Raha ya Ubazazi/Cheating!... (?)

Marriage in the GPS age: Tracking cheating hearts

TECHNOLOGY | Checking out your alibi is easier, cheaper than ever with GPS technology that nearly tracks your every move

Comments

May 26, 2009

BY FRANK MAIN Staff Reporter/fmain@suntimes.com
 
Mbona nyumba dogo patakuwa hapatoshi...weweweeeeeeeeee mambo ya tekenologia hayo.
 
[ame=http://www.youtube.com/watch?v=B89EYpTCOM4]YouTube - Girls are well know for cheating[/ame]
Hakikuwa huyu atakuwa jinihasi (Genius) she is a natural talented
 
Aina za Cheating!



AINA ZA KUCHEPUKA (cheating)
Kama wanandoa wapo katika kufanya matengenezo ya damage iliyofanywa na mwanandoa mmoja kuchepuka basi ni muhimu kufahamu kitu ambacho wanashughulika nacho kwani bila kufahamu ni sawa na kumpa mgonjwa wa Malaria dawa za kutuliza maumivu ya meno.
Watu wanaotoka nje ya ndoa wamegawanyika katika makundi makubwa matatu ambayo ni:
1. KUCHEPUKA KWA USIKU MMOJA (one night stand)
2. KUCHEPUKA KWA KUNASWA NA KUFUNGAMANA
3. KUCHEPUKA KWA URAIBU (addiction)
UFAFANUZI ZAIDI:
1. KUCHEPUKA KWA USIKU MMOJA
Mfano mzuri kati Biblia ni namna mfalme Daudi alivyomtamani mwanamke aliyekuwa anaoga (2Samuel 11-12)
Daudi alipomuona yule mwanamke akioga akawaka tamaa, hakuwa na hisia na huyo mwanamke huko nyuma na hata baada ya uzinzi wake.
Hutokea katika jamii ambayo masuala la sex yameilemea, kukosa uadilifu, kukosa nidhamu na kuheshimiana.
Katika modern world ambapo watu wanasafiri (business trips) sana basi cheating za usiku mmoja kwa anandoa zimekuwa nyingi kuliko watu wanavyofikiria hasa baada ya wanawake kuingia kwa wingi katika ajira zinazowafanya wasafiri mara kwa mara.
Hii hutokea kwa kufanya sex kwa usiku mmoja (au mara moja) bila hata kuwa na uhusiano na baada ya sex wahusika hawajuani tena.
Wakishamaliza haja zao kinachofuata ni kumpiga chini huyo mhusika kama vile hawajuani.
Hutokea ghafla kutokana na kushindwa kuhimili tamaa za kimwili au kuwaka kwa tamaa.
Ni rahisi mhusika kurudi kwenye mstari kama vile Daudi alipokuwa confronted na Nabii Nathani aliutubu dhambi yake (2 Samuel 12)
Wanaume au wanawake wa hili kundi akibanwa na kukomaliwa anaacha na kugeuka.
Hii haina maana kwamba cheating kama hii haina damage kwani isiposhughulikiwa vizuri huweza kuzaa affair nyingine.
Kama umefanya affair kama hii na umeficha fahamu kwamba hilo ni bomu ambalo muda wowote linaweza kufumka na kuleta madhala katika ndoa iwe kukosekana kwa ukaribu na partner wako au kujiingiza zaidi kwa mwingine nje ya ndoa.
2. KUCHEPUKA KWA KUNASWA NA KUFUNGAMANA:
Mfano mzuri katika Biblia ni namna Samson alivyonaswa na Delilah (Waamuzi 16).
Hapa cheating huanza kwa mahusiano na urafiki na hatimaye kuwa na uhusiano wa kimapenzi wa kudumu kwa muda mrefu na kuvunja hii bond huhitaji kazi ya ziada.
Hutokea polepole na baadae baada ya urafiki kukomaa kutokana na mazingira ya kufanya kazi pamoja au kuhusiana katika shughuli mbalimbali na kujenga urafiki na mahusiano.
Wanakuwa wame-fall in love kama mahusiano ya ndoa yanavyoanza.
Wanapokuwa pamoja hujikuta wanatimiza lile hitaji ambalo mmoja au wote wanakosa kwenye ndoa zao.
Hapa ndipo tunakuta na neno “nyumba ndogo”.
Huwa kazi sana kuvunja mahusiano kama hayo kwani watu hawa huwa na uhusiano unaohusisha mioyo na hisia zao.
Pia ili kuvunja uhusiano wao lazima mwanandoa ajue “hitaji” ambalo lilikuwa linakosekana nyumbani au katika ndoa hadi mwenzake akanasa kwa huyo mwanamke au mwanaume.
Msemo maarufu wa kingereza ni:
“The hooks in deep and it takes real soul surgery to get it out”
3. KUCHEPUKA KWA URAIBU:
Mfano mzuri katika Biblia ni vitendo vilivyokuwa vinafanywa na watoto wa kuhani Eli (1Samuel 2:22)
Hutokea kwa kusukumwa hisia zake kwa kuwa hana uwezo wa kuhimili emotions ni kama mvuta sigara au mlevi wa pombe.
Haya ni mahusiano tofauti kabisa na kundi la kwanza na la pili hapo juu.
Kwa kuwa ana hisia zinazomsukuma anaweza kuathiri hata maisha yake kwani huwa Huyu huwa na msululu wa partners kila port meli yake inatua au mji.
ladha kutoroka kazi na kujiingiza katika sex haramu kama vile ukahaba, ubakaji, pornography na anaweza kukamatwa na polisi mara kwa mara kutokana na addiction aliyonayo kuhusiana na ngono.
Pia anakuwa na risk kubwa kupata magonjwa ya zinaa (bila kusahau UKIMWI) kutokana na tabia zake, wakati mwingine huuawa kutokana na kuwa violent.
Wakati mwingine anakuwa mwizi, mwongo ili kukamilisha kiu yake (craving)
Pia huendana na tabia chafu na za ajabu zinazohusiana na masuala ya sex kama kubaka, sex kinyume na maumbile, kupigana nk.
Ili kuvunja tabia kama hii huhitaji ushauri (therapy) kutoka kwa mtaalamu wa masuala ya addictions ambaye anaweza kutumia approach tofauti na aina zingine.
NB
Tabia zote zimeelezwa hapo juu ni tabia za mwilini na dawa pekee ambayo inaweza kutoa suluhisho la kudumu KUOKOKA, kujikabidhi kwa BWANA YESU kuwa BWANA NA MWOKOZI wa maisha ya Mhusika.
YESU ANABADILISHA HATA KILE KISICHOWEZEKANA KWA BINADAMU
(Mathayo 19:26, Luka 18:27, Luka 1:37, Marko 10:27, Zakaria 8:6, Yeremia 32:17, Ayubu 42:2 na Mwanzo 18:14)
 
