MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,695
- 31,498
Akumbuke nini sasa, hatuwezi kumuenzi shetani
Siku hizi mnatukana kabila la wasukuma huku wasukuma wenyewe hawana shida na nyie huko maeneo mnaishi nao vzr Tu lakini hapa mnatukana bila woga wowote lakini siyo mbaya hakuna kisicho na mwishoEti kipindi cha kumbukizi ya mkapa mama alikua wapi.
Wasukuma ni washamba yani wanamuona marehemu alikuwa Mungu kwao
Tulishasema hatutaki ibada za wafu.Kesho ni miaka miwili ya kumbukizi ya hayati Magufuli.
Rais Samia yupo nje ya nchi, je amekwepa kwa makusudi au bahati mbaya kwenye kumbukizi ya mtangulizi wake?
Ikumbukwe mwaka jana waliadhimisha Rais Samia pamoja na Kaguta Museveni huko Chato. Mwaka huu kulikoni?
Hao ni wahutu siyo WasukumaEti kipindi cha kumbukizi ya mkapa mama alikua wapi.
Wasukuma ni washamba yani wanamuona marehemu alikuwa Mungu kwao
Tutake radhi mkuu,hao ni wahutu wenzake wanaoleta huu upuuziWasukuma acheni ushamba, huu ni muda wa kufanya kazi, kumbukizi fanyeni huko wenyewe
Sukuma Gang wacheni upuuzi, ibada yenu ya wafu kafanyieni kwenu BurundiKakwepeshwa na mshika rimoti. Si unajua ye king'amuzi tu. Hana alijualo zumbukuku ulimwengu upo huku.
Mhutu mjomba wako wa shangazi yako
Povu hilo. Yule alikuwa mhamiaji haramuMhutu mjomba wako wa shangazi yako
So what??Kiongozi aliyekufa akiwa madarakani sio mchezo. Ni mara ya kwanza kwa taifa letu.
Wananchi tunataka tukusikie🤔Kwani ni lini ulisikia kumbukumbu ya Mkapa?
Mwaka Huu Wamemkataa Hata Radio/Television Sioni Amsha Amsha Iwapo Kuna LoloteKesho ni miaka miwili ya kumbukizi ya hayati Magufuli.
Rais Samia yupo nje ya nchi, je amekwepa kwa makusudi au bahati mbaya kwenye kumbukizi ya mtangulizi wake?
Ikumbukwe mwaka jana waliadhimisha Rais Samia pamoja na Kaguta Museveni huko Chato. Mwaka huu kulikoni?
Lini?Safi sana.
Nataman iwepo siku ya kulichapa viboko kaburi!
Kama maka na kurusha mawe.
Mtu anayecheza na uhai wa watu kisa madaraka si wa kuonea haya!
Huyu rais wa sasa walau anaheshimu utu na uhai.
Ukiwa Nayo wewe inatiosha MkuuDah! Ustaarabu jamani. Heshima kitu cha bure