Bukondamoyo
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 458
- 487
Huyu sio king kong
Huyu sio king kong
Marekani wenyewe wana hamu na yeye ...yaani akitoroka tu nchi kaisha!!Hata akikimbia hajua jinsi ya kutafuta kwa jasho maana hizo mali aliiba serikalini
ANAFAHAMIANA AU ANAJUANA?Huyu hawezi kukamatwa maana anafahamiana na maza
Alichukua hadi magari kutoka kwa wauza madawaMembers, Kwa mujibu wa Gazeti la mwananchi Kamanda wa Takukuru Hamduni anasema watakapomuhitaji Paul Makonda watasema.
Hivi kwa mtu smart Unawezaje kuendelea kuwepo Nchini kwa matukio kama ya Makonda.
Maisha ya kuishi bila dhamana yatakuharibia familia na wewe mwenyewe, Una muda wa kujipanga na kukimbia, Sasa Unajadiliwa wewe kila kona ya nchi.
Mfalme hayupo tena, Nasema ondoka, Ondoka unasagiwa kunguni.
Tuhuma nyingi nzito hata kabla ya Ole Sabaya zilielekezwa kwa Paul Makonda na Kikosi kazi chake, Tena huyu alitembea na watu wenye sare kabisa bora ya Ole Sabaya,Makonda alipovamia Clouds media ili awashughulikie Shilawadu ilikuwa ni kama movie ya kivita.
Mali alizojipatia Bwana Makonda toka kwa matajiri kwa dhuluma zinajulikana, Ni Kheri akakimbia na kuanza upya maisha, Akikamatwa Mali hatazitumia tena.
Mtu smart angeanza kuuza Mali zake za dhuluma taratibu kabla ya kukamatwa.
Nina hakika hata akiendelea kubaki tayari amejawa hofu ambayo itamfanya aishi kama digidigi, Huyu alisema hakuna mtu anakula raha Tanzania kama yeye.
HiiMakonda alimpigia debe Mama ili awe makamu wa rais ndani ya bunge maalum la katiba. Sidhani kama ni rahisi kwa Rais kwa sasa kuweza kumfanya lolote Makonda.
Labda JK ambaye anao ushawishi awamu hii awe hajamsamehe Makonda kwa suala lile la mtoto wake kuhusishwa na biashara ya madawa ya kulevya. Hivyo bado ipo sababu ya kumshughulikia ingawa namuona Rais akiwa na uhusiano mzuri na Makonda.
Hii ndio bahati yakeMakonda alimpigia debe Mama ili awe makamu wa rais ndani ya bunge maalum la katiba. Sidhani kama ni rahisi kwa Rais kwa sasa kuweza kumfanya lolote Makonda.
Labda JK ambaye anao ushawishi awamu hii awe hajamsamehe Makonda kwa suala lile la mtoto wake kuhusishwa na biashara ya madawa ya kulevya. Hivyo bado ipo sababu ya kumshughulikia ingawa namuona Rais akiwa na uhusiano mzuri na Makonda.
alisema IST ni gari ya kuhonga wanawake, huyu jamaa ana laana nyingi tu, kwa hiyo sisi wanaume tunaoensha IST.Hata akikimbia hajua jinsi ya kutafuta kwa jasho maana hizo mali aliiba serikalini
Kuna mahali anaweza kukimbilia asifikiwe. Nako ni kaburini.Sasa atakimbilia wapi ambapo hataweza kufikiwa? Ye arelax tu wakati anasubiria consequences za action zake
Tumefunga milango duniani na mbinguni hana pakwenda zaidi ya Dar, Koromije na shambani kwake Manyara tu....Members, Kwa mujibu wa Gazeti la mwananchi Kamanda wa Takukuru Hamduni anasema watakapomuhitaji Paul Makonda watasema.
Hivi kwa mtu smart Unawezaje kuendelea kuwepo Nchini kwa matukio kama ya Makonda.
Maisha ya kuishi bila dhamana yatakuharibia familia na wewe mwenyewe, Una muda wa kujipanga na kukimbia, Sasa Unajadiliwa wewe kila kona ya nchi.
Mfalme hayupo tena, Nasema ondoka, Ondoka unasagiwa kunguni.
Tuhuma nyingi nzito hata kabla ya Ole Sabaya zilielekezwa kwa Paul Makonda na Kikosi kazi chake, Tena huyu alitembea na watu wenye sare kabisa bora ya Ole Sabaya,Makonda alipovamia Clouds media ili awashughulikie Shilawadu ilikuwa ni kama movie ya kivita.
Mali alizojipatia Bwana Makonda toka kwa matajiri kwa dhuluma zinajulikana, Ni Kheri akakimbia na kuanza upya maisha, Akikamatwa Mali hatazitumia tena.
Mtu smart angeanza kuuza Mali zake za dhuluma taratibu kabla ya kukamatwa.
Nina hakika hata akiendelea kubaki tayari amejawa hofu ambayo itamfanya aishi kama digidigi, Huyu alisema hakuna mtu anakula raha Tanzania kama yeye.
CCM wengi sana pamoja na kuishi na Maza ndani ya chama ila hawamjui vizuri - watashuhudia ni suala la muda tu...mmoja mmoja ananyakua.ANAFAHAMIANA AU ANAJUANA?
AuANAFAHAMIANA AU ANAJUANA?
Sawa mkuuSSH anafahamiana vizuri na waliodhulumiwa na Bashite kuliko anavomfahamu !