Dalili Kwamba Anachepuka



Dalili za mwanaume anayechepuka
1. ANATUMIA MUDA MWINGI NJE NA NYUMBANI
Huwezi kuwatumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja na kila mmoja ukampa muda sawa, it is impossible.
Wengi huanza kubadilika na kukwepa kuwepo nyumbani na mke wake hata kabla ya affair (astray).
Mwanaume kutumia muda mwingine nje ya nyumbani haina maana kwamba ana-cheat bali inaweza kuwa dalili kwamba ana cheat hasa kukiwa na dalili zingine.
Hata hivyo ukigundua mapema unaweza kuzuia na kuepuka maumivu ya cheating.
Wakati mwingine "hawa wanaume" huwafunga kamba wake zao kwamba
"Nikitaka kutoka nje, naweza hata muda wa kawaida hivyo nikichelewa haina maana na-cheat"
uwe makini na huo usemi kwani ukweli ni kwamba wanaume wengi hutumia muda wa ziada na si muda wa kazi kufanya cheating zao.
Ukiona mume ana dalili za kukwepa kuwepo nyumbani kama ilivyokuwa kawaida, basi inabidi uwe makini na kuchunguza kujua nini kinaendelea.
NINI CHA KUFANYA:
Ni vizuri kukaa pamoja na kujadili pamoja kuangalia kama kuna issues ambazo haridhiki nazo zirekebishwe haraka ili arudi kwenye mstari.
Pia jiulize:
Je, hapo nyumbani kuna amani, heshima, upendo, na utulivu?
Na je, namna unaongea na mume wako kuna respect? Au ni kulalamika, hasira, huzuni na yeye anajiona ni failure na loser?
Inawezekana huko anaenda kunampa kile anakikosa hapo nyumbani au kwako wewe mke.
2. TENDO LA NDOA MARA CHACHE
Kupunguza kwa kiwango cha sex kati ya mke na mume ni dalili mojawapo kwamba kuna kitu hakipo sahihi na mojawapo inaweza kuwa mume anachepuka kwa "yule mwanamke".
Pia unaweza kuijua hii dalili mapema na ukazuia huzuni kutokea katika ndoa yako kwa kupiga gia ya reverse kwa kuongeza frequency za sex kati yako na mumeo.
Wapo ambao ni wajanja zaidi ambao huendelea na sex kama kawaida ili wasishtukiwe hata hivyo kutokana na kuwekeza kwa "yule mwanamke" automatically akiwa na mke wake hamu hupungua na matokeo ni kupungua kwa uhitaji na kiwango cha sex hushuka.
NINI CHA KUFANYA:
Kwanza jiulize swali hili:
Je, kiwango cha sex ni mara chache kuliko kawaida? Kama ni chini ya kiwango ni vizuri wewe mwanamke pia kulianzisha uone nini kinatokea.
Kama mwanamke Jitahidi kutengeneza mazingira ambayo yatakufanya usijisikie kuchoka sana na kama inawezekana unaweza kumuomba mume wako kukusaidia kazi ndogondogo za pale nyumbani.
Pia fikiria ni kitu gani unaweza kuongeza (kipya) ili kuimarisha sex na kama inawezekana mnaweza kwenda nje ya hapo nyumbani kwa ajili ya kuwa na intimacy zaidi.
"Maintaining sexual consistency and frequency is essential for the health of marriage"
3. ANAANZA KUKUKWEPA WEWE MWENYEWE MKE WAKE
Anaweza kukukwepa kwa njia zile mnatumia kuwasiliana iwe mchana au usiku huanza kupunguza.
Unaweza kujikuta simu hazijibiwi, sms hazipewi majibu na mara simu imefungwa.
Kama ana simu ya mkononi anaanza kutembea nayo hadi anapenda kuoga, anapoi-charge kama ni nyumbani basi ataisimamia kama FBI wanaomsimamia terrorist aliyekamatwa kabla ya kujilipua.
Na kuna simu akiipokea No matter what ataenda kuongelea nje au kwenye uchochoro wowote.
Kama upo makini utajua tu something is not right!
Kikubwa zaidi hapendi kuwa na wewe "closer" kitendo hiki hufanya muwe mbali kihisia.
NINI CHA KUFANYA:
Jaribu kuchunguza kama simu unazompigia sinamsumbua kazini au ni jeuri yake tu na ukorofi kwa sababu ya "yule mwanamke"
Ongea naye namna ya kuwa na muda pamoja kwa kila wiki.
Wakati mwingine mpigie simu ya kumpa appreciation kwa ajili ya kitu chochote amefanya badala ya simu za kulalamika na kumfanya ajione failure na loser.
Kama una hints chunguza simu yake ya mkononi na kama huna hints achana nayo kwani hakuna mwanaume anapenda kutembea huku amefugwa video camera usoni kuchunguzwa kila kona anayopita.
4. ANAKUWA CRITICAL
Alikuwa anapenda mapishi yako, unavyoonekana (sura na maumbile), mapenzi yako, namna unapenda bajeti; ghafla from nowhere anaanza kulalamika na kukulaumu kwa kila unachofanya.
Inawezekana tatizo ni yule mwanamke!
Kiti kidogo kikikosewa inakuwa kama kapatia sababu ya kuanzisha mgogoro au vita ya tatu ya dunia.
Wakati mwingine anaweza kuwa mwonezi (harassing)
NINI KIFANYIKE:
Jadili kwa nini mume wako anakuwa critical na wewe muulize kwa upendo bila wewe kuwa critical pia.
Pia jadili kujua tatizo lipo wapi ili lirekebishwe huku wote mkiwa positive.
 
