Rais Museveni awaomba rasmi msamaha Waganda. Bado nyie CCM!

Rais Museveni awaomba rasmi msamaha Waganda. Bado nyie CCM!

Huyu mzee atakuwa ameona siku zake za kuishi sio nyingi sana duniani. Atakuwa amejua atakapoondoka watakaobaki watakuwa kwenye hali mbaya sana. Jana kwenye ibada maalum yeye na mke wake wamesoma speech maalum ya kuwaomba radhi Waganda kwa madhira waliyowafanyia na Chama chao.

Rai yangu kwa CCM. Museven ameona arekebishe na Waganda kabla haijawa too late. Nyie endeleeni tu kututeka na kutuua. Endeleeni tu kusema wazi bungeni kuwa sisi ni Kenge na kushughulikiwe na vyombo vyenu vya dola. Ushauri wangu kwenu andaeni ndege za kutosha kuwasafirisha na familia zenu tutakapoamua rasmi kuwashughulikia.

View attachment 3347394View attachment 3347395
kila goti litapigwa
 
Huyu mzee atakuwa ameona siku zake za kuishi sio nyingi sana duniani. Atakuwa amejua atakapoondoka watakaobaki watakuwa kwenye hali mbaya sana. Jana kwenye ibada maalum yeye na mke wake wamesoma speech maalum ya kuwaomba radhi Waganda kwa madhira waliyowafanyia na Chama chao.

Rai yangu kwa CCM. Museven ameona arekebishe na Waganda kabla haijawa too late. Nyie endeleeni tu kututeka na kutuua. Endeleeni tu kusema wazi bungeni kuwa sisi ni Kenge na kushughulikiwe na vyombo vyenu vya dola. Ushauri wangu kwenu andaeni ndege za kutosha kuwasafirisha na familia zenu tutakapoamua rasmi kuwashughulikia.

View attachment 3347394View attachment 3347395
CCM haiamini kama kuna wa kumuomba msamaha
 
Huyu mzee atakuwa ameona siku zake za kuishi sio nyingi sana duniani. Atakuwa amejua atakapoondoka watakaobaki watakuwa kwenye hali mbaya sana. Jana kwenye ibada maalum yeye na mke wake wamesoma speech maalum ya kuwaomba radhi Waganda kwa madhira waliyowafanyia na Chama chao.

Rai yangu kwa CCM. Museven ameona arekebishe na Waganda kabla haijawa too late. Nyie endeleeni tu kututeka na kutuua. Endeleeni tu kusema wazi bungeni kuwa sisi ni Kenge na kushughulikiwe na vyombo vyenu vya dola. Ushauri wangu kwenu andaeni ndege za kutosha kuwasafirisha na familia zenu tutakapoamua rasmi kuwashughulikia.

View attachment 3347394View attachment 3347395
mtu aliyetawala miaka 38, na mwanae ni CDF and next president, mdogo wake M7, Gen. Salim Saleh ni mshauri wa maswala ya kijeshi. Mke wa M7 Janet ni waziri wa Elimu na Michezo.
msamaha gani unaweza kufuta hiyo level ya Nepotism??
 
Ohooo...wakati ni ukuta...
Ila ccm na watu wake wao wana uhakika wa kuishi milele ndio mana wanafanya wanayoyafanya...
 
Huyu mzee atakuwa ameona siku zake za kuishi sio nyingi sana duniani. Atakuwa amejua atakapoondoka watakaobaki watakuwa kwenye hali mbaya sana. Jana kwenye ibada maalum yeye na mke wake wamesoma speech maalum ya kuwaomba radhi Waganda kwa madhira waliyowafanyia na Chama chao.

Rai yangu kwa CCM. Museven ameona arekebishe na Waganda kabla haijawa too late. Nyie endeleeni tu kututeka na kutuua. Endeleeni tu kusema wazi bungeni kuwa sisi ni Kenge na kushughulikiwe na vyombo vyenu vya dola. Ushauri wangu kwenu andaeni ndege za kutosha kuwasafirisha na familia zenu tutakapoamua rasmi kuwashughulikia.

View attachment 3347394View attachment 3347395
Siku zake zinahesabika kirahisi sasa, samia anafikiri baada sana mpaka aanze kuinama na kutembea na mkongojo ni miaka mingi ijayo.
 
Huyu itakua anaona soon anang'ata shuka.
Waganda wasimsamehe huyu muuaji. Lol
 
Huyu mzee atakuwa ameona siku zake za kuishi sio nyingi sana duniani. Atakuwa amejua atakapoondoka watakaobaki watakuwa kwenye hali mbaya sana. Jana kwenye ibada maalum yeye na mke wake wamesoma speech maalum ya kuwaomba radhi Waganda kwa madhira waliyowafanyia na Chama chao.

