Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

Hawa waarabu wa Gulf hawawezi kabisa kusaidia kwa njia ya kivita kwani wao wenyewe wanaogopa kupigwa na uwezo wa kupigana hawana.

Mashariki ya Kati hapo wamebaki kama wasuluhishi tu
Na kama ukienda Qatar wao kazi Yao ni kujionyeaha tu
Makundi yakipigana anawaita wote na kujifanya anawasuluhisha

Baada ya hapo anawapa majumba ya kudumu wote

Wapo mpaka Taleban, Alshabab, na hata Hamas
Pia Mr Slim nae ana nyumba Qatar ya kupewa pamoja na Rais wa DRC

Kuna wakati waliitwa wakasuluhishwa Baada ya hapo wakapewa na mijengo

Sijui na mimi nikinukishe na nani halafu tukapatanishwe huko

Mchina sio yule kweli hawa ni wapya kabisa na wenye tamaa ya kula tu

Maslahi mbele ukitaka viwanda watakupa ni wewe tu na mfuko wako.

Yaani ni bora kujiimarisha haswa na pia kuwa na marafiki ambao wanaweza hata kukupa msaada mkubwa ukiwahitaji ila sio wale wa zamani
Urafiki na Mchina ni sawa na urafiki wa Panya na Paka.
 
Ila tuwe wa kweli , japo Rwanda itazidiwa au kushindwa lakini TPDF hivi sasa ipo weak katika historia ya hii nchi, very weak...

Mbinu za kivita duniani zimebadilika sana asee, vita ya Ukraine damage kubwa zinafanywa na drones, karibu asilimia 70...

Na jeshi la Rwanda wamejiingiza kwenye hizo drones, operators wa drones sio wanapasua matofali kwa kichwa, wao ni kama gamers tu, kama mtu anacheza playstation... vita imebadilika sana..

Hao jamaa kujiamini hivyo inabidi iwe wake up call, itakuwa hawajiamini bure... mnakwenda na Artillery guns/mabomu ya mizinga ya enzi za Kagera war, unatumiwa ki drone kidogo kinawalipua na silaha zenu zote...
Vifaa vyao wanapitisha wapi?
 
Yoote haya uliyo eleza humu, yote yanaanzia ndani ya nchi husika; nchi kujitambua na viongozi wao kujuwa kuwa hatma ya nchi hiyo ni ya wananchi wenyewe na viongozi wao; haya mengine ya marafiki, amoja na kuwa ni muhimu, lakini yote yanategemea nchi inavyo jisimamia yenyewe.
Tuchukue mfano mgumu sana wa nchi, kama ninavyo ihisi hii hoja.
Israel. Pamoja na kuwategemea sana wamarekani na nchi za magharibi kwa ujumla; hasa katika mambo ya ulinzi wao, viongozi na wananchi wa nchi hiyo hawakujikabidhi moja kwa moja kwa hao watoa misaada kwao. Nimesema huu ni mfano mgumu sana, lakini sioni mfano mwingine ulio rahisi kukielezea ninacho kifikiria kama wajibu wa viongozi na wananchi wa nchi kama mfano sahihi wa kueleza hoja.

Nikisema Korea Kaskazini, najuwa 'roaganda' zimewachukua na kuwazoa watu wengi kuona kuwa nchi hiyo ni karibu kabisa na jehenamu; lakini, kiukweli; amoja na maungufu mengi ya mfumo wao; hawa huwezi kusema ni watu waliojikabidhi kwa wengine, kama tunavyotafuta sisi kujikabidhi.

Tuseme ukweli, Korea Kaskazini inaizidi nini Tanzania ambacho kinawazungusha akili hata akina Trum?

Nazitaja hizi nchi mbili mahsusi, hasa katika hili tunalolijadili kwenye mada hii; bila ya kusisitiza hayo mengine ya kiuchumi, n.k..
Ni kweli Mkuu hao kaskazini hawatuzidi kimaisha isipokuwa silaha zao tu

Yaani wamewekeza kwenye silaha ila ukishikwa na Cadbury chocolate unafungwa

Maisha yao hayana uhakika kabisa
Hao hawafai kabisa
 
Ni kweli Mkuu hao kaskazini hawatuzidi kimaisha isipokuwa silaha zao tu

Yaani wamewekeza kwenye silaha ila ukishikwa na Cadbury chocolate unafungwa

Maisha yao hayana uhakika kabisa
Hao hawafai kabisa
EEEEeeeenHEEEEeeee!
Mkuu 'Black Sniper' Bhwana. Umenifanya nicheke mwenyewe!

