Rais tunaomba usikilize vilio vya watanzania, mfumuko wa bei ni mkubwa mno

Mbinu huna ndio maana kutwa kucha kulaumu na kutukana,toka nimekufahamu hujawahi kuja na ushauri wowote zaidi ya matusi na kulaumu.Hii inadhihirisha huna huo uwezo..

Serikali ya CCM imejitahidi kukabiliana na changamoto lukuki ndio maana Leo hii mahali tulipo sio sawa na mwaka 1961..kwa mantiki hiyo hakuna uzembe.

Ukweli unabakia pale pale kwamba gari ya tairi nne haiwezi kwenda kwa speed inayotakiwa ikiwa mojawapo ya tairi imepata shida,hivyo hivyo Kwa Tzn sio kisiwa kama majirani mnaotakiwa kushirikiana hamko pamoja haiwezekani wewe kufika unakotaka..

Nchi ilikuwa kwenye vita na Uganda,Nchi ilikuwa inahigadhi wakimbizi wa Nchi jirani,Nchi ilikuwa inatoa mafunzo na kupeleka askari kufanya ukombozi wa Nchi jirani na Nchi ilikuwa haina wataalamu wa kutosha kwenye fani zote ilipopata uhuru achilia mbali wanachi kuwa wajinga..

Wananchi ndio wanaleta maendeleo ya Nchi na sio Nchi kuwaletea wananchi maendeleo,hii dhana haipo kazinya serikali ninkuweka mazingira wezeshi sasa ukikaa hapo unashindia kiporo unasubiri serikali ikuletee maendeleo utasubiria Sana,unresponsible citizen
hahahhahah eti unashindia kiporo
 
Lini hiyo Tzn uliwahi kuwa tajiri? Kuzuia ni kuzalisha au kuwa na ziada..

Swala la kuzalisha sio la serikali ni la nyie ndio maana Rais kawaambia amewawekea mazingira mazuri hamtakuta ingieni kwenye kilimo tokeni mitandaoni kupiga domo

Elimu umewapa na kuwawezesha kimitaji kujiajili kwenye kilimo?. Masoko ya uhakika yapo?
 
Ni Tanzania pekee duniani mfanyabiashara anaweza kupanga bei aitakayo bila kujali chochote
Serikali kupitia waziri wa viwanda na biashara angalieni mfumuko wa bei nchini hasa bidhaa za msingi ni mkubwa mno.

Ukiuliza kila kitu unaambiwa ni sababu ya vita ya Ukraine na Urusi.

Sio kweli wafanyabiashara wengi sasa wanajificha kwenye vita hiyo kuumiza wananchi kwa kupanga bei kubwa na kunufaika juu ya hiyo vita.

Swali dogo tu hivi hapa Tanzania kila kitu tunachotumia kinatoka Urusi na Ukraine?

Bei ya Mafuta ya kula kwa lita ni 7000/= na baadhi ya mikoa ni 10,000/= na mafuta mengi yanazalishwa nchini.

Kwanini bei iko hivi. Wiki kama mbili binafsi nilifanikiwa kuona mfanyabiashara mmoja wa duka jumla unashusha shehena ya mafuta na kuficha nyumbani kwake ndani ya fensi na kupanga madumu kama 300 kuzunguka uwanja wa nyumba yake. Lakini mtaani ukiuliza unaambiwa bidhaa hii ni adimu sana sababu ya vita na ndio maana bei ni kubwa kitu ambacho si kweli.

Kwanini Serikali inafumbia macho wafanyabiashara wenye tamaa kuumiza raia wao?

Bei ya vifaa vya stationery nayo haikamatiki. Fikiria kufikia mwezi Machi mwanzoni ream ya karatasi ilikuwa ilikuwa Tsh 8000/= kwa pc1 na katoni yenye ream iliuzwa kwa Tsh 40000/= Ila kwa sasa ream 1 tu ni Tsh 15000/= mpaka 18000 baadhi ya maeneo huku katoni ikiuzwa kwa Tsh 65000/= .

Mbona Zanzibar vitu bei ni rahisi sana kwanini huku bara tunanyanyasika na huku Rais wetu umekaa kimya? Huna huruma na watu wa bara? Mbona Rais Mwinyi katangaza kushusha kodi kwa bidhaa za msingi kwa kipindi hiki cha mfungo ili bidhaa zishuke kwanini huku bara inashindikana?

