kichwa kikubwa
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,275
- 1,698
Dikteta uchwala hana sifa za kukumbukwa.Kesho Machi 17 ni miaka miwili ya kumbukizi ya hayati Magufuli.
Rais Samia yupo nje ya nchi, je amekwepa kwa makusudi au bahati mbaya kwenye kumbukizi ya mtangulizi wake?
Ikumbukwe mwaka jana waliadhimisha Rais Samia pamoja na Kaguta Museveni huko Chato. Mwaka huu kulikoni?
Tanzania ni kubwa kuliko Dikteta wa "mchongo", kamwe hawezi kutupotezea muda wetu wa kuendelea kumkumbuka Kwa maovu yake.