Dalili Kwamba Anachepuka



Dalili za mwanaume anayechepuka
1. ANATUMIA MUDA MWINGI NJE NA NYUMBANI
Huwezi kuwatumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja na kila mmoja ukampa muda sawa, it is impossible.
Wengi huanza kubadilika na kukwepa kuwepo nyumbani na mke wake hata kabla ya affair (astray).
Mwanaume kutumia muda mwingine nje ya nyumbani haina maana kwamba ana-cheat bali inaweza kuwa dalili kwamba ana cheat hasa kukiwa na dalili zingine.
Hata hivyo ukigundua mapema unaweza kuzuia na kuepuka maumivu ya cheating.
Wakati mwingine “hawa wanaume” huwafunga kamba wake zao kwamba
“Nikitaka kutoka nje, naweza hata muda wa kawaida hivyo nikichelewa haina maana na-cheat”
uwe makini na huo usemi kwani ukweli ni kwamba wanaume wengi hutumia muda wa ziada na si muda wa kazi kufanya cheating zao.
Ukiona mume ana dalili za kukwepa kuwepo nyumbani kama ilivyokuwa kawaida, basi inabidi uwe makini na kuchunguza kujua nini kinaendelea.
NINI CHA KUFANYA:
Ni vizuri kukaa pamoja na kujadili pamoja kuangalia kama kuna issues ambazo haridhiki nazo zirekebishwe haraka ili arudi kwenye mstari.
Pia jiulize:
Je, hapo nyumbani kuna amani, heshima, upendo, na utulivu?
Na je, namna unaongea na mume wako kuna respect? Au ni kulalamika, hasira, huzuni na yeye anajiona ni failure na loser?
Inawezekana huko anaenda kunampa kile anakikosa hapo nyumbani au kwako wewe mke.
2. TENDO LA NDOA MARA CHACHE
Kupunguza kwa kiwango cha sex kati ya mke na mume ni dalili mojawapo kwamba kuna kitu hakipo sahihi na mojawapo inaweza kuwa mume anachepuka kwa “yule mwanamke”.
Pia unaweza kuijua hii dalili mapema na ukazuia huzuni kutokea katika ndoa yako kwa kupiga gia ya reverse kwa kuