Kifo kisingekuwepo nafikiri kuna watu maisha yao yangekuwa kama wako peponi miaka yote na wengine wangekuwa ni wakupigika miaka yote
 
Wasi wasi wake wa nini!hizo mali na fedha si awaeleze tu amezipataje?
Atoe mtiririko tu alivyofanya mabiashara hadi kutengeneza hela

Ova
 
Members, Kwa mujibu wa Gazeti la mwananchi Kamanda wa Takukuru Hamduni anasema watakapomuhitaji Paul Makonda watasema.

Hivi kwa mtu smart Unawezaje kuendelea kuwepo Nchini kwa matukio kama ya Makonda.

Maisha ya kuishi bila dhamana yatakuharibia familia na wewe mwenyewe, Una muda wa kujipanga na kukimbia, Sasa Unajadiliwa wewe kila kona ya nchi.

Mfalme hayupo tena, Nasema ondoka, Ondoka unasagiwa kunguni.

Tuhuma nyingi nzito hata kabla ya Ole Sabaya zilielekezwa kwa Paul Makonda na Kikosi kazi chake, Tena huyu alitembea na watu wenye sare kabisa bora ya Ole Sabaya,Makonda alipovamia Clouds media ili awashughulikie Shilawadu ilikuwa ni kama movie ya kivita.

Mali alizojipatia Bwana Makonda toka kwa matajiri kwa dhuluma zinajulikana, Ni Kheri akakimbia na kuanza upya maisha, Akikamatwa Mali hatazitumia tena.

Mtu smart angeanza kuuza Mali zake za dhuluma taratibu kabla ya kukamatwa.

Nina hakika hata akiendelea kubaki tayari amejawa hofu ambayo itamfanya aishi kama digidigi, Huyu alisema hakuna mtu anakula raha Tanzania kama yeye.
Alichukua hadi magari kutoka kwa wauza madawa
 
Makonda alimpigia debe Mama ili awe makamu wa rais ndani ya bunge maalum la katiba. Sidhani kama ni rahisi kwa Rais kwa sasa kuweza kumfanya lolote Makonda.

Labda JK ambaye anao ushawishi awamu hii awe hajamsamehe Makonda kwa suala lile la mtoto wake kuhusishwa na biashara ya madawa ya kulevya. Hivyo bado ipo sababu ya kumshughulikia ingawa namuona Rais akiwa na uhusiano mzuri na Makonda.
Hii
Makonda alimpigia debe Mama ili awe makamu wa rais ndani ya bunge maalum la katiba. Sidhani kama ni rahisi kwa Rais kwa sasa kuweza kumfanya lolote Makonda.

Labda JK ambaye anao ushawishi awamu hii awe hajamsamehe Makonda kwa suala lile la mtoto wake kuhusishwa na biashara ya madawa ya kulevya. Hivyo bado ipo sababu ya kumshughulikia ingawa namuona Rais akiwa na uhusiano mzuri na Makonda.
Hii ndio bahati yake
 
Mpaka leo hua nakumbuka siku alipokua akifanya ziara maeneo mbalimbali hapa Dar,kuna mama mmoja alikua sijui ni mwenyekiti wa serikali za mtaa au msaidizi kaitwa mbele atoe maelezo kuhusu ishu ambayo aliifanya mwenzie na yeye hakuwepo ofisini,katika kujielezea huyu mjivuni hakuelewa akatamka kauli ambayo nadhani huyu mama mpaka leo hajaisahau,alimwambia "HAWA NDO VICHAA TUNAOWATAFUTA".
 
Members, Kwa mujibu wa Gazeti la mwananchi Kamanda wa Takukuru Hamduni anasema watakapomuhitaji Paul Makonda watasema.

Hivi kwa mtu smart Unawezaje kuendelea kuwepo Nchini kwa matukio kama ya Makonda.

Maisha ya kuishi bila dhamana yatakuharibia familia na wewe mwenyewe, Una muda wa kujipanga na kukimbia, Sasa Unajadiliwa wewe kila kona ya nchi.

Mfalme hayupo tena, Nasema ondoka, Ondoka unasagiwa kunguni.

Tuhuma nyingi nzito hata kabla ya Ole Sabaya zilielekezwa kwa Paul Makonda na Kikosi kazi chake, Tena huyu alitembea na watu wenye sare kabisa bora ya Ole Sabaya,Makonda alipovamia Clouds media ili awashughulikie Shilawadu ilikuwa ni kama movie ya kivita.

Mali alizojipatia Bwana Makonda toka kwa matajiri kwa dhuluma zinajulikana, Ni Kheri akakimbia na kuanza upya maisha, Akikamatwa Mali hatazitumia tena.

Mtu smart angeanza kuuza Mali zake za dhuluma taratibu kabla ya kukamatwa.

Nina hakika hata akiendelea kubaki tayari amejawa hofu ambayo itamfanya aishi kama digidigi, Huyu alisema hakuna mtu anakula raha Tanzania kama yeye.
Tumefunga milango duniani na mbinguni hana pakwenda zaidi ya Dar, Koromije na shambani kwake Manyara tu....
 
Wewe Utamponza Makonda Huyo...narudia Tena Utamponza Kama Clouds walivyomponza Sabaya wako Na yuko Jela saiv....Sio sera Ya CCM kuvamia Mahotel ya watu na Maslaha makubwa...sio sera ya chama Hiki kizuri Kuua watu..hiki chama ni nyie mmekichafua...Mmeetesa watu mnakipaka CCM matope na sio Nyie tu..Mpo Wengi hata kwenye Utumishi wa Umma mnasingizia watu wanaowazidi uwezo wa kazi Mnawaita Chadema..Mnawatesa mko wengi tulieni tulieni...kaeni kwa Kutulia Mnyooshwe saiv....


Makonda ana tuhuma Kibao achunguzwe akamatwe.
 
Back
Top Bottom