Rais Samia kwanini nawe nakuomba usiyaamini Matokeo ya Jana ya Kidato cha Sita ya nchi nzima?

Nikikumbuka zaman kwanza tokeo likitokaga mnakwenda kutazama ofisi ya mkoa au internet cafe unatoa jero lako nusu saa iyoo kisha unafunguliwa pale aiseee ilikuwaga ni balaa enzi zile ni mi div 0 kama utitiri tu mitaan mi four kama inzi

Ndalichako alikuwa ana komesha sanaa
 
1. Ni Matokeo ya Kisiasa ili kukupa Moyo uone Elimu ya Tanzania ni nzuri wakati Mimi GENTAMYCINE kama Mwanataaluma naiona ilikuwa ICU na sasa inaenda kuhifadhiwa Mortuary kwa Maziko.

2. Ni Matokeo ya Kukudanganya ili Watendaji wa Sekta ya Elimu wawe na uhakika na Ajira zao na Mkate wao wa kila Siku.

3. Ni Matokeo ya Kuwahadaa Wazazi wao kuwa Watoto wao wana Akili sana wakati Kiuhalisia na tunavyokaa nao katika Mitaa yetu tunajua kuwa hawana kabisa hizo Akili.

4. Kitaaluma na Kisaikolojia haiwezekani kukawa na above 85% to 85% ya Ufaulu wa Wanafunzi ( tena hawa Goi Goi ) tulionao wa sasa.

5. Rais Samia kungekuwa na Ufaulu huo wa Kimbunga ambao kila mwaka tunatangaziwa basi Wahadhiri wa Vyuo Vikuu wasingekuwa Wanalalamika kuwa Wanafunzi wanaokutana nao huko wana very low thinking capacity hivyo wanawapa Usumbufu wa Kitaaluma.

6. Ni Matokeo ya Kiini Macho tupu tu.

7. Ni Matokeo yanayoonyesha tabia ya Usanii ya Watanzania na jinsi gani Kizazi cha baadae cha Watanzania kitatawaliwa na Wasanii na Goi Goi watupu.

GENTAMYCINE siyaamini hayo Matokeo tena kwa 100% na nijuavyo ni kuwa kama Mdau wa Elimu kwa sasa Elimu ya Tanzania si tu kwamba ipo ICU bali imeshafariki na inasubiria Kuzikwa tu.

Hata Jeshini mkienda Kozi mbalimbali hamuwezi nyote mkamaliza kwa idadi ile ile mliyoanza lazima kuna ambao Wataumia, Watateguka Bandana, Kolomero, Watazimia na hasa Kufa kabisa.

Naionea Huruma Elimu ya Nchini.
Matokeo ya mwaka huu inaonesha wazi ni ya kimkakati dhidi ya shule za binafsi ambazo zimekuwa zikiongoza kwa muda wote.

Siasa kwenye elimu ni kuua taifa.
 
1. Ni Matokeo ya Kisiasa ili kukupa Moyo uone Elimu ya Tanzania ni nzuri wakati Mimi GENTAMYCINE kama Mwanataaluma naiona ilikuwa ICU na sasa inaenda kuhifadhiwa Mortuary kwa Maziko.

2. Ni Matokeo ya Kukudanganya ili Watendaji wa Sekta ya Elimu wawe na uhakika na Ajira zao na Mkate wao wa kila Siku.

3. Ni Matokeo ya Kuwahadaa Wazazi wao kuwa Watoto wao wana Akili sana wakati Kiuhalisia na tunavyokaa nao katika Mitaa yetu tunajua kuwa hawana kabisa hizo Akili.

4. Kitaaluma na Kisaikolojia haiwezekani kukawa na above 85% to 85% ya Ufaulu wa Wanafunzi ( tena hawa Goi Goi ) tulionao wa sasa.

5. Rais Samia kungekuwa na Ufaulu huo wa Kimbunga ambao kila mwaka tunatangaziwa basi Wahadhiri wa Vyuo Vikuu wasingekuwa Wanalalamika kuwa Wanafunzi wanaokutana nao huko wana very low thinking capacity hivyo wanawapa Usumbufu wa Kitaaluma.

6. Ni Matokeo ya Kiini Macho tupu tu.

7. Ni Matokeo yanayoonyesha tabia ya Usanii ya Watanzania na jinsi gani Kizazi cha baadae cha Watanzania kitatawaliwa na Wasanii na Goi Goi watupu.

GENTAMYCINE siyaamini hayo Matokeo tena kwa 100% na nijuavyo ni kuwa kama Mdau wa Elimu kwa sasa Elimu ya Tanzania si tu kwamba ipo ICU bali imeshafariki na inasubiria Kuzikwa tu.

Hata Jeshini mkienda Kozi mbalimbali hamuwezi nyote mkamaliza kwa idadi ile ile mliyoanza lazima kuna ambao Wataumia, Watateguka Bandana, Kolomero, Watazimia na hasa Kufa kabisa.

Naionea Huruma Elimu ya Nchini.
Kwani si wanajua kusoma na kuandika?
 
Back
Top Bottom