Mheshimiwa Rais kauli yako uliyoisema kuwa bidhaa nyingi zitapanda kwa sababu ya vita na zitazidi kupanda sana imechukuliwa kama fimbo na wafanyabiashara kuumiza raia.

Serikali ya awamu ya tano bei ya Sukari ilipanda sana na ikawa sukari ni adimu sana lkn kwa umakini wao walihundua ni janjajanja ya wafanyabiashara walikuwa wameficha sukari ili wapandishe bei kwa kwa kuwa ni adimu.

Lkn tuliona Serikali imejitokeza na kutangaza bei kikomo kwa mikoa yote na huku ikifanya msako kukamata sukari iliyofichwa. Kwanin sasa inashindikana?

Kiukweli Rais bila kuwa mkali nchi hii hautafanikiwa kwa chochote. Watanzania wengi walishaharibika wakipata fursa wanawaza matumbo yao na kujinemeesha wao kwa wao.

Nchi hii kwa sasa ndo tuseme ni ya watu wachache? Hapo nchi jirani ya DRC bei za bidhaa za msingi zilipanda majuzijuzi tu, lakini tumeona Bunge wamemta waziri anayehusika na biashara ajiuzulu ndani ya masaa48.

Tanzania hapa kila kitu ni kusifia hata ujinga. Bunge letu mmekosa mamlaka kisheria kuchukua hatua mbalimbali kurekebisha mambo nchini?
sio kuomba sema tunamtaka afanye hivyo ni wajibu wake na anapaswa kuwa hivo. Kuombwa ndio kuna mfanya ajisikie Mungu
 
Nchi hii hii Tanzania. Shida mpo wengi mnaotetea hata upuuzi. Rais kauli zake zimechangia kupanda kwa bidhaa. Wafanyabiashara wakubwa wa Tanzania nadhan huwajui vizuri. Hata kama imeadimika sio hivyo unavyodhan. Na usifikirie kila anayeposti anaikosoa Serikali kakaa kizembe. Mimi nina kazi yangu nimejiajili. Kwenye ukwel lazima tuseme hii nchi ya watanzania wote sio wachache wanemeeke tu
Harafu hapa Tzn watu mnadeka Sana,yaani bei zinazolalamikiwa ni ndogo Sana kulinganisha na Nchi zote za EAC.

Kwamba Rais ndio kapandisha bei kwa sababu kawaambia kwamba Bei zitapanda sio? 😄😄 Idiot..

Narudia kukufundisha biashara ni ya ushindani na hakuna mwenye monopoly kwa hiyo ukipandisha tunakimbia.

Narudia pandisha bei hata hapo kwako afu tuone kama utauza shida iko wapi?

Kasome hii article ya BBC itakusaidia 👇

Screenshot_20220405-145122.png
 
Leo nimeenda kununua Tambi za MO ambazo zilikua zinauzwa 1200 Leo wameniambia 1600 nikatoka nduki... Dah kwakweli Mama anafail pakubwa sana kwenye kuzuia mfumuko wa bei.. Jioni hii petrol imeongezwa hadi 2900 hadi 3000 kuanza keshokutwa maana yake nauli lazima itapanda, bei ya vitu nayo itapanda dah naiona nchi yangu ipo kwenye free fall 9.8g/s... Naona km Waziri mkuu kaamua kumuachia liNchi lijiendee linavyoweza lenyewe... Kufikia December Thamani ya shilingi yetu itashuka sana uku bei yakila bidhaa ikiwa haikamatiki..
By December this yr
1KSh =30Tsh mark my words
 
Ikiwa huku ambapo vita haipiganwi na ni mbali kwa kiasi chake na kunakopiganwa vita kupo namna hii vipi huko kwenye vita kwenyewe kuna hali gani ?
 
Ni Tanzania pekee duniani mfanyabiashara anaweza kupanga bei aitakayo bila kujali chochote
Serikali kupitia waziri wa viwanda na biashara angalieni mfumuko wa bei nchini hasa bidhaa za msingi ni mkubwa mno.

Ukiuliza kila kitu unaambiwa ni sababu ya vita ya Ukraine na Urusi.

Sio kweli wafanyabiashara wengi sasa wanajificha kwenye vita hiyo kuumiza wananchi kwa kupanga bei kubwa na kunufaika juu ya hiyo vita.

