Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,670
- 46,354
Mara nyingi watawala sehemu nyingi duniani hujificha katika kupanda kwa bei ya mafuta kama sababu za mfumuko wa bei nchini mwao lakini kwa sasa mafuta hayajapanda bei duniani kwa muda mrefu ila vitu vimepanda bei sana nchini.
Mwigulu Nchemba na Ashatu Kijaji jitokezeni hadharani mseme sababu za bidhaa na huduma kupanda bei kwa kiwango cha juu sana na kwa kasi kubwa sababu ni nini. Watu wenye vipato vya kawaida na vidogo wanaumia sana.
Mwigulu Nchemba na Ashatu Kijaji jitokezeni hadharani mseme sababu za bidhaa na huduma kupanda bei kwa kiwango cha juu sana na kwa kasi kubwa sababu ni nini. Watu wenye vipato vya kawaida na vidogo wanaumia sana.