Lakasa chika7
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 454
- 1,261
Kwan Twitter haipoTwitter itarudi tu soon
Kwan Twitter haipoTwitter itarudi tu soon
Ngoja nimwite na cocochanel nisikie maoni yake maana wewe na yeye akili kama zipo sawa hivi.Huyu mama tangu siku ya kwanza nilijua tu atakuja kuiharibu nchi.
We Jiandae na chanjo nchi inarudi ulimwenguni maana hakuna namnaCovid naona kalizungumzia vizuri
😂we jamaa bana, wasukuma walituaminisha umasikini ni kigezo cha kuwa mtanzaniaSUKUMA GANG ndio wapo nyuma ya sakat la vifurushi kumchoganisha mama na WAtanzania(zamani wakiitwa wanyonge)
+Mwanahalisi,Mawio na MtanzaniaTanzania Daima!
Asilewe tu.Maana watawala wa kiafrica wote uanza vizuri kama malaika mwishowe ugeuka mashetani na kuanza kuwakaanga watu.Ameanza vizuri
Nafikiri inategemeana na simu, kama feki au visimu vya ajabu ajabu hupati twitter. Mie napata bila wasiwasi no vpn..Kwan Twitter haipo
magazeti na online TvNi vyombo gani vya habari ndiyo vilifungiwa
Bila vpn huwezi kuakisesiKwan Twitter haipo
Chanjo sahau...We Jiandae na chanjo nchi inarudi ulimwenguni maana hakuna namna
wewe ungefanyaje?yule jamaa inasemekana ni mtu alikuwa smart sana ila naona kujipendekeza kumemuharibu
Thus wajamaa awafai kabisa kupewa madaraka wao wanaamini uzalendo ni kuwa masikini😂we jamaa bana, wasukuma walituaminisha umasikini ni kigezo cha kuwa mtanzania
Kwani ulikuwepo ?Upinzani umeshakufa Tanzania..Kupitia haya anayofanya mama yetu,Sijui watakosoa nini tena.
Leo Ndiyo Siku 21 Zinakwisha Kesho
Bendera Juu Halafu
Nawa-Zoom
Kuni zaidi au kumi Tena ?Habari mbaya kwa mataga hii
10zaidi kwa mama
Mitano haimtoshi, mama maisha kabisa,,,,,,,Yaani watajua hawajui. Mitano tena kwa Mama. Amejua kuitendea haki Tanzania.