Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 82,334
- 95,663
Hata Nyerere hakuruhusu huo upumbavuWiki iliyopita Rais wa Nigeria Mzee Tinubu kamtoa nduki kikaoni mtoto wake wa kiume,jamaa aliingia kwenye mkutano wa Mzee Tinubu na Wafanyabiashara bila mwaliko.
Mzee kamchana live mwanae kuwa Mimi kuwa Rais haimpi nafasi Mwanangu kuudhuria ata vikao ambavyo havimuhusu.
Mzee Tinubu kauzu sana!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app