Wasalam,

Kwa ufupi, haya yanayomkuta Sabaya mama hakukurupuka akaamuru achunguzwe.

Wahusika walipaza sauti hadi kwa RC, PM mpaka Ikulu....

Mafile ya Sabaya ni official na sio propaganda mnazo mzushia makonda kwa chuki zenu!!
Wako wapi wako wapi walioteswa na Makonda, hata mtandaoni hatuwaoni???

Wewe unayesema Makonda nyangumi unaushahidi gani??

Now it's right time to all victims wa Makonda ku rise sauti zao wakiambatanisha na ushahidi kwa vyombo husika.... Na hi ni kwa wateule woote mnahisi walivunja haki za binadamu na matumizi mabaya ya ofisi.

Nipo kwenye foleni Mandela road.
Mchana mwema.
 
ili kufanya kazi iwe rahisi nadhani ni bora wenye malamiko kuhusu DC wao au RC wao, wapeleke malalamiko ili yafanyiwe kazi kwa pamoja kuliko leo huyu kesho yule.
kama kuna tuhuma za RUSHWA, unyang'anyi, uporaji wa ardhi, dhuluma, kuiba wake za watu au waume za watu, upendeleo n.k.
mlango uko wazi sasa
 
ili kufanya kazi iwe rahisi nadhani ni bora wenye malamiko kuhusu DC wao au RC wao, wapeleke malalamiko ili yafanyiwe kazi kwa pamoja kuliko leo huyu kesho yule.
kama kuna tuhuma za RUSHWA, unyang'anyi, uporaji wa ardhi, dhuluma, kuiba wake za watu au waume za watu, upendeleo n.k.
mlango uko wazi sasa
Unajua wanapofeli haya mambo wanayapeleka kisiasa ndo mana system inawaangalia tuu maana hawajui chama ni kile kile
 
1623091196460.jpeg

Kwangu mimi kutokana na Tuhuma zao (hasa walipokuwa katika Nyadhifa zao) namfananisha Ole Sabaya ni Papa na Paul Makonda ni Nyangumi.


Unatoaje amri ya kuchunguzwa kwa Papa Ole Sabaya na ukamuacha Nyangumi Paul Makonda? Hapa Rais Samia Mimi Krav Maga sijakuelewa

Rais Samia tafadhali hakikisha na hiki ulichokifanya kwa Ole Sabaya pia ukifanye kwa Paul Makonda kwani ana Madhambi yaliyomshangaza hata Shetani.
 
Back
Top Bottom