ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,730
- 90,365
Hapa nimeelewa sasa!
Hapa nimeelewa sasa!
Sijawahi lia kiongozi yoyote akifa. Leo nimepatikana mimiNashindwa angalia picha za Rais wangu sasa, siwezi kaza jicho kuzitazama
Machozi yanagoma kuacha kushuka, yanakataaa kabisa najua hata hili litapita
lakini sidhani nimeumia John, Nimeumia Magufuli Kapumzike baba,This is life.
Mungu asante hata kwa hili, acha nikubali na niamini unasababu zako ktk hili. Bye John Bye Dad
Nimefurahi mnoNimeumia mnooo.
Mwenyenzi Mungu isimamie nchi hii shetani asijitwalie utukufu
Wale wote waliofanya kazi karibu na marehemu lazima wapime na kujitibu ama sivyo tutalia sana!
KIFO ni mawaidha toshaDaah, kifo ni sehemu ya Ibada. Sisi tulip hai yatupasa kujiandaa
Namaanisha katika uongozi na mengine mengi mazuri
Jamaniii 🙌🙌 kuna watu taarifa za misiba uwa zinawashtua vibaya hata kama hausiani na marehemu. Usimcheke 😀Hapa napoishi kuna MATAGA mmoja kaja kuniamsha analia hadi makamasi yanii...
Nimejiuliza sana maswali mengi
Gibadolite ya MobutuAya maisha bhn..kwa io ule uwanja wa ndege,mbuga za wanyama kule chatoo ndo bc tena..
Sent from my HUAWEI CRR-L09 using JamiiForums mobile app
Tumepoteza. Lakini hatutapotea
Tumefiwa na atakayeishi nasi milele
Nani nyuma ya Magufuli?
Jibu. Mamilioni ya Watanzania
Nalia nalia nalia nalia nalia nalia sana. Ila naona furaha mpya ya milele.
Kwa hisani ya mtu wa tanzania!