Swali dogo tu hivi hapa Tanzania kila kitu tunachotumia kinatoka Urusi na Ukraine?

Bei ya Mafuta ya kula kwa lita ni 7000/= na baadhi ya mikoa ni 10,000/= na mafuta mengi yanazalishwa nchini.

Kwanini bei iko hivi. Wiki kama mbili binafsi nilifanikiwa kuona mfanyabiashara mmoja wa duka jumla unashusha shehena ya mafuta na kuficha nyumbani kwake ndani ya fensi na kupanga madumu kama 300 kuzunguka uwanja wa nyumba yake. Lakini mtaani ukiuliza unaambiwa bidhaa hii ni adimu sana sababu ya vita na ndio maana bei ni kubwa kitu ambacho si kweli.

Kwanini Serikali inafumbia macho wafanyabiashara wenye tamaa kuumiza raia wao?

Bei ya vifaa vya stationery nayo haikamatiki. Fikiria kufikia mwezi Machi mwanzoni ream ya karatasi ilikuwa ilikuwa Tsh 8000/= kwa pc1 na katoni yenye ream iliuzwa kwa Tsh 40000/= Ila kwa sasa ream 1 tu ni Tsh 15000/= mpaka 18000 baadhi ya maeneo huku katoni ikiuzwa kwa Tsh 65000/= .

Mbona Zanzibar vitu bei ni rahisi sana kwanini huku bara tunanyanyasika na huku Rais wetu umekaa kimya? Huna huruma na watu wa bara? Mbona Rais Mwinyi katangaza kushusha kodi kwa bidhaa za msingi kwa kipindi hiki cha mfungo ili bidhaa zishuke kwanini huku bara inashindikana?

Mheshimiwa Rais kauli yako uliyoisema kuwa bidhaa nyingi zitapanda kwa sababu ya vita na zitazidi kupanda sana imechukuliwa kama fimbo na wafanyabiashara kuumiza raia.

Serikali ya awamu ya tano bei ya Sukari ilipanda sana na ikawa sukari ni adimu sana lkn kwa umakini wao walihundua ni janjajanja ya wafanyabiashara walikuwa wameficha sukari ili wapandishe bei kwa kwa kuwa ni adimu.

Lkn tuliona Serikali imejitokeza na kutangaza bei kikomo kwa mikoa yote na huku ikifanya msako kukamata sukari iliyofichwa. Kwanin sasa inashindikana?

Kiukweli Rais bila kuwa mkali nchi hii hautafanikiwa kwa chochote. Watanzania wengi walishaharibika wakipata fursa wanawaza matumbo yao na kujinemeesha wao kwa wao.

Nchi hii kwa sasa ndo tuseme ni ya watu wachache? Hapo nchi jirani ya DRC bei za bidhaa za msingi zilipanda majuzijuzi tu, lakini tumeona Bunge wamemta waziri anayehusika na biashara ajiuzulu ndani ya masaa48.

Tanzania hapa kila kitu ni kusifia hata ujinga. Bunge letu mmekosa mamlaka kisheria kuchukua hatua mbalimbali kurekebisha mambo nchini?
Tanganyika tunahitaji uhuru wetu, tunahitaji mabadiliko makubwa ya ki utawala na katiba.
 
Ni Tanzania pekee duniani mfanyabiashara anaweza kupanga bei aitakayo bila kujali chochote
Serikali kupitia waziri wa viwanda na biashara angalieni mfumuko wa bei nchini hasa bidhaa za msingi ni mkubwa mno.

Ukiuliza kila kitu unaambiwa ni sababu ya vita ya Ukraine na Urusi.

Sio kweli wafanyabiashara wengi sasa wanajificha kwenye vita hiyo kuumiza wananchi kwa kupanga bei kubwa na kunufaika juu ya hiyo vita.

Swali dogo tu hivi hapa Tanzania kila kitu tunachotumia kinatoka Urusi na Ukraine?

Bei ya Mafuta ya kula kwa lita ni 7000/= na baadhi ya mikoa ni 10,000/= na mafuta mengi yanazalishwa nchini.

