21 February
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 3,264
- 2,776
Mimi naona bado mapema kwa shule kufunguliwaHalafu Necta ,kidato cha 6 lini ? na kidato cha 4 ifanyike lini? au ndo mwakani? na darasa. la 7? timing nzuri ni June na date zinaweza kua fixed
Mimi naona bado mapema kwa shule kufunguliwaHalafu Necta ,kidato cha 6 lini ? na kidato cha 4 ifanyike lini? au ndo mwakani? na darasa. la 7? timing nzuri ni June na date zinaweza kua fixed
Aaah weee mzee anakuja kushusha madini..yaani jiwe baada ya jiwe..!! kesho tuna-trend worldwideBora akae kimya maana anaenda kuharibu zaidi..
Usisahau kufatilia na ya Mwamba MBOWEAsante sana kwa taarifa hii, usingesema, wengine tungepotelea kwenye telenovelas marudio ya wiki.
P
Hakuna hotuba huwa na-enjoy kama za huyu presdaa!!
Ngoja nfungulie ki- TV changu kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli,, lakini uonavyo wewe kwa haya kuna dalili ya ugonjwa kuisha?.,kwa Jitihafa gani 90% ya shughulikia zimerudi kuwa normal BAADA ya hotuba ile ... corona tutakaa mayo sana Hawezi kuishi mwaka huu wala mwakani,,,TUJIFUNZE KUISHI NAYO LIKE ,TB ,HIV,,MALARIA ,na MeningineMimi naona bado mapema kwa shule kufunguliw
Wewe unadhan Muda gan sahihi wa shule kufunguliwa? Kama tulitaka kuiona peak ya ugonjwa na ishaonekana je Tuna subiria nini hapo?Mimi naona bado mapema kwa shule kufunguliw
Owkief6 watafanya mwezi wa 11,then f4 wa nne
La saba wa tatu..kama ikitokea lakin
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi natamani hata kesho zifunguliwe.Wewe unadhan Muda gan sahihi wa shule kufunguliwa? Kama tulitaka kuiona peak ya ugonjwa na ishaonekana je Tuna subiria nini hapo?
Sent using Jamii Forums mobile app
nyanda za juu kusini hali ya jua na mawingu sehemu chache, Chato na maeneno ya Ikulu yake ni hali ya upepo mkali, mawingu na manyunyu kuzunguka ofisi.Hali ya hewa ikoje?
Hivi Mbowe nawe mbona anasemaga "anahutubia taifa"? Kwani nayeye rais
Nini maana ya hotuba!? Tuanzie hapaHivi Mbowe nawe mbona anasemaga "anahutubia taifa"? Kwani nayeye rais