beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Rais Samia amesema Dunia kwa sasa inakabiliwa na tatizo jipya la Usalama (Ugaidi). Ameeleza hayo katika Ufunguzi wa Kikao cha Mkuu wa Majeshi kinachofanyika Ngome ya Lugalo
Ameeleza, "Kwa hulka ya Ugaidi, Mtu yeyote bila kujali Rangi, Dini, Umri, Itikadi, Kipato au Uraia anaweza kuwa mhanga wa Ugaidi. Mifano ipo nanyi mnaijua"
Rais ameongeza kuwa, "Mapambano dhidi ya tishio la Ugaidi si suala la Vyombo vya Ulinzi na Usalama peke yenu, bali linahitaji ushirikiano kutoka Taasisi mbalimbali ikiwemo Vyombo vya Habari na Asasi za Kiraia"
Ameeleza, "Kwa hulka ya Ugaidi, Mtu yeyote bila kujali Rangi, Dini, Umri, Itikadi, Kipato au Uraia anaweza kuwa mhanga wa Ugaidi. Mifano ipo nanyi mnaijua"
Rais ameongeza kuwa, "Mapambano dhidi ya tishio la Ugaidi si suala la Vyombo vya Ulinzi na Usalama peke yenu, bali linahitaji ushirikiano kutoka Taasisi mbalimbali ikiwemo Vyombo vya Habari na Asasi za Kiraia"