Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,546
- 70,458
Kumbukizi tunamkumbuka kwa lipi?
Embezzlement?
Mauaji?
Udictator uchwara?
Embezzlement?
Mauaji?
Udictator uchwara?
Kwani kuna ubaya gani kwake kuwepo kwenye maadhimisho ya mara moja kwa mwaka?Kwani lazima iwe kila mwaka?
Na kumbukumbu ya Mkapa je?mbona hamuulizi??
Kwani Mkapa wakati anafariki alikuwa Rais wa nchi gani?Kwani ni lini ulisikia kumbukumbu ya Mkapa?
Kwani Mkapa wakati anafariki alikuwa Rais wa nchi gani?
Ni kupoteza muda tuIna saidia nini kwa Taifa
Dah! Ustaarabu jamani. Heshima kitu cha bureHuyo JPM ni nani? au yule shetan wa chato aliyetaka kuongoza nchi kwa mkono wa chuma akafeli
Rais credible hawezi kupoteza muda kuadhimisha kifo cha DIKTETA ambaye alikuwa adui wa demokrasia, utawala wa sheria na muuaji. Hizo sherehe fanyeni wenyewe chini ya uangalizi wa Bashiru AllyKesho ni miaka miwili ya kumbukizi ya hayati Magufuli.
Rais Samia yupo nje ya nchi, je amekwepa kwa makusudi au bahati mbaya kwenye kumbukizi ya mtangulizi wake?
Ikumbukwe mwaka jana waliadhimisha Rais Samia pamoja na Kaguta Museveni huko Chato. Mwaka huu kulikoni?
Alikwambia kuna maadhimisho nani??Kwani kuna ubaya gani kwake kuwepo kwenye maadhimisho ya mara moja kwa mwaka?
Huko Afrika Kusini ameenda kufungua nchi au kuifunga?
Acheni mambo yenu. Mama piga kazi Wala usiwasikilize hawa wajinga na wabagizi.Kesho ni miaka miwili ya kumbukizi ya hayati Magufuli.
Rais Samia yupo nje ya nchi, je amekwepa kwa makusudi au bahati mbaya kwenye kumbukizi ya mtangulizi wake?
Ikumbukwe mwaka jana waliadhimisha Rais Samia pamoja na Kaguta Museveni huko Chato. Mwaka huu kulikoni?
Yaani nyie mna laana ya ubaguzi. Na hii dhambi itawatesa sana.Mwache aende tushamjua sio mwenzetu huyo pengine angetuharibia sala na vijana wake wa chadema.
Kesho ni miaka miwili ya kumbukizi ya hayati Magufuli.
Rais Samia yupo nje ya nchi, je amekwepa kwa makusudi au bahati mbaya kwenye kumbukizi ya mtangulizi wake?
Ikumbukwe mwaka jana waliadhimisha Rais Samia pamoja na Kaguta Museveni huko Chato. Mwaka huu kulikoni?