Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Hamduni-TAKUKURU, Makala-Dar, Kafulila-Arusha, Chalamila-Mwanza, Sendiga-Iringa, Makongoro...

Wachagga wana nguvu kubwa ya kiuchumi nchi hii. Wanachotafuta ni nguvu ya kisiasa(mamlaka). Wakipata na jinsi wanavyopendana sana wao kwa wao, kuna athari itatokea kwa jamii zingine kubeba chuki dhidi yao ambayo yaweza kumature na kuwa tishio. Wachagga waachwe kwenye biashara kama wahindi na waarabu. Wapate nafasi ndogo ndogo tu.
 
Imagine unasoma barua hiyo unakuta.

11. Amemteua Bw. Lengai Ole Sabaya kuwa mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, kabla ya hapo alikuwa mkuu wa wilaya ya Hai.

😂😂😂
Kilimanjaro ndio ingependeza zaidi 😀wachaga wangetapika pombe zote walizokunywa.....lol 😀

Ila never say never...she is capable of such suprises
 
Yule jamaa wakati jina lake liko juu siku alipojuwa kuwa ile mianya imefungwa angekaa kimyaa na kutweet mara moja moja kama breaking news tena habari za uhakika ila anataka kubaki kulekule wakati info hana akarudi badala ya kutoa habari akawa mchambaji baada ya habari. kapotea JPM alimpaisha na JPM alikuwa mropokaji hana siri na wapambe ndio wasambaza habari.
Yaani siku hizi nacheka sana linavyotapatapa na vihabari vya kijinga. Kipindi kile leo angekuwa amesharusha majina ya wakuu wa mikoa. Yaani sasa hivi kapwaya anaparamia watu hovyo hovyo tu!
 
Nipate tabu ya nini, kubadilisha badilisha watu kunaondoa consistency.

Chukulia mtu kama Jokate ana plan zake kibao Kisarawe kesho umtoe umpleke sijui Rukwa si anaenda kuanza upya tena, huyo atakaenda huko ataendeleza legacy zake?

Kubadilisha badilisha watu vituo vya kazi ni mambo ya kishamba tu.
Mwenye plan ni DED
 
Raisi Samia tuletee makonda hapa Kilimanjaro amnyooshe mnywa konyagi na genge lake.

Kama unampenda akunyooshe ww, mfuate, Makonda hafai hata uenyekiti wa kijiji, Mama Samia hafanyi makosa hata kidogo ya naona hiyo kuchagua type ya akina Makonda.
 
Nipate tabu ya nini, kubadilisha badilisha watu kunaondoa consistency.

Chukulia mtu kama Jokate ana plan zake kibao Kisarawe kesho umtoe umpleke sijui Rukwa si anaenda kuanza upya tena, huyo atakaenda huko ataendeleza legacy zake?

Kubadilisha badilisha watu vituo vya kazi ni mambo ya kishamba tu.
Mkuu hujajua Mana ya utumishi ni kuolewa na aliyekuoa hajui yako.
Kama Ana mipango si aachane na kazi ili aifanye vizuri. Mtu akiwa nje wa uwanja anaongea mengi Mara kujiajiri sijaona aliyeacha kazi ili ajiajiri.

To change discipline muscle behavior sio suala la kitoto mkuu.
Mfano wewe kazi unayonifanyia ukiambiwa ubadilishe Kuna umtiti
 
Nipate tabu ya nini, kubadilisha badilisha watu kunaondoa consistency.

Chukulia mtu kama Jokate ana plan zake kibao Kisarawe kesho umtoe umpleke sijui Rukwa si anaenda kuanza upya tena, huyo atakaenda huko ataendeleza legacy zake?

Kubadilisha badilisha watu vituo vya kazi ni mambo ya kishamba tu.
Plan za Serikali iko kwenye makaratasi siyo kichwani mwa mtu...Wacha kudanganya watu. Kinachotakiwa ni kila anayeingia ajue mpango wa Serikali wa muda mfupi, Kati na muda mrefu kwa kila sekta. Hakuna kiongozi anayetekeleza yake ya kichwani. Hiyo mipango huwa inaingizwa kwenye ilani ya vyama vya siasa ila chama tawala huja kuyatekeleza. Period
 
Chalamila yuko pale pale kama mkuu wa mkoa. Kelele za kina Maria Sarungi hazijasikilizwa.

Hamduni afanye kazi kitaalam, aachane na vitisho vya magwanda ya kijeshi kama ya aliemtangulia. Akumbuke PCCB ni law enforcement agency or investigative services hivyo afanye kazi kitaalam.
Sasa Hamduni hapa pake. Amekuwa kwenye Kitengo cha Intelijensia na upelelezi pale Makao Makuu ya Polisi kwa miaka ya kutosha. Na alifanikisha misheni nyingi kwa muda aliokaa pale. Kwangu mimi kwa jinsi ninavyomfahamu anastahili hiyo nafasi
 
Popote alipo Ndugu ALBERT CHALAMILA naomba tafadhali aje hapa. Nimeandaa tafrija fupi ya kumpongeza kwa kuteuliwa kuwa RC wa Mwanza.
Walimponda sana huyu Ndugu. Ukiwauliza, kosa lake ni nini? hawana majibu. Hongera sana Ndugu ALBERT CHALAMILA.
 
Popote alipo Ndugu ALBERT CHALAMILA naomba tafadhali aje hapa. Nimeandaa tafrija fupi ya kumpongeza kwa kuteuliwa kuwa RC wa Mwanza.
Walimponda sana huyu Ndugu. Ukiwauliza, kosa lake ni nini? hawana majibu. Hongera sana Ndugu ALBERT CHALAMILA.
Tunamkaribisha Mwanza mchapakazi makini Chalamila
 
Back
Top Bottom