Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 10,790
- 22,202
Hii elimu yetu kweli inahusiana na thinking capacity??
Kukalili kwingi na sio kuelewa, ukiotea gaka pepa unatusua vizuri tu!!.
Na sio mwaka huu tu, ni miaka mingi nyuma elimu yetu ilo hivyo.
Na sio lectureres tu hata walimu wa sekondari hulalamika kupokea wanafuzni wasiojua kusoma vizuri kwa ile mitihani yao ya sasa hivi ya shading!!
Walau wanaoenda form 5 shule za serikali ndio hua na viakili ila kwa sasa private schools zipo kibao, mtu ana ufaulu mdogo tu anazama advance, huko anakalilishwa mwisho anatusua chuo.
Matokeo mimi nayaamini kwa 90%. Ila ni msingi mbovu toka kule chini kabisa primary.
Kukalili kwingi na sio kuelewa, ukiotea gaka pepa unatusua vizuri tu!!.
Na sio mwaka huu tu, ni miaka mingi nyuma elimu yetu ilo hivyo.
Na sio lectureres tu hata walimu wa sekondari hulalamika kupokea wanafuzni wasiojua kusoma vizuri kwa ile mitihani yao ya sasa hivi ya shading!!
Walau wanaoenda form 5 shule za serikali ndio hua na viakili ila kwa sasa private schools zipo kibao, mtu ana ufaulu mdogo tu anazama advance, huko anakalilishwa mwisho anatusua chuo.
Matokeo mimi nayaamini kwa 90%. Ila ni msingi mbovu toka kule chini kabisa primary.