Hakuna Mtu ataenda kuomba hizo Ajira za laki nne
Hivi unajua kila mtu huwa anafanya kazi fulani ama anatumikishwa ili apate zile basic needs.
Yaani binadamu ama kiumbe hai Kita obey your order pale tu kinapohitaji ama kinapata needs zake kutoka kwako. Na ndio Mana ukitaka hata ujue mkeo anakuheshimu awe na pesa chafu kuliko wewe.

Hata viongozi wanasiasa wakiona mtu Ana pesa kuwazidi wanajua hawana heshima kwake
 
Hivi unajua kila mtu huwa anafanya kazi fulani ama anatumikishwa ili apate zile basic needs.
Yaani binadamu ama kiumbe hai Kita obey your order pale tu kinapohitaji ama kinapata needs zake kutoka kwako. Na ndio Mana ukitaka hata ujue mkeo anakuheshimu awe na pesa chafu kuliko wewe.

Hata viongozi wanasiasa wakiona mtu Ana pesa kuwazidi wanajua hawana heshima kwake
Sure
 
Kozi za masikini ni
•Afya
•Elimu
•Kilimo
• uvuvi
Hizi utaendeleza umasikini ukooni kwenu

Kozi za wato masikini wenye ndoto za kupata unafuu wa maisha ni
•Mechanical engineering (fani yangu)
•Electrical engineering
•ICT
Duh kama kweli vile, sijawahi kumuona nesi anaendesha Discovery 2,3,4,5,au Prado
 
Kumbe kwenye mfumo HGK wapo. Au ni shule ya msingi
Screenshot_20230412-150324.jpg
 
Kwa kipindi kirefu jf kumekuwa na nyuzi za kuponda ualimu na member wengi humu waliunga mkono

Sasa nsubiri ule Uzi pendwa wa application za ualimu utakavyokimbia kasi.
 
Baada ya kuomba mara sita za mwanzo na kukosa niseme tu hakuna namna nitapata wakati huu hivyo kila la kheri kwa mtakao omba, ila kuna ka umasikini fulani hivi tunajiwekea tukikimbilia kwenye ualimu mkijiongeza mtanielewa mi ni mwalimu nisie fundisha sasa
Kila mtu atapitia njia yake ya kupata riziki
 
Back
Top Bottom