luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Mh sasa huko unguja kwenyewe matokeo yamekuwaje ....mbona mm naona ni yale yale tu wamepasuka tenaNaomba mwenye ile audio ya SSH akisema mwaka huu hakubali mpaka matokeo ya wanafunzi wa unguja (sehemu aliyozaliwa) yawe mazuri AITUME.