Rais Samia yupo Afrika Kusini, kapotezea kumbukizi ya Hayati Magufuli?

Kesho Machi 17 ni miaka miwili ya kumbukizi ya hayati Magufuli.

Rais Samia yupo nje ya nchi, je amekwepa kwa makusudi au bahati mbaya kwenye kumbukizi ya mtangulizi wake?

Ikumbukwe mwaka jana waliadhimisha Rais Samia pamoja na Kaguta Museveni huko Chato. Mwaka huu kulikoni?
Dikteta uchwala hana sifa za kukumbukwa.
Tanzania ni kubwa kuliko Dikteta wa "mchongo", kamwe hawezi kutupotezea muda wetu wa kuendelea kumkumbuka Kwa maovu yake.
 
Kesho Machi 17 ni miaka miwili ya kumbukizi ya hayati Magufuli.

Rais Samia yupo nje ya nchi, je amekwepa kwa makusudi au bahati mbaya kwenye kumbukizi ya mtangulizi wake?

Ikumbukwe mwaka jana waliadhimisha Rais Samia pamoja na Kaguta Museveni huko Chato. Mwaka huu kulikoni?
Kweli wewe ni mchochezi!!
 
Back
Top Bottom