Kuna umuhimu wa kujuwa usahihi wa taarifa za hawa watu. Nyingi ya taarifa zinazotolewa huku nje ni za kizushi sana.

Hatuhitaji kuiga mengi ya wanayo yafanya; lakini yao mengi ia tunayoweza kujifunza toka kwao kama nchi.

Sina uhakika juu ya hilo la 'cadbury', lakini ndivyo vita hizo wanazokutana nazo kaika kutafuta wanayoona wao kwao yanawafaa.

Si hata huko kwa kina Trum, amoja na demokrasia yote ile, sasa kuna watu wanaona demokrasia yao haitoshi! Trum anavunjavunja 'illusion' ya mfumo huo. Kwa hiyo kila mahali kuna kazi ya kufanya na kurekebisha
 
EEEEeeeenHEEEEeeee!
Mkuu 'Black Sniper' Bhwana. Umenifanya nicheke mwenyewe!

Kuna umuhimu wa kujuwa usahihi wa taarifa za hawa watu. Nyingi ya taarifa zinazotolewa huku nje ni za kizushi sana.

Hatuhitaji kuiga mengi ya wanayo yafanya; lakini yao mengi ia tunayoweza kujifunza toka kwao kama nchi.

Sina uhakika juu ya hilo la 'cadbury', lakini ndivyo vita hizo wanazokutana nazo kaika kutafuta wanayoona wao kwao yanawafaa.

Si hata huko kwa kina Trum, amoja na demokrasia yote ile, sasa kuna watu wanaona demokrasia yao haitoshi! Trum anavunjavunja 'illusion' ya mfumo huo. Kwa hiyo kila mahali kuna kazi ya kufanya na kurekebisha
Mkuu najua ni kama jokes vile ila huko kuna vitu ukikamatwa navyo unaweza kufia jela.
Kisa Una promote bidhaa za magharibi ambazo ni marufuku
Huwa wanavusha kwa magendo kutoka kwa wenzao

Kiduku hana utani na hili linajulikana tangu zamani

Soma hii habari
IMG_0572.jpeg
 
Mkuu najua ni kama jokes vile ila huko kuna vitu ukikamatwa navyo unaweza kufia jela.
Kisa Una promote bidhaa za magharibi ambazo ni marufuku
Huwa wanavusha kwa magendo kutoka kwa wenzao

Kiduku hana utani na hili linajulikana tangu zamani

Soma hii habariView attachment 3398526
Ni taarifa kama hizi ninazozizungumzia mkuu 'Sniper'.

Wanaotengeneza taarifa za namna hiyo hawana tofauti sana na hao waliomo ndani ya Korea Kaskazini wenyewe wanaofunga akili za wenzao!

Usisahau kuna taasisi maalum hao Kusini zinazoshughulikia kila aina ya misinformation juu ya majirani zao hao Kaskazini.
Hawa wote wamo vitani.

Lakini nikukumbushe vilevile, ni miaka michache tu iliyoita; China yenyewe ilikuwa ikisemwa hivyo hivyo.

Mtu toka nje unaosoma taarifa za aina hizo, ni juu yako kuchuja; kuendana na unavyotaka kuitumia akili yako mwenyewe.
 
Yeye anatoaga vitisho wenzake wapo kimya hata hawamjibu.Kama anajiamini sana si avamie awashikishe adabu. Siyo kila siku anatoa vitisho kisa anawasumbua wakongo ambao nao wamegawanyika na hwana umoja.
Uvamizi sikuhizi unaanzia kwenye mifumo ya ulinzi na intelijensia kimyakimya. Akisha wamaliza huko ndo anaanza kuwachokonoa mkijaa tu

Unashangaa wale mamluki alio wapandikiza wanatoa location ya kila kitu chenu cha siri mahala kilipo sehemu waliko jificha viongozi n.k mnabondwa nje ndani
 
Ni taarifa kama hizi ninazozizungumzia mkuu 'Sniper'.

Wanaotengeneza taarifa za namna hiyo hawana tofauti sana na hao waliomo ndani ya Korea Kaskazini wenyewe wanaofunga akili za wenzao!

Usisahau kuna taasisi maalum hao Kusini zinazoshughulikia kila aina ya misinformation juu ya majirani zao hao Kaskazini.
Hawa wote wamo vitani.

Lakini nikukumbushe vilevile, ni miaka michache tu iliyoita; China yenyewe ilikuwa ikisemwa hivyo hivyo.

Mtu toka nje unaosoma taarifa za aina hizo, ni juu yako kuchuja; kuendana na unavyotaka kuitumia akili yako mwenyewe.
Ni kweli kabisa Mkuu, nimekuelewa vizuri sana.