Kwanini bei iko hivi. Wiki kama mbili binafsi nilifanikiwa kuona mfanyabiashara mmoja wa duka jumla unashusha shehena ya mafuta na kuficha nyumbani kwake ndani ya fensi na kupanga madumu kama 300 kuzunguka uwanja wa nyumba yake. Lakini mtaani ukiuliza unaambiwa bidhaa hii ni adimu sana sababu ya vita na ndio maana bei ni kubwa kitu ambacho si kweli.

Kwanini Serikali inafumbia macho wafanyabiashara wenye tamaa kuumiza raia wao?

Bei ya vifaa vya stationery nayo haikamatiki. Fikiria kufikia mwezi Machi mwanzoni ream ya karatasi ilikuwa ilikuwa Tsh 8000/= kwa pc1 na katoni yenye ream iliuzwa kwa Tsh 40000/= Ila kwa sasa ream 1 tu ni Tsh 15000/= mpaka 18000 baadhi ya maeneo huku katoni ikiuzwa kwa Tsh 65000/= .

Mbona Zanzibar vitu bei ni rahisi sana kwanini huku bara tunanyanyasika na huku Rais wetu umekaa kimya? Huna huruma na watu wa bara? Mbona Rais Mwinyi katangaza kushusha kodi kwa bidhaa za msingi kwa kipindi hiki cha mfungo ili bidhaa zishuke kwanini huku bara inashindikana?

Mheshimiwa Rais kauli yako uliyoisema kuwa bidhaa nyingi zitapanda kwa sababu ya vita na zitazidi kupanda sana imechukuliwa kama fimbo na wafanyabiashara kuumiza raia.

Serikali ya awamu ya tano bei ya Sukari ilipanda sana na ikawa sukari ni adimu sana lkn kwa umakini wao walihundua ni janjajanja ya wafanyabiashara walikuwa wameficha sukari ili wapandishe bei kwa kwa kuwa ni adimu.

Lkn tuliona Serikali imejitokeza na kutangaza bei kikomo kwa mikoa yote na huku ikifanya msako kukamata sukari iliyofichwa. Kwanin sasa inashindikana?

Kiukweli Rais bila kuwa mkali nchi hii hautafanikiwa kwa chochote. Watanzania wengi walishaharibika wakipata fursa wanawaza matumbo yao na kujinemeesha wao kwa wao.

Nchi hii kwa sasa ndo tuseme ni ya watu wachache? Hapo nchi jirani ya DRC bei za bidhaa za msingi zilipanda majuzijuzi tu, lakini tumeona Bunge wamemta waziri anayehusika na biashara ajiuzulu ndani ya masaa48.

Tanzania hapa kila kitu ni kusifia hata ujinga. Bunge letu mmekosa mamlaka kisheria kuchukua hatua mbalimbali kurekebisha mambo nchini?



Mfumuko wa bei ni janga la Dunia sio Tanzania. USA imetoka 2% mpaka 6.8% hivyo jitihada zinafanyika Dunia nzima. Vita ya Urusi nayo ni tatizo hasa kwenye mafuta na bei ya ngano
 
Harafu hapa Tzn watu mnadeka Sana,yaani bei zinazolalamikiwa ni ndogo Sana kulinganisha na Nchi zote za EAC.

Kwamba Rais ndio kapandisha bei kwa sababu kawaambia kwamba Bei zitapanda sio? 😄😄 Idiot..

Narudia kukufundisha biashara ni ya ushindani na hakuna mwenye monopoly kwa hiyo ukipandisha tunakimbia.

Narudia pandisha bei hata hapo kwako afu tuone kama utauza shida iko wapi?

Kasome hii article ya BBC itakusaidia 👇

View attachment 2176728
Shida yako umekalia hiyo unayofikiria, fanya utafiti mdogo utagundua bidhaa nyingi zimepaa bei. Nikuulize wewe hizo bodhaa zinatoka Urusi na Ukraine
 
Shida yako umekalia hiyo unayofikiria, fanya utafiti mdogo utagundua bidhaa nyingi zimepaa bei. Nikuulize wewe hizo bodhaa zinatoka Urusi na Ukraine
Sasa wewe umeelewa nilichoandika? Nani kasema bei hazijapanda? Suala nalozingua ni kwamba kupanda Kwa bei sio kwa kuita mfumuko wa bei.
 
Ni Tanzania pekee duniani mfanyabiashara anaweza kupanga bei aitakayo bila kujali chochote
Serikali kupitia waziri wa viwanda na biashara angalieni mfumuko wa bei nchini hasa bidhaa za msingi ni mkubwa mno.

