Ni nani asiyefahamu Rais wa nchi kwa sasa ni Samia Suluhu Hassan?

TUKANA UONE

JF-Expert Member
Jan 3, 2018
1,816
5,151
Salamu nishamuachia ndugu yangu GENTAMYCINE yeye na ndugu zake wa Butiama & Nyamuswa!

Nimejaribu kutembelea mikoa kadhaa hapa nchini ikiwemo mkoa wa kibiashara wa Dar es Salaam na kila sehemu utakayopita utaona mabango barabarani yakimtambulisha Rais Samia Suluhu Hassan kama ndiye Rais!

Nimekuwa nikishangaa sana hayo mabango si Dar es Salaam pekee bali hadi huko mikoani!

Je, kuna watu hayo mabango yamewalenga? Je, kuna mtu hadi sasa kwenye hii nchi baada ya kifo cha Rais John Pombe Magufuli asiyefahamu Rais ni Samia Suluhu Hassan?

Kwanini hayo mabango serikali kupitia wizara ya utalii isiyatumie kutangaza utalii wa ndani na vivutio tulivyonavyo?

Nilidhani Serikali ingetumia fursa hii kutangaza vivutio ili watalii wa ndani wahamasike kutembelea vivutio vyao hasa kipindi cha sikukuu za mwisho wa mwaka!

Naelewa watu watasema pengine hayo mabango yanalipiwa eidha na serikali yenyewe au chama cha mapinduzi ili kumnadi Rais wao?

Je, kama ni kulipia, hatuoni hata Rwanda au Kenya wanaweza wakaja wakaweka mzigo (pesa) ili kuvitangaza vivutio vya nchini kwao?
 
Salamu nishamuachia ndugu yangu GENTAMYCINE yeye na ndugu zake wa Butiama & Nyamuswa!

Nimejaribu kutembelea mikoa kadhaa hapa nchini ikiwemo mkoa wa kibiashara wa Dar es Salaam na kila sehemu utakayopita utaona mabango barabarani yakimtambulisha Rais Samia Suluhu Hassan kama ndiye Rais!.

Nimekuwa nikishangaa sana hayo mabango si Dar es salaam pekee bali hadi huko mikoani!.

Swali langu

Je, kuna watu hayo mabango yamewalenga? Je, kuna mtu hadi sasa kwenye hii nchi baada ya kifo cha Rais John Pombe Magufuli asiyefahamu Rais ni Samia Suluhu Hassan?

Kwanini hayo mabango serikali kupitia wizara ya utalii isiyatumie kutangaza utalii wa ndani na vivutio tulivyonavyo?

Nilidhani Serikali ingetumia fursa hii kutangaza vivutio ili watalii wa ndani wahamasike kutembelea vivutio vyao hasa kipindi cha sikukuu za mwisho wa mwaka!

Naelewa watu watasema pengine hayo mabango yanalipiwa eidha na serikali yenyewe au chama cha mapinduzi ili kumnadi Rais wao?

SWALI

Je, kama ni kulipia, hatuoni hata Rwanda au Kenya wanaweza wakaja wakaweka mzigo (Pesa) ili kuvitangaza vivutio vya nchini kwao?
Tafuta channel Acha kulalama.

Hakuna asiyejuwa Simba ilipigwa bao tano na Yanga lakini hayo ni mambo ya watu mkono unakwenda kinywani.
 

Attachments

  • FB_IMG_1700408956145.jpg
    FB_IMG_1700408956145.jpg
    109.3 KB · Views: 7
Salamu nishamuachia ndugu yangu GENTAMYCINE yeye na ndugu zake wa Butiama & Nyamuswa!

Nimejaribu kutembelea mikoa kadhaa hapa nchini ikiwemo mkoa wa kibiashara wa Dar es Salaam na kila sehemu utakayopita utaona mabango barabarani yakimtambulisha Rais Samia Suluhu Hassan kama ndiye Rais!.

Nimekuwa nikishangaa sana hayo mabango si Dar es salaam pekee bali hadi huko mikoani!.

Swali langu

Je, kuna watu hayo mabango yamewalenga? Je, kuna mtu hadi sasa kwenye hii nchi baada ya kifo cha Rais John Pombe Magufuli asiyefahamu Rais ni Samia Suluhu Hassan?

Kwanini hayo mabango serikali kupitia wizara ya utalii isiyatumie kutangaza utalii wa ndani na vivutio tulivyonavyo?

Nilidhani Serikali ingetumia fursa hii kutangaza vivutio ili watalii wa ndani wahamasike kutembelea vivutio vyao hasa kipindi cha sikukuu za mwisho wa mwaka!

Naelewa watu watasema pengine hayo mabango yanalipiwa eidha na serikali yenyewe au chama cha mapinduzi ili kumnadi Rais wao?

SWALI

Je, kama ni kulipia, hatuoni hata Rwanda au Kenya wanaweza wakaja wakaweka mzigo (Pesa) ili kuvitangaza vivutio vya nchini kwao?
Hivi ukiandika posts zako bila ya kunitajataja GENTAMYCINE haziwezi Kusomwa na Members hapa JamiiForums? au nikupe kabisa na hii ID yangu ili iwe yako na usafirie Nyota yangu Kali ya Umaarufu, Mvuto, Akili Kubwa na Ushawishi uliotukuka hapa JamiiForums pamoja na Utajiri wangu kiasi wa Followers wangu 179 nao wawe wako?
 
Hivi ukiandika posts zako bila ya kunitajataja GENTAMYCINE haziwezi Kusomwa na Members hapa JamiiForums? au nikupe kabisa na hii ID yangu ili iwe yako na usafirie Nyota yangu Kali ya Umaarufu, Mvuto, Akili Kubwa na Ushawishi uliotukuka hapa JamiiForums pamoja na Utajiri wangu kiasi wa Followers wangu 179 nao wawe wako?
Hahahaha mura...! mbona umepanic...
 
Mkuu vipi kule jukwaa la michezo bado wanoko wamekuban, tumemiss nyuzi zako mkuu wetu.
Hizi posts zenu za Kunikubali na kutambua Uwezo wangu mkubwa utokanao na Kubarikiwa na Mwenyezi Mungu ndiyo zinafanya wazidi Kunichukia na Kutonifungulia hilo Jukwaa ambalo nimeshahoji zaidi ya mara Tano ( 5 ) kwanini nimefungiwa ila hadi leo sijajibiwa, ila BAN naendelea tu kuzipata tena hata pale nikiwaripoti wale Wanaonitukana hapa JamiiForums.

Mwenyezi Mungu atanilipia tu yote.

Mkuu soma YER. 1:19 ina Majibu Kwao.
 
Back
Top Bottom