B I N A M U
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 1,495
- 2,393
RIP
Inawezekana kifo cha kijazo kilimshtua sana moyo. Duuh kweli yametukuta.Toka kifo cha kijazi nilijua jamaa hata chukua round,maana kijazi ndio ilikuwa msaidizi wake namba1 yani katika Massa 24 zaidi ya 3/4 yake anakuwa na kijazi kwa update za kiofisi ilikuwa sio rahis yeye kutoboa.
Majaliwa hata uwaziri wa kawaida alipaswa aukose...Kwa hili viongozi wamedharaulika sana hasa PM yaani sijui lengo lao lilikuwa nini?
Mimi niko tayari kumpiga Lisu mawe akisema anarudisha pua yake kuja kugombea tena
Wakristu hushukuru kwa yotemda sio mrefu uliopita, mama SAMIA, ametoka kutangaza kuwa Rais wetu ametuacha kwa maana amefariki dunia.... lakini baada ya kurudia matangazo hayo, mnaweka nyimbo ya tumeuona mkono wake Bwana kwa sehemu yangu nimeshidwa kuelewa maana nillitegemea baada ya matangazo ya msiba wimbo wa kwanza ungekuwa ni wa kufungua maombolezo kama ilivyelekezwa na selikari
mimi nimeuliza tu kuwa mnamaana gani na sio zaidi
exactlyBaada ya kuondoka ndio sasa mtauona umuhim wake
Nakumbuka kampeni za mwaka 2015 walimkazia kuwa ni mgonjwa wakasema Ikulu sio hospitali hatuhitaji raisi mgonjwaMzee Lowasa anasemaje.
Mzee h ishu ya moyo nilikuwa najua tangu akiwa WaziriNi Corona bana,ingekua maradhi ya moyo tungeshaambiwa kitambo tu
Kwani sisi tuliishije?Kasimu ni muongo sana eti nimeongea nae leo.hivi makonda ataishije.
Yupo huko alikoenda Magufuli ambako wewe na mimi tutaenda pia.Mkuu unanionea tu bure. Kwani hakutamka hayo maneno. Samia tusaidie please kujua Bensaa8 yuko wapi? Ukifanya hivyo utatusaidia mioyo yetu
Nakumbuka kampeni za mwaka 2015 walimkazia kuwa ni mgonjwa wakasema Ikulu sio hospitali hatuhitaji raisi mgonjwa
So sad kwa kweli.Kiongozi wa Nchi analazwa tangu tarehe 6 March Wananchi hawafahamishwi tunadanganywa kwamba ni mzima anachapa kazi hadi siku 12 baadaye ndiyo tunafahamishwa amefariki siyo sawa kabisa ni kinyume cha katiba na taratibu za kuongoza Nchi.
Samia itabidi achague mtu strong kumsaidia la sivyo watamsumbua sana. Najaribu kukumbuka jinsi mama Banda alivyopata tabu Malawi na kuishi a kushindwa uchaguzi.Inawezekana kabisa Mkuu maana hili la kupigana vikumbo ili kuhakikisha Samia hachukui Kiti lilikuwa mitandaoni kwa wiki nzima kama siyo zaidi.