Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

Africa mashariki nchi ambayo tunaweza kupepetana nayo na kuonyesha ushindani kidogo ni Ethiopia tu, Rwanda akavutane na Burundi pamoja na DRC watoto wenzake
 
Hivi huo usiri husaidia nini? ikiwa mataifa yenye nguvu za kijeshi kama China, Russia, Iran, Israel, Turkey n.k huonyesha uwezo wao kijeshi, hii Tanzania kuna siri gani?

Hio siri inasaidia nini?
Siri ni kichaka cha kuficha madhaifu , uzembe wa jeshi la jw

hii kitu imewaumbua sana Russia kwenye vita vya Ukraine.
 
Twende kwenye nchi yako sasa....

Raisi : Mwanamke tena hana ubavu kubishana na rais KAGAME yeye ni kuchamabana tu na GWAJIMANIZATION 😅

Waziri wa Ulinzi: Mwanamke, naye ndio kabisaa hata kushika bunduki hajui (picha mliona) huyu sijui sana 🤣

Wananchi : Ndio kwanza tupo kwenye usingizi mzito wa blanketi tena usingiz wasaa 11 asubuhi.

Mapolisi : Mmmmh mwanasheria wangu amefungwa miaka 6 Jela

Wanajeshi: Mungu awatie nguvu

DEEP DOWN KAGAME ANATUTUSUA TENA VIZURI MNOOOOO ALAFU BILA YOWE.

SOURCES: Amini nawaambia
 
Ila tuwe wa kweli , japo Rwanda itazidiwa au kushindwa lakini TPDF hivi sasa ipo weak katika historia ya hii nchi, very weak...

Mbinu za kivita duniani zimebadilika sana asee, vita ya Ukraine damage kubwa zinafanywa na drones, karibu asilimia 70...

Na jeshi la Rwanda wamejiingiza kwenye hizo drones, operators wa drones sio wanapasua matofali kwa kichwa, wao ni kama gamers tu, kama mtu anacheza playstation... vita imebadilika sana..

Hao jamaa kujiamini hivyo inabidi iwe wake up call, itakuwa hawajiamini bure... mnakwenda na Artillery guns/mabomu ya mizinga ya enzi za Kagera war, unatumiwa ki drone kidogo kinawalipua na silaha zenu zote..
Bila shaka hata mgambo hujawahi pitia!
 
Tanzania yetu "Mnajua kuwa mbwa mwoga ni mbabe sana akiwa nyumbani ila nje anaficha mkia
 
Hawa waarabu wa Gulf hawawezi kabisa kusaidia kwa njia ya kivita kwani wao wenyewe wanaogopa kupigwa na uwezo wa kupigana hawana.

Mashariki ya Kati hapo wamebaki kama wasuluhishi tu
Na kama ukienda Qatar wao kazi Yao ni kujionyeaha tu
Makundi yakipigana anawaita wote na kujifanya anawasuluhisha

Baada ya hapo anawapa majumba ya kudumu wote

Wapo mpaka Taleban, Alshabab, na hata Hamas
Pia Mr Slim nae ana nyumba Qatar ya kupewa pamoja na Rais wa DRC

Kuna wakati waliitwa wakasuluhishwa Baada ya hapo wakapewa na mijengo

Sijui na mimi nikinukishe na nani halafu tukapatanishwe huko

Mchina sio yule kweli hawa ni wapya kabisa na wenye tamaa ya kula tu

Maslahi mbele ukitaka viwanda watakupa ni wewe tu na mfuko wako.

Yaani ni bora kujiimarisha haswa na pia kuwa na marafiki ambao wanaweza hata kukupa msaada mkubwa ukiwahitaji ila sio wale wa zamani
Mwarabu anajua biashara tu hicho kitengo yupo vizuri
 
Mwarabu anajua biashara tu hicho kitengo yupo vizuri
Hilo tu
Yeye akipata za mafuta ananunua nusu ya London

Kwa sasa Qatar wanaongoza kwa kununua majengo na biashara na hata Heathrow airport wana shares kubwa tu kwa sasa

Wako vizuri
Emirates nao hivyo hivyo
 
Yangu macho ujumbe ndio umefika Tanzania nchi ya kesenge sana na walienda Congo kichwa kichwa , wajeshi wengi ni half trained na jeshi sasa hivi bovu halina uwekezaji wowote na naamini jeshi na nchi Ina mamluki wengi ndani yake, hovyo
 
Hilo tu
Yeye akipata za mafuta ananunua nusu ya London

Kwa sasa Qatar wanaongoza kwa kununua majengo na biashara na hata Heathrow airport wana shares kubwa tu kwa sasa

Wako vizuri
Emirates nao hivyo hivyo
Kweli wao wanajua kuweka mzigo tu skills tumia za kwako kuzalisha bidhaa mitambo tunakuletea
 
Ila tuwe wa kweli , japo Rwanda itazidiwa au kushindwa lakini TPDF hivi sasa ipo weak katika historia ya hii nchi, very weak...

Mbinu za kivita duniani zimebadilika sana asee, vita ya Ukraine damage kubwa zinafanywa na drones, karibu asilimia 70...

Na jeshi la Rwanda wamejiingiza kwenye hizo drones, operators wa drones sio wanapasua matofali kwa kichwa, wao ni kama gamers tu, kama mtu anacheza playstation... vita imebadilika sana..

Hao jamaa kujiamini hivyo inabidi iwe wake up call, itakuwa hawajiamini bure... mnakwenda na Artillery guns/mabomu ya mizinga ya enzi za Kagera war, unatumiwa ki drone kidogo kinawalipua na silaha zenu zote...
Wakinukishe tuone hiyo nguvu ya Rwanda anayojidai kama kweli anayo.
 
Back
Top Bottom