The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 3,611
- 9,269
View: https://youtu.be/tarwA0cZbcI?si=Wizm2OyFYriZzJzg
View: https://youtu.be/LI58lCwODxQ?si=3O5x8UYnDDmWtSL7
#Kwa wachunguzi wa mambo, wanaona moja kwa moja kuwa kauli hiI ya Rais Ruto imemlenga kumjibu Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania baada ya kauli yake ya wiki hii iliyoonekana kuwalenga wakenya kusema kuwa;
".....wameshindikana kwao, wameharibu amani ya nchi yao na hivyo wasije huku Tanzania kutuvuruga na kuvuruga amani yetu..." Rais Samia Suluhu Hassan
"...Taifa letu la Kenya ni taifa zuri sana, taifa la ajabu, taifa kuu hapa duniani. Hebu asitokee yeyote kuwaambia juu ya mambo hasi (negative things) kuhusu ninyi na taifa/nchi yenu..."; Rais William Ruto