Rais Samia Akabidhi Nyumba Kwa Mjane wa Dkt Magufuli (Mama Janeth Magufuli)

#PICHA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania @SuluhuSamia akikata utepe kama ishara ya uzinduzi wa nyumba mpya ya Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, na kuikabidhi kwa Mama Janeth Magufuli, nyumba hiyo imejengwa na serikali kwa mujibu wa sheria jijini Dar es Salaam, leo Novemba 5, 2023.

#EastAfricaTV
20231105_182902.jpg
View attachment 2804967
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na mjane wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, Mama Janeth Magufuli wakati wa hafla fupi ya kukabidhi nyumba ya kuishi iliyopo wilaya ya Kinondoni ambayo imejengwa na Serikali kwa mujibu wa sheria, Jijini Dar es Salaam tarehe 5 Novemba, 2023.
Wamelamba mihela sana na bado wanajengewa ma jumba makubwa. This is africa. Na picha ya nyumba tuione
 
Back
Top Bottom