Rais Samia katuaibisha nje ya Nchi tena. Hizi si Mila za Mtanzania

Salaam

Kitendo cha Kumnywesha juisi Mwanaume kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki

Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?

Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
View attachment 2365501
Kiprotocal hii imekaaje?
View attachment 2365516
Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuumiza kiasi hiki?
View attachment 2365540
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
View attachment 2365938
View attachment 2365567
Mara mia Rajab Abdul Kahali aka Harmonize, kapeleka ujumbe unaoeleweka.
Inawezekana haikuwa juice bali ni whisky, ule uchangamfu sio wa kawaida
 
Unajuwa huyo mwenyeji wake alikuwa ameshika kinywaji gani? Unazani kwanini mh Rais wetu mpendwa alinyooshea kidole glasi ya mwenyeji wake? Hicho kitendo Ni Cha kawaida kufanywa na viongozi wa hata mataifa makubwa, lakini naomba ukweli usimame na kubaki kuwa mh Rais wetu hakutumia glasi aliyotumia mwenyeji wake
We jamaa tutolee upuuzi wako hapa poyoyo wa ajabu kabisa,
Hivi unajisikiaje unapoandika mashairi yako ya kipumbavu hapa
 
Kichwa cha habari chajieleza wasalaamu ndugu wanabodi wanoko, wenye busara, wajuvi bila kuwasahau na wale lolote sawa

Kwa wenye utaalamu wa masuala ya kidiplomasia, itifaki na usalama waniambie, katika hali isiyozoeleka rais wa JMT mama Samia ameonekana kwa bashaha akimywesha juisi rais mwenzake kutoka Msumbiji huku akisindikiza na maneno kadhaa ya utani ambayo hayajatambulika vyema mpaka sasa.

Ndugu zangu ningependa kufahamishwa je hilo tukio lina maana gani?

Karibu
 
Kichwa cha habari chajieleza wasalaamu ndugu wanabodi wanoko, wenye busara, wajuvi bila kuwasahau na wale lolote sawa

Kwa wenye utaalamu wa masuala ya kidiplomasia, itifaki na usalama waniambie, katika hali isiyozoeleka rais wa JMT mama Samia ameonekana kwa bashaha akimywesha juisi rais mwenzake kutoka Msumbiji huku asindikiza na maneno kadhaa ya utani ambayo hayajatambulika vyema mpaka sasa.

Ndugu zangu ningependa kufahamishwa je hilo tukio lina maana gani?

Karibu
Uyu mama amenishangaza hata Mimi kwakweli maana Kuna mda alikua amevaa barakoa Sasa najiuliza kama ameweza kushea glasi na huyu mheshimiwa alivaa ya Nini au amemchanganyia koktail Ili amsainishe mkataba maana delilia ni Delila tuu at akiwa presdaa
 
Kichwa cha habari chajieleza wasalaamu ndugu wanabodi wanoko, wenye busara, wajuvi bila kuwasahau na wale lolote sawa

Kwa wenye utaalamu wa masuala ya kidiplomasia, itifaki na usalama waniambie, katika hali isiyozoeleka rais wa JMT mama Samia ameonekana kwa bashaha akimywesha juisi rais mwenzake kutoka Msumbiji huku asindikiza na maneno kadhaa ya utani ambayo hayajatambulika vyema mpaka sasa.

Ndugu zangu ningependa kufahamishwa je hilo tukio lina maana gani?

Karibu
Ishara ya uoendo na ushirikiano baina ya nchi mbili marafiki na ndugu wa kihistoria
 
Back
Top Bottom