Jogoo mbegu
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 824
- 3,409
Mahawara ambao hawajapata mgao ndo wanakelele za wivuTZ bana, majumba yote aliyokuwa nayo Magufuli, mengine alikwapua za Serikali, mengine akagawa hadi kwa hawara zake wameona hazitoshi? Huku wananchi kibao wakilala kwenye mapagale na mitaro?