni. Lakini swala linalokuja ni kwamba sisi na Saudia tupo katika longitude moja (Zone C) kwa hiyo kuna ufanano wa masaa na kitu kama hicho, lakini linapokuja swala la mwezi Saudia wanakuwa wa kwanza kuuona, kwa vile wanatumia vifaa vya kutizamia mwezi kitu ambacho mimi sikubaliani nacho moja kwa moja kwani kwa siku ya jana mwezi ulikuwa ndio umekuwa kwa 0.2% ambapo sio wa kuonekana
View attachment 1428992
na siku ya leo utakuwa umekuwa kwa 3.5% ambapo ni wenye kuonekana.
View attachment 1428994
Kumbuka pia hata mwaka jana Saudia hao hao waliomba radhi kwa kuwalisha watu mchana wa Ramadhan na wakalipa fidia.
"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
Kam mwak jn walifany hivyo lkn jn ulionekan karibu Nchi nying kidog na sio saudia peke yake waliouthibitisha mwezi hiv mfan dar usipouna mwez na mtwar ukaonekan hautafunga mpk dar mwez utoke"Fungeni kwa kuuona mwezi na mfungue kwa kuuona pia", ukifuatilia hadithi mbali mbali za mtume utagundua kwamba katika hayo mafundisho yake kuna kitu kuuona, mtume ametuachia Sunna ambapo ni kufunga kwa kusikia ikiwa mwezi umeonekana kokote kule ulimwenguni. Lakini swala linalokuja ni kwamba sisi na Saudia tupo katika longitude moja (Zone C) kwa hiyo kuna ufanano wa masaa na kitu kama hicho, lakini linapokuja swala la mwezi Saudia wanakuwa wa kwanza kuuona, kwa vile wanatumia vifaa vya kutizamia mwezi kitu ambacho mimi sikubaliani nacho moja kwa moja kwani kwa siku ya jana mwezi ulikuwa ndio umekuwa kwa 0.2% ambapo sio wa kuonekana
View attachment 1428992
na siku ya leo utakuwa umekuwa kwa 3.5% ambapo ni wenye kuonekana.
View attachment 1428994
Kumbuka pia hata mwaka jana Saudia hao hao waliomba radhi kwa kuwalisha watu mchana wa Ramadhan na wakalipa fidia.
"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
Nimekuja
Mwezi ulikuwa na asilimia 0.2, ni ndogo sana katika ukuaji wake kuonekana. Kinachofanyika ni kutumia vifaa kama telescope, haina shaka umaweza kuwa sawa lakini ni kufuatana na Sunna ya mtume.Kam mwak jn walifany hivyo lkn jn ulionekan karibu Nchi nying kidog na sio saudia peke yake waliouthibitisha mwezi hiv mfan dar usipouna mwez na mtwar ukaonekan hautafunga mpk dar mwez utoke
careem amekujibu kisayansi zaid inabidi ukubali yupo sahihNimekuja
Hapana mambo haya hayan usayansi tunafata mtume alivyoamrisha na sio sayansicareem amekujibu kisayansi zaid inabidi ukubali yupo sahih
mwakani usifate wa saudia
aliposema Mtume saw itafuteni elimu hata ikiwa china alimaanisha pia tujifunze sayansi, ukiijua sayansi ndo utamjua na kumuelewa Mungu vizuri zaidi, japokuwa quran tukufu ndo msingi wa elimu zoteHapana mambo haya hayan usayansi tunafata mtume alivyoamrisha na sio sayansi