Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 3,994
- 5,437
Wasalam,
Kwa ufupi, haya yanayomkuta Sabaya mama hakukurupuka akaamuru achunguzwe.
Wahusika walipaza sauti hadi kwa RC, PM mpaka Ikulu....
Mafile ya Sabaya ni official na sio propaganda mnazo mzushia makonda kwa chuki zenu!!
Wako wapi wako wapi walioteswa na Makonda, hata mtandaoni hatuwaoni???
Wewe unayesema Makonda nyangumi unaushahidi gani??
Now it's right time to all victims wa Makonda ku rise sauti zao wakiambatanisha na ushahidi kwa vyombo husika.... Na hi ni kwa wateule woote mnahisi walivunja haki za binadamu na matumizi mabaya ya ofisi.
Nipo kwenye foleni Mandela road.
Mchana mwema.
Kwa ufupi, haya yanayomkuta Sabaya mama hakukurupuka akaamuru achunguzwe.
Wahusika walipaza sauti hadi kwa RC, PM mpaka Ikulu....
Mafile ya Sabaya ni official na sio propaganda mnazo mzushia makonda kwa chuki zenu!!
Wako wapi wako wapi walioteswa na Makonda, hata mtandaoni hatuwaoni???
Wewe unayesema Makonda nyangumi unaushahidi gani??
Now it's right time to all victims wa Makonda ku rise sauti zao wakiambatanisha na ushahidi kwa vyombo husika.... Na hi ni kwa wateule woote mnahisi walivunja haki za binadamu na matumizi mabaya ya ofisi.
Nipo kwenye foleni Mandela road.
Mchana mwema.