Ukiuliza kila kitu unaambiwa ni sababu ya vita ya Ukraine na Urusi.

Sio kweli wafanyabiashara wengi sasa wanajificha kwenye vita hiyo kuumiza wananchi kwa kupanga bei kubwa na kunufaika juu ya hiyo vita.

Swali dogo tu hivi hapa Tanzania kila kitu tunachotumia kinatoka Urusi na Ukraine?

Bei ya Mafuta ya kula kwa lita ni 7000/= na baadhi ya mikoa ni 10,000/= na mafuta mengi yanazalishwa nchini.

Kwanini bei iko hivi. Wiki kama mbili binafsi nilifanikiwa kuona mfanyabiashara mmoja wa duka jumla unashusha shehena ya mafuta na kuficha nyumbani kwake ndani ya fensi na kupanga madumu kama 300 kuzunguka uwanja wa nyumba yake. Lakini mtaani ukiuliza unaambiwa bidhaa hii ni adimu sana sababu ya vita na ndio maana bei ni kubwa kitu ambacho si kweli.

Kwanini Serikali inafumbia macho wafanyabiashara wenye tamaa kuumiza raia wao?

Bei ya vifaa vya stationery nayo haikamatiki. Fikiria kufikia mwezi Machi mwanzoni ream ya karatasi ilikuwa ilikuwa Tsh 8000/= kwa pc1 na katoni yenye ream iliuzwa kwa Tsh 40000/= Ila kwa sasa ream 1 tu ni Tsh 15000/= mpaka 18000 baadhi ya maeneo huku katoni ikiuzwa kwa Tsh 65000/= .

Mbona Zanzibar vitu bei ni rahisi sana kwanini huku bara tunanyanyasika na huku Rais wetu umekaa kimya? Huna huruma na watu wa bara? Mbona Rais Mwinyi katangaza kushusha kodi kwa bidhaa za msingi kwa kipindi hiki cha mfungo ili bidhaa zishuke kwanini huku bara inashindikana?

Mheshimiwa Rais kauli yako uliyoisema kuwa bidhaa nyingi zitapanda kwa sababu ya vita na zitazidi kupanda sana imechukuliwa kama fimbo na wafanyabiashara kuumiza raia.

Serikali ya awamu ya tano bei ya Sukari ilipanda sana na ikawa sukari ni adimu sana lkn kwa umakini wao walihundua ni janjajanja ya wafanyabiashara walikuwa wameficha sukari ili wapandishe bei kwa kwa kuwa ni adimu.

Lkn tuliona Serikali imejitokeza na kutangaza bei kikomo kwa mikoa yote na huku ikifanya msako kukamata sukari iliyofichwa. Kwanin sasa inashindikana?

Kiukweli Rais bila kuwa mkali nchi hii hautafanikiwa kwa chochote. Watanzania wengi walishaharibika wakipata fursa wanawaza matumbo yao na kujinemeesha wao kwa wao.

Nchi hii kwa sasa ndo tuseme ni ya watu wachache? Hapo nchi jirani ya DRC bei za bidhaa za msingi zilipanda majuzijuzi tu, lakini tumeona Bunge wamemta waziri anayehusika na biashara ajiuzulu ndani ya masaa48.

Tanzania hapa kila kitu ni kusifia hata ujinga. Bunge letu mmekosa mamlaka kisheria kuchukua hatua mbalimbali kurekebisha mambo nchini?
Waziri wa fedha ni Mwigulu nchemba unatarajia nini?
 
Punguzeni ujinga wa uchumi. Mafuta yakipanda bei, kila kitu kitapanda bei. Hata bidhaa zinazozalishwa nchini, hata chakula kinachotoka nchini kitapanda bei. Ng'ombe wanafugwa mikoani, wanaletwa Dar kuchinjwa lazima mafuta yatumike. Mafuta ndiyo damu ya uchumi, yakiongezeka bei au yakiadimika yanagusa kila kitu.
 
Hebu tuongee ukweli huu mfumuko wa bei uko tanzania pekee?,huu mfumuko kauleta samia?na kwamba huo mfumuko samia unataka afanye nini?
Hii nchi mbumbumbu ni wengi sana, yani kila kitu lawama ni serikali, mfumuko wa bei ni dunia nzima na ni effect ya covid maana viwanda vingi vilifungwa na kwa kiasi vita ya Urusi.

