Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,028
- 54,321
Tumepigwa MkuuHa ha haa.
Naona unatamani urudishiwe pesa zako za kiingilio.
Baada ya kuona onesho sio lenyewe kama lilivyotangazwa Ha ha haa.
Tumepigwa MkuuHa ha haa.
Naona unatamani urudishiwe pesa zako za kiingilio.
Baada ya kuona onesho sio lenyewe kama lilivyotangazwa Ha ha haa.
Ha ha haa.Binafsi nimezima tv .
Huo ndiyo ukweli
Huo ndiyo ukweeeriiiii ndugu zangu.Ha ha haa.
Siku ile aliposema mapapai Yana koronaVipi yule mwingine si naye mlikuwa naye kwenye yasiyokuwa opposite kabisa?
Nchi ngumu Sana hii aisee.Huo ndiyo ukweeeriiiii ndugu zangu.
Au naongoopa?
Unaongea kinyume leo hii,wakati wa yule jamaa ulikua unapingana na haya yanayofanyka leo hii.Noma sana saizi hata ukienda hospital una uhakika wa vifaa tiba.
By mwaka ujao wa fedha yaani bajeti ijsyo nakwambia wonders hasa kwenye ajira.
Watu waliosoma sekta ya Afya na elimu waandae vyeti
Leo ndio umejua kuna maendeleo ya watu,aisee !!Sio tuu maendeleo sema maendeleo ya watu,Samia hoyeee
Huyo anayejiita oppurtuni.... ni mpuuzi sana anafikiri maneno ndo vitendo!Leo ndio umejua kuna maendeleo ya watu,aisee !!
Kuwa mwanaCCM ni lazima uwe mnafiki aisee.
Kwa hiyo tukafukue lile kaburi tumtoe,tumsulibishe maana mwaka juzi alikua anaongoza yeye..Huku niliko Chuo cha Veta cha mkoa kilikwama toka mwaka juzi..
Ambulance zaidi ya 100 ♨️♨️
Mimi sijawahi kuwa upande wa huyo unayemsemaUnaongea kinyume leo hii,wakati wa yule jamaa ulikua unapingana na haya yanayofanyka leo hii.
Aisee nyinyi jamaa hamna hata aibu.
Yule jamaa alipinga chanjo mkasema "oyee"
Mama kaleta chanjo mnasema "oyee"
Kwako wewe bora mkono uende kinywani.
Kweli wewe ni opportunity cost.
Mwendzake-Mababaru wabaya "oyee"
Mwanakwetu-Mababaru Wazuri"oyee"
Yote haya ndani ya CCM moja.
Ndiyo maana vyombo vya habari vya nje vinatuweka FENT FODNchi ngumu Sana hii aisee.
u tuwe na nidhamu kwa viongozi wetu. Wanajitoa na kufanya kazi bila kuchoka ili taifa liwe na maendeleo endelevu na leo Rais Samia anazindua kampeni ya maendeleo kwa ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya UVIKO - 19.
Hili swala wanapaswa kufanyia kazi kwa haraka. Bei ya vifaa vya Ujenzi imepanda sana, mahali nilipo saivi tunanunua Saruji shilingi 17,000 kwa Cement za Kawaida wakati za Superset tunanunua shilingi 18,000 wakati Tiles shilingi 24,000 kwa boksi moja la 40x40Wizara ya Fedha na BoT wajitahidi kudhibiti mfumuko wa bei maana hii ni Neema kwa watu wa sekta ya ujenzi,manunuzi,zabuni nk..
Kama hiyo ndio bei basi bado hazijapanda ,saruji iko vile vile shida ni nondo na Bati.Hili swala wanapaswa kufanyia kazi kwa haraka. Bei ya vifaa vya Ujenzi imepanda sana, mahali nilipo saivi tunanunua Saruji shilingi 17,000 kwa Cement za Kawaida wakati za Superset tunanunua shilingi 18,000 wakati Tiles shilingi 24,000 kwa boksi moja la 40x40
IPS ni nini? Pengine kuna watu wanazidiwa na hawapati msaada unaostahiliBeing reactive badala ya kuwa proactive. Kwanini tunakimbilia kujenga ICUs na mitambo ya gas badala ya kuaddress IPC measures?
Au ndio yale ya mfadhiri anakupa mkopo na kukupangia uzitumie wapi?