Ni jinsi unavyo feed information katika akili

Tunapima wenyewe na tunaacha yasiyokuwa na faida na sisi

Media zina nguvu sana na ni silaha moja kubwa ambayo Wazungu wameitumia kwa miaka mingi sana.

Tutavhambua yapi ya kubeba
Hata sisi kuna watu wanajua ni nchi moja yenye amani sana na utulivu.

Nitajitahidi sana kuangalia kwa jicho la tatu mambo sasa
 
Hata sisi kuna watu wanajua ni nchi moja yenye amani sana na utulivu.

Nitajitahidi sana kuangalia kwa jicho la tatu mambo sasa
Ninakuelewa vyema, kwa muda kitambo nilioata kukusoma humu JF.

Tusiikatie tamaa Tanzania yetu. Nchi hii ina'otential' ya ajabu sana tukifanikiwa kuwa na uongozi sahihi.

Miaka 60 ni kama tumeichezea tu bila kujuwa tunataka nini. Itasikitisha sana kama 60 mingine (nina hakika sitakuweo); na yenyewe itaotea tu hivi hivi.
 
Ninakuelewa vyema, kwa muda kitambo nilioata kukusoma humu JF.

Tusiikatie tamaa Tanzania yetu. Nchi hii ina'otential' ya ajabu sana tukifanikiwa kuwa na uongozi sahihi.

Miaka 60 ni kama tumeichezea tu bila kujuwa tunataka nini. Itasikitisha sana kama 60 mingine (nina hakika sitakuweo); na yenyewe itaotea tu hivi hivi.
Tuombe Mungu sana, mabadiliko ni muhimu sana kama Taifa.

Hatuwezi kuishi kwa mazoea, halafu mazoea yenyewe mabaya yasiyokuwa na faida kwa wananchi.

Haiwezekani unasema hadharani pesq za brush au msile zote kuleni kidogo.

Huo ndio uongozi kisa unaogopa hawatakupa ridhaa tena?

Huku nilipo Waziri anajiuzuru kwa kupinga kitu
Na majuzi Wabunge 120 walikataa muswada upitishwe na wakamgomea Waziri wa Fedha na PM

Tunahitaji usimamizi mzuri wa fedha zetu na CAG akitoa report watu wawajibishwe moja kwa moja hata kufungwa na kutaifishiwa malli zao mpaka za baba zao

Woga wa kuwa madarakani kisa watu wachache wanaoamua uwepo wako ndio unatuharibia maendeleo.

Naipenda sana nchi yangu na wala sintaichukia daima ila tunataka kuwepo akili tofauti kwamba sio lazima nitoe Rushwa kwenye haki yangu.

Na huyo anaeomba hana haki kwani walipa kodi ndio wanamlipa
Tubadilike tunahitaji PM atakaewawajibisha ngazi zote na kubadili mfumo wa mazoea na kuweka kapuni kama haoni.
 
Wanaombeza au kukaa kimya basi hawajui uwezo wake huko frontier.

Hana huruma huko anavuna kokoto na anaesimama mbele yake anawamaliza.

US huwa anakuvunja nguvu kwa juu kwanza halafu anatengeneza wa kuja chini

Waafrika wengi kununua midege ya kivita ni ndoto

Zamani uchumi ulikuwa juu kwa sababu ya Muzungu, tukaweza kumudu kidogo.

Kwa mfano F-22 jet ni $350m na F-35 ni $115m

Tukipambana tunaweza
Zinanunulika kama nia na dhati ipo..
 
Hii sasa ni dharau, hivi kagame anaweza kuvuka mpaka na kuja kupigana na tanzania? Hebu aambiwe ukweli tanzania si congo na asijaribu kuvuka mpaka hata sentimeta moja. SADC haikutaka kuichakaza rwanda afahamu hilo
WEWE UNACHEZA NA KAGAME? YEYE JESHI LK LIKO KAZIN MUDA WT WKT HW WENU WAKILA CHIIPS NA KUNENEPEANA,
 
Drone hizo za Tanzania zilinunuliwa kutoka nchi ipi? ni model ipi? zina uwezo upi picha ?
Siyo Kila kitu Cha kijeshi kinaponunuliwa kinafanyiwa maonyesho...vitu vingine ni Siri ya nchi...ngoja nikuambie TU kwa lugha nyepesi.
Aya siyo matanganzo ya biashara ..weye unajua silaa alizonazo Kagame zote....?
 
Back
Top Bottom