Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,907
Sijakuzwa na dini yoyote,mama akiwachekea hao atavuna mabua,hapo wanajaribu kumchokonoa Ili awaachie wasilipe kodi na leseni za biashara zao.unaongea kwa kua sio mkatoliki au kwa kua hujanufaika moja kwa moja na ukatoliki lakini umekuzwa na kupata akili kwa uwepo wa kanisa katoliki.Kule kwenu kama sio kanisa katoliki maisha yangekuwaje? Heshimu aliyewakuza.Kanisa limelilea taifa lilipokua halijiwezi kutoa huduma sasa mmekua mnakua jeuri.Kama sio shule za kanisa akina mkapa,kikwete,makamba wangesoma wapi?Tazama maeneo ya wananchi wanaoshi karibu na parokia maisha yao yalivyo na unafuu.
Shule na hospital zote za dini zinafanya biashara na sio kwamba zinatoa huduma kama wanavyosingizia, gharama huko ni kubwa karibu mara mbili ya taasisi za umma afu eti wanajisemesha.
Magu alikataa huo ujinga wa kutaka kutembelea visingizio ,lazima walipe kodi,wakate leseni na masltakwa mengine ya biashara za huduma.
Kiufupi hata sadaka zinatakiwa kulipwa kodi sasa hawa wanajificha kwenye maeneo kama vituo vya huduma za watoto yatima,wazee,walemavu nk nk..Huko ndiko kinaweza kupewa special treatment na sio kwingine