Wanafunzi 56,149 Wamepata Disivion 0 Kidato cha 4, zaidi ya Laki 2 wamepata Division 4

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,120
Licha ya Takwimu za Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha 4 zilizotolewa na Baraza la Mitihani la Tanzania kuonesha Watahiniwa 484,823 (87.65%) wamefaulu Mtihani huo, Watahiniwa 56,149 (10.64%) wamefeli kwa kupata Daraja 0.

Pia, Jumla ya Watahiniwa 274,001 (51.94%) wamepata Daraja la 4 ikiwa ni ongezeko la 1.1% kutoka Watahiniwa 264,627 (50.84%) waliofanya Mtihani mwaka 2022.

Aidha, Ufaulu wa Somo la Hisabati umeendelea kuwa chini ambapo takriban 74.58% ya Watahiniwa waliofanya Mtihani wamefeli Somo hilo na waliofaulu ni 12.75% pekee katia 527,608.

1706218537450.png
 
Licha ya Takwimu za Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha 4 zilizotolewa na Baraza la Mitihani la Tanzania kuonesha Watahiniwa 484,823 (87.65%) wamefaulu Mtihani huo, Watahiniwa 56,149 (10.64%) wamefeli kwa kupata Daraja 0.

Pia, Jumla ya Watahiniwa 274,001 (51.94%) wamepata Daraja la 4 ikiwa ni ongezeko la 1.1% kutoka Watahiniwa 264,627 (50.84%) waliofanya Mtihani mwaka 2022.

Aidha, Ufaulu wa Somo la Hisabati umeendelea kuwa chini ambapo takriban 74.58% ya Watahiniwa waliofanya Mtihani wamefeli Somo hilo na waliofaulu ni 12.75% pekee katia 527,608.

View attachment 2882920
Mbona Sekondari Kuna wanafunzi wachache hivyo? Wale Mamilioni wanaanza form 1 Huwa wanaishia wapi?
 
hizo division 0 na 4 ndio wanaenda kujenga nchi na kuihudumia jamii na taifa kwa ujumla, hao ndio watakao fanya mzunguko wa fedha uwe mkubwa mtaani, hao ndio wataoongeza hifadhi ya chakula , hao ndio watakao zaa na kuongeza idadi ya watu katika taifa, hao ndio watakao fanya hao waliofaulu kupata cha kufanya, hao ndio watakaopendezesha nchi kwa majengo watakao kuwa wanajenga hata kama watakua wasaidizi, hao ndio watakao safisha taifa kwa usafi watakaokuwa wanafanya, ndio watakao kwa wasaidizi wa nyumba za watu, ndio watakaokuwa waendesha vyombo vya usafiri kusafisha abiria ma mizingo, hao ndio watakuwa walinzi kwenye taifa, wingi wao utapunguza kilio cha ajira na ukosefu wa ajira kwa wengi.

kwa ufupi tunawa hesabia wamepoteza lakini hakuna hata mmoja aliyepoteza, na pengine bila wao hao waliofeli taifa halitafanya vizuri katika mambo mengi.

karibuni sana katika mapambano wadogo zangu bahati nzuri sisi tulio kwenye mapambano kwa muda mrefu hatuwi wachoyo kuwaonyesha njia nyepesi.
 
hizo division 0 na 4 ndio wanaenda kujenga nchi na kuihudumia jamii na taifa kwa ujumla, hao ndio watakao fanya mzunguko wa fedha uwe mkubwa mtaani, hao ndio wataoongeza hifadhi ya chakula , hao ndio watakao zaa na kuongeza idadi ya watu katika taifa, hao ndio watakao fanya hao waliofaulu kupata cha kufanya, hao ndio watakaopendezesha nchi kwa majengo watakao kuwa wanajenga hata kama watakua wasaidizi, hao ndio watakao safisha taifa kwa usafi watakaokuwa wanafanya, ndio watakao kwa wasaidizi wa nyumba za watu, ndio watakaokuwa waendesha vyombo vya usafiri kusafisha abiria ma mizingo, hao ndio watakuwa walinzi kwenye taifa, wingi wao utapunguza kilio cha ajira na ukosefu wa ajira kwa wengi.

kwa ufupi tunawa hesabia wamepoteza lakini hakuna hata mmoja aliyepoteza, na pengine bila wao hao waliofeli taifa halitafanya vizuri katika mambo mengi.

karibuni sana katika mapambano wadogo zangu bahati nzuri sisi tulio kwenye mapambano kwa muda mrefu hatuwi wachoyo kuwaonyesha njia nyepesi.
Kumbe bora 0 ingekuwa 50% kabisa.
Hamsini wajenge nchi, 25 waendeshe nchi, 25 matapeli wa nchi
 
Back
Top Bottom