Rais Samia Atoa milioni 100 kwa ajili ya Ukarabati kanisa la Katoliki Manyara

Mr Lukwaro

JF-Expert Member
Jun 3, 2023
357
621
Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya zoezi la kutabaruku Kanisa Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu, Babati mkoani Manyara ikiwa ni mchango wake kwa kanisa hilo.

Kwa niaba ya Rais, Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa kauli hiyo katika Misa Maalum ya kumwombea Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Nyerere.

Hii ina ashiria Amani na Nuru ya maelewano baina ya Serikali Ya Dr. Samia na Kanisa Katoliki, na hii ni baada ya miezi iliyopita Baraza la Maaskofu la Kanisa hilo Kutoa Waraka uliokuwa unapinga mkataba wa Serikali.

Binafsi nasema kila la Kheri, Mungu alisimamie Taifa letu la Tanzania.
 
Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya zoezi la kutabaruku Kanisa Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu, Babati mkoani Manyara ikiwa ni mchango wake kwa kanisa hilo.

Kwa niaba ya Rais, Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa kauli hiyo katika Misa Maalum ya kumwombea Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Nyerere.

Hii ina ashiria Amani na Nuru ya maelewano baina ya Serikali Ya Dr. Samia na Kanisa Katoliki, na hii ni baada ya miezi iliyopita Baraza la Maaskofu la Kanisa hilo Kutoa Waraka uliokuwa unapinga mkataba wa Serikali.

Binafsi nasema kila la Kheri, Mungu alisimamie Taifa letu la Tanzania.
Alitakiwa akatoe ANGLICAN, LUTHERAN au MISIKITINI KATOLIKI sio wa level ya milioni 100 kwakweli ni kuwatania! Hili ni dhehebu tajiri!
 
Tanania ni nchi inayoongozwa na serikali isiyo na dini. Ikiwa kila mwenye taasisi yake ya dini atataka apewe fedha hii na rais, rais ataweza kutoa hela sawa kwa wote?

Kwa nini serikali inajiingiza kwenye mamo ya kufadhili makanisa,wakati kuna kazi nyingi za serikali zinahitaji pesa?
ombeni nanyi Rais atawapa
 
Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya zoezi la kutabaruku Kanisa Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu, Babati mkoani Manyara ikiwa ni mchango wake kwa kanisa hilo.

Kwa niaba ya Rais, Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa kauli hiyo katika Misa Maalum ya kumwombea Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Nyerere.

Hii ina ashiria Amani na Nuru ya maelewano baina ya Serikali Ya Dr. Samia na Kanisa Katoliki, na hii ni baada ya miezi iliyopita Baraza la Maaskofu la Kanisa hilo Kutoa Waraka uliokuwa unapinga mkataba wa Serikali.

Binafsi nasema kila la Kheri, Mungu alisimamie Taifa letu la Tanzania.
Haya ni matumizi yasiyofaa ya fedha za umma. Mara zote tunaambiwa tusichanganye mambo ya serikali na dini. Sasa hii ni nini? Mbona Mali za nchi zinatumika kuendeleza hizi mainstream religious groups, wenye dini za kijadi mbona hakuna mali za serikali zinazopelekwa huko? Au sababu dini za kimila hawalalamiki?
Kudai katiba mpya ilitakiwa iwe jana
 
Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya zoezi la kutabaruku Kanisa Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu, Babati mkoani Manyara ikiwa ni mchango wake kwa kanisa hilo.

Kwa niaba ya Rais, Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa kauli hiyo katika Misa Maalum ya kumwombea Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Nyerere.

Hii ina ashiria Amani na Nuru ya maelewano baina ya Serikali Ya Dr. Samia na Kanisa Katoliki, na hii ni baada ya miezi iliyopita Baraza la Maaskofu la Kanisa hilo Kutoa Waraka uliokuwa unapinga mkataba wa Serikali.

Binafsi nasema kila la Kheri, Mungu alisimamie Taifa letu la Tanzania.
Acheni kupotosha. Kupinga uuzaji wa bandari siyo kumpinga Samia.
 
Haya ni matumizi yasiyofaa ya fedha za umma. Mara zote tunaambiwa tusichanganye mambo ya serikali na dini. Sasa hii ni nini? Mbona Mali za nchi zinatumika kuendeleza hizi mainstream religious groups, wenye dini za kijadi mbona hakuna mali za serikali zinazopelekwa huko? Au sababu dini za kimila hawalalamiki?
Kudai katiba mpya ilitakiwa iwe jana
Wamesema tusichanganye dini na siasa siyo dini na serikali uwe mwelewa.
 
Back
Top Bottom