Rai yangu kwa CCM. Museven ameona arekebishe na Waganda kabla haijawa too late. Nyie endeleeni tu kututeka na kutuua. Endeleeni tu kusema wazi bungeni kuwa sisi ni Kenge na tushughulikiwe na vyombo vyenu vya dola. Ushauri wangu kwenu andaeni ndege za kutosha kuwasafirisha na familia zenu tutakapoamua rasmi kuwashughulikia.

View attachment 3347394View attachment 3347395
Hata Germany waliomba MSAMAHA on behalf ya Hilter

CCM’ iombe msamaha kwa kuua watanzania wengi sana kuliko idadi ya watanzania waliokufa kwenye vita ya Amin
 
Hapana kama akifanya toba ya kweli atafutiwa hati ya mashtaka halafu anaenda kwenye pumziko la milele. Ila kama anafanya siasa za kuhadaa watu,it will eat to him!
Toba ya kweli ni ulaghai. Huwezi kuua watu then in thé end useme toba ya kweli.

Balance ni lazima for every deed .

Kuna watoto ni Yatima now kwa Ukatili wa CCM . Wao watoto zao wapo shule and good life now .Cycle ya life haipo hivyo…. Ubaya uliousababisha utabalance exactly na ubaya utakao upokea….. how and why
No body knows , but surely it will Come back
 
Yani waumize watu kwa kutegemea baadaye kuomba msamaha tu?Wanaiba kura halafu baadaye waombe Mungu awasamehe?Atakayesamehe atashangaza sana.
Watu wameumizwa sana.
Kama ni kuomba msamaha kweli, ni lazima wote walioguswa moja kwa moja na makosa ya huyu mzee aombwe msamaha moja kwa moja, bila ya huo msamaha wa kijumla jumla tu.

Walio athiriwa moja kwa moja wana haki ya kusamehe au kutosamehe.

Hata hivyo; kama ni kweli huyu Mseveni kaona ni muhimu aombe msamaha, ni jambo jema. Lakini asiishie hapo.
Kwa wakati huu ambapo bado yupo hadi hapo atakapo achia madaraka ni lazima afanye jitihada zote za kutubu. Ajitahidi sana kuiacha Uganda ikiwa na amani na utulivu kwenda mbele.

Sasa sijui kama Muhoozi Kainerugaba, kweli atamruhusu kufanya hivyo.
 
Mama ajifunze kitu hapa.
LOOoooh!

Ajifunze nini, wakati yeye ndiyo kwanza yupo kwenye hatua ya utekelezaji wa maovu, akimuiga alivyo kuwa akifanya huyo M7? Hayo ya kuiga ni baadae sana, miaka kadhaa ijayo.
Yeye bado yuko na ule ulaghai wa 4R.
4R zipi tena. Unadhani wakati huu anakumbuka lolote kuhusu hizo 4R? Hata kuigiza tu juu ya hizo 4R, sasa hivi hawezi, kwa sababu anayofanya ni kinyume kabisa na hizo.
Wabaganda Tribe au Waganda? inachanganya kidogo kwasababu hiyo Nchi imeeitwa jina la Kingdom ya kikabila.
Naona hii ni kwa Baganda, Tribe. Huenda kuna siku ataomba msamaha kwa Waganda wote.

Inaudhi, lakini ni bora kuliko kukaza shingo tu hadi unaingia kaburini.

M7 kuna mambo mazuri sana kaifanyia Uganda, hasa zile nyakati za mwanzo wa uutawala wake. Amekuja kuharibika miaka hii ya karibuni, hasa kwa kuwabana na kuwaumiza wapinzani wake.
Kazingatia sana maslahi ya Uganda katika utawala wake wote, siyo kama hawa akina Samia na vikaragosi vyao akina Kafulila wanaouza kila kitu kwa bei chee!
 
Watu wameumizwa sana.
Kama ni kuomba msamaha kweli, ni lazima wote walioguswa moja kwa moja na makosa ya huyu mzee aombwe msamaha moja kwa moja, bila ya huo msamaha wa kijumla jumla tu.

Walio athiriwa moja kwa moja wana haki ya kusamehe au kutosamehe.

Hata hivyo; kama ni kweli huyu Mseveni kaona ni muhimu aombe msamaha, ni jambo jema. Lakini asiishie hapo.
Kwa wakati huu ambapo bado yupo hadi hapo atakapo achia madaraka ni lazima afanye jitihada zote za kutubu. Ajitahidi sana kuiacha Uganda ikiwa na amani na utulivu kwenda mbele.

Sasa sijui kama Muhoozi Kainerugaba, kweli atamruhusu kufanya hivyo.
Jamaa anavuta bangi imemuathiri uwezo wa tafakuri.
 
Back
Top Bottom