Paul Makonda naye anaweza kukumbukwa kwenye awamu ya saba au ya nane. Aendelee tu kuwa mwadilifu na mvumilivu kwenye chama chake cha ccm kama hao wenzake walivyofanya.Naona Kafulila na Makongoro wamekumbukwa!
Mweeeh hata sina historia nae huyu Makalla, I don't know him, let's wait n seeI hope huyo Makallah hataleta Ubashite.
Kilimanjaro ndio ingependeza zaidi 😀wachaga wangetapika pombe zote walizokunywa.....lol 😀Imagine unasoma barua hiyo unakuta.
11. Amemteua Bw. Lengai Ole Sabaya kuwa mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, kabla ya hapo alikuwa mkuu wa wilaya ya Hai.
😂😂😂
Yaani siku hizi nacheka sana linavyotapatapa na vihabari vya kijinga. Kipindi kile leo angekuwa amesharusha majina ya wakuu wa mikoa. Yaani sasa hivi kapwaya anaparamia watu hovyo hovyo tu!Yule jamaa wakati jina lake liko juu siku alipojuwa kuwa ile mianya imefungwa angekaa kimyaa na kutweet mara moja moja kama breaking news tena habari za uhakika ila anataka kubaki kulekule wakati info hana akarudi badala ya kutoa habari akawa mchambaji baada ya habari. kapotea JPM alimpaisha na JPM alikuwa mropokaji hana siri na wapambe ndio wasambaza habari.
Yaani huoni mpinzani ambae anaweza kulifanyia kazi taifa hili kwa ubora ?Wapinzani ni takataka tu
Mwenye plan ni DEDNipate tabu ya nini, kubadilisha badilisha watu kunaondoa consistency.
Chukulia mtu kama Jokate ana plan zake kibao Kisarawe kesho umtoe umpleke sijui Rukwa si anaenda kuanza upya tena, huyo atakaenda huko ataendeleza legacy zake?
Kubadilisha badilisha watu vituo vya kazi ni mambo ya kishamba tu.
Raisi Samia tuletee makonda hapa Kilimanjaro amnyooshe mnywa konyagi na genge lake.
Mkuu hujajua Mana ya utumishi ni kuolewa na aliyekuoa hajui yako.Nipate tabu ya nini, kubadilisha badilisha watu kunaondoa consistency.
Chukulia mtu kama Jokate ana plan zake kibao Kisarawe kesho umtoe umpleke sijui Rukwa si anaenda kuanza upya tena, huyo atakaenda huko ataendeleza legacy zake?
Kubadilisha badilisha watu vituo vya kazi ni mambo ya kishamba tu.
Hii nafasi wangepewa Mnyika na Mwalimu.Chalamila na Hapi wako ulingoni tena? huyu mama vipi? Khaaaaaah
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kina nani ulio wataka hayapo kwenye uteuzi?Japo hatumpangii ila kwa kiasi kikubwa hakushauriwa vizuri katika nafasi za ukuu wa mikoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM na Utumishi wa Umma ni kitu kilekile, wamoja hao.Kigaigai ameondolewa kama katibu wa bunge, ameletwa katibu mwingine ambaye ataenda kusimamia haki na utawala bora bungeni. Kongole nyingi kwa mama.
🙄🙄Labda tatizo zaMANI kweli labda nahela za kuamlisha Mwanamke!?🤣😄😂
Plan za Serikali iko kwenye makaratasi siyo kichwani mwa mtu...Wacha kudanganya watu. Kinachotakiwa ni kila anayeingia ajue mpango wa Serikali wa muda mfupi, Kati na muda mrefu kwa kila sekta. Hakuna kiongozi anayetekeleza yake ya kichwani. Hiyo mipango huwa inaingizwa kwenye ilani ya vyama vya siasa ila chama tawala huja kuyatekeleza. PeriodNipate tabu ya nini, kubadilisha badilisha watu kunaondoa consistency.
Chukulia mtu kama Jokate ana plan zake kibao Kisarawe kesho umtoe umpleke sijui Rukwa si anaenda kuanza upya tena, huyo atakaenda huko ataendeleza legacy zake?
Kubadilisha badilisha watu vituo vya kazi ni mambo ya kishamba tu.
Sasa Hamduni hapa pake. Amekuwa kwenye Kitengo cha Intelijensia na upelelezi pale Makao Makuu ya Polisi kwa miaka ya kutosha. Na alifanikisha misheni nyingi kwa muda aliokaa pale. Kwangu mimi kwa jinsi ninavyomfahamu anastahili hiyo nafasiChalamila yuko pale pale kama mkuu wa mkoa. Kelele za kina Maria Sarungi hazijasikilizwa.
Hamduni afanye kazi kitaalam, aachane na vitisho vya magwanda ya kijeshi kama ya aliemtangulia. Akumbuke PCCB ni law enforcement agency or investigative services hivyo afanye kazi kitaalam.
Tunamkaribisha Mwanza mchapakazi makini ChalamilaPopote alipo Ndugu ALBERT CHALAMILA naomba tafadhali aje hapa. Nimeandaa tafrija fupi ya kumpongeza kwa kuteuliwa kuwa RC wa Mwanza.
Walimponda sana huyu Ndugu. Ukiwauliza, kosa lake ni nini? hawana majibu. Hongera sana Ndugu ALBERT CHALAMILA.
Amekukosea katika lipi au amefanya baya lipiHappy na Chalamila wanini tena jamani??