Sanda matuta,
nilimaanisha kuwa, huu msemo kuwa kila mtu lazima siku moja acheat, au ni fashion, au, mafiga matatu, au haiwezekani kukaa bila mpenzi, ni misemo ya walio/tulioshatumbukia humo, tunajifariji kwa sauti kubwa kabisa.
Majukwaani tunapotangaza kondomu, baadhi ya madhehebu yanayohubiri kondom na abortion etc.
si kweli kama ni jambo ZURU AU La kawaida kuwa na mpenzi kabla ya kujicomit naye.
Lets agree to leave it at that. (it is a bad deed.)
tunaofanya tunafanya makosa basi. Tumeshindwa kujicontrol, hakuna haja ya kuwatumbukiza na kuwashawishi wengine nao wafanye kama sisi, kwa kuwaambia kwamba there is no other way.
ni kuwatumbukiza humu tulimo ambako ni kwenye uharibifu mkubwa.
Tuwaache walobahatika wasiofanya haya mambo wawe proud wao, kwani they are the ones doing it the better way.
AND THERE ARE A LOT OF THEM.