Barua ipi na ipi?Wazee sehemu za kuweka barua zipo mbili pale kwenye machaguo ya shule na chini kwenye viambatanisho nikoweka barua kwenye viambatanisho inaniambia document hio ushaweka vipi nafanyaje je barua tofauti hapa au ileile nibadili jina la document
Barua ni Moja tu pale utakapokuwa unachagua shule. Baada ya hapo itahamia kwenye viambatanisho vingine..Wazee sehemu za kuweka barua zipo mbili pale kwenye machaguo ya shule na chini kwenye viambatanisho nikoweka barua kwenye viambatanisho inaniambia document hio ushaweka vipi nafanyaje je barua tofauti hapa au ileile nibadili jina la document
Aisee, Sawa!TAMISEMI yatangaza ajira 21000 afya na elimu 2023
======
Kwa mujibu wa taarifa ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia ajira mpya 13,130 za kada ya Ualimu watakaofundisha katika Shule za Msingi na Sekondari.
Aidha, idadi ya watumishi watakoajiliwa katika kada za Afya ni 8,070 ambao watafanya kazi katika Hospitali za Halmashauri, Vituo vya Afya na Zahanati za Serikali.
Takwimu za Tume ya Utumishi wa Walimu zinaonesha Tanzania ina Walimu 87,992 wa Sekondari na 173,591 wa Shule za Msingi huku mahitaji halisi yakiwa ni Walimu 237,502 wanaotakiwa kufundisha kwa uwiano wa Mwalimu 1 awe na Wafunzi 45.
Waombaji ni wahitimu wa nafasi hizo kuanzia mwaka 2015 hadi 2022 ambao watakuwa na sifa stahiki na wasiozidi umri wa miaka 45 lakini wanaofanya kazi za kujitolewa wameitwa kuomba nafasi hizo bila kusema kama watapewa kipaumbele.
“Rais ametoa kibali cha kuajiri watumishi hao nasi tunaanza mchakato huo mara moja kuanzia leo, wanaoajiriwa ni kuanzia ngazi ya cheti hadi Shahada kulingana na kada anayoiomba mhusika,” amesema Kairuki.
Hata hivyo ameonya waombaji watakaodanganya sifa zao katika maombi ikiwemo wenye ulemavu ambao wametengewa nafasi na watakaogushi umri kwani Serikali inachukua watumishi wasiozidi miaka 45.
Amesema waombaji wote wataomba kupitia mtandao wa Tamisemi na waliokuwa wameomba siku nyingi wametakiwa kuhuisha taarifa huku akitoa katazo la waombaji ambao watatuma maombi yao kwa njia ya barua au posta kwamba hayatapokelewa.
View attachment 2585406
View attachment 2585408
View attachment 2585409
View attachment 2585410
View attachment 2585411
View attachment 2585412
View attachment 2585413
View attachment 2585414
View attachment 2585415
View attachment 2585416
TAMISEMI
Kweli man badala ya hiyo hela kidogo unayopata uizungushe mambo mengine,unaitumia kusaidia ndugumshahara Tsh 500,000/= ukoo mzima wanakuja kwako kwanini usiseme unanyonywa
Itahamia 🤔🤔 siunaweka mwenyeweBarua ni Moja tu pale utakapokuwa unachagua shule. Baada ya hapo itahamia kwenye viambatanisho vingine..
Kuwa na 500K kwa Mwezi ni bahati kubwa kwa maisha haya hata ukoo mzima uwe unakuangalia mzee imagine baadhi yetu hatuna hata hio shilling 1 kwa siku na familia inatuangalia tuchangie tuungeunge watu wale full stress kuwa na mshahara ni mshahara tu unaweza fanya kiti ila now unayegemewa na kitu huwezi fanyaKweli man badala ya hiyo hela kidogo unayopata uizungushe mambo mengine,unaitumia kusaidia ndugu
CHa muhimu ni tufanye kaziKuwa na 500K kwa Mwezi ni bahati kubwa kwa maisha haya hata ukoo mzima uwe unakuangalia mzee imagine baadhi yetu hatuna hata hio shilling 1 kwa siku na familia inatuangalia tuchangie tuungeunge watu wale full stress kuwa na mshahara ni mshahara tu unaweza fanya kiti ila now unayegemewa na kitu huwezi fanya
Umemaliza mwaka gani Wanajamvi msaadaSorry naomba kusaidiwa Kuna hatua moja imenipa utata nikiweka mwaka wangu wa kuhitimu inaniletea "undefined" shida inaweza kuwa ni wapi
Ukifungua sehemu ya machuguo ya muombaji utaona waombaji na nafasi hiyo mpo wangapiUnajuaje izo nafasi mkuu?
Labda format hujaizingatiaSorry naomba kusaidiwa Kuna hatua moja imenipa utata nikiweka mwaka wangu wa kuhitimu inaniletea "undefined" shida inaweza kuwa ni wapi
iyo ni hela ya kula mtu mmoja sio ukoomshahara Tsh 500,000/= ukoo mzima wanakuja kwako kwanini usiseme unanyonywa
Hata ku upload tu haiji yani hamna ukiweka Nacte inakuja hivo ila ikiwa TCU au Necta. InakubaliLabda format hujaizingatia
Kwanza hiyo kubwa, watu tunapata laki huku tunakojitolea na familia zinztutegemea.Kuwa na 500K kwa Mwezi ni bahati kubwa kwa maisha haya hata ukoo mzima uwe unakuangalia mzee imagine baadhi yetu hatuna hata hio shilling 1 kwa siku na familia inatuangalia tuchangie tuungeunge watu wale full stress kuwa na mshahara ni mshahara tu unaweza fanya kiti ila now unayegemewa na kitu huwezi fanya
Barua ni ya maombi lakini unaipakia sehemu mbiliUnaweka barua ipi na ipi?
jau kinomaUkifungua sehemu ya machuguo ya muombaji utaona waombaji na nafasi hiyo mpo wangapi
Pale kwene machagua unapakia na sehemu ipi tena?Barua ni ya maombi lakini unaipakia sehemu mbili