Nchi tajiri wanatoa ruzuku kupunguza mfumuko kupunguza mfumuko wa bei, sasa tujiulize nchi za ulimwengu wa tatu zina uwezo huo?

Kwa mfano tukisema tupunguze kodi kwenye ushuru wa forodha ili bidhaa kama mafuta nk viingie kwa bei chini, serikali itakosa mapato kwa kiasi kikubwa sana, inaweza kushindwa hata kufanya matumizi ya kawaida kama kulipa mishahara nk

Bado kama nchi hatujafika kwenye viwango vya kutegemea kodi za ndani kama ilivyo nchi zilizoendelea, customs duties ndio zinaendesha nchi hii.

Huo ni ukweli mchungu ambao Mama Samia huwa anausema kama ulivyo na sisi tunakasirika, lakini hakitabadilika kitu, tujifunze kuogelea kwenye mawimbi
 
Punguzeni ujinga wa uchumi. Mafuta yakipanda bei, kila kitu kitapanda bei. Hata bidhaa zinazozalishwa nchini, hata chakula kinachotoka nchini kitapanda bei. Ng'ombe wanafugwa mikoani, wanaletwa Dar kuchinjwa lazima mafuta yatumike. Mafuta ndiyo damu ya uchumi, yakiongezeka bei au yakiadimika yanagusa kila kitu.
Acha upumbavu wewe Kenyata, Kagame wanajaribu kusubsidize mambo ili kusaidia wananchi siyo kuwapiga vijembe ,askini huku ukisisitiza bei lazima ipande mara tatu kwenye hotuba yake anasisitiza wakati kule zanzibar wanahangaika bei ya vyakula isipande au wao wanatumia mafuta gani?
 
Acha upumbavu wewe Kenyata, Kagame wanajaribu kusubsidize mambo ili kusaidia wananchi siyo kuwapiga vijembe ,askini huku ukisisitiza bei lazima ipande mara tatu kwenye hotuba yake anasisitiza wakati kule zanzibar wanahangaika bei ya vyakula isipande au wao wanatumia mafuta gani?
Serikali inapo subsidize vitu inatumia hela. Bei ya mafuta inategemea na soko la dunia kwa hiyo serikali iki subsidize mafuta inalipa tofauti. Sasa hiyo hela iko wapi Tanzania? Mmeng'ang'ania siasa za Ujamaa na Kujitegemea miaka 60 leo uchumi hoi. Halafu hali ikiwabana mnaanza kupiga kelele.
 
Mbinu huna ndio maana kutwa kucha kulaumu na kutukana,toka nimekufahamu hujawahi kuja na ushauri wowote zaidi ya matusi na kulaumu.Hii inadhihirisha huna huo uwezo..

Serikali ya CCM imejitahidi kukabiliana na changamoto lukuki ndio maana Leo hii mahali tulipo sio sawa na mwaka 1961..kwa mantiki hiyo hakuna uzembe.

Ukweli unabakia pale pale kwamba gari ya tairi nne haiwezi kwenda kwa speed inayotakiwa ikiwa mojawapo ya tairi imepata shida,hivyo hivyo Kwa Tzn sio kisiwa kama majirani mnaotakiwa kushirikiana hamko pamoja haiwezekani wewe kufika unakotaka..

Nchi ilikuwa kwenye vita na Uganda,Nchi ilikuwa inahigadhi wakimbizi wa Nchi jirani,Nchi ilikuwa inatoa mafunzo na kupeleka askari kufanya ukombozi wa Nchi jirani na Nchi ilikuwa haina wataalamu wa kutosha kwenye fani zote ilipopata uhuru achilia mbali wanachi kuwa wajinga..

Wananchi ndio wanaleta maendeleo ya Nchi na sio Nchi kuwaletea wananchi maendeleo,hii dhana haipo kazinya serikali ninkuweka mazingira wezeshi sasa ukikaa hapo unashindia kiporo unasubiri serikali ikuletee maendeleo utasubiria Sana,unresponsible citizen
Unakomaa na visingizio pamoja na excuses wakati majirani wanaokoa watu wao🐒🐒🐒
7UID.jpeg
 
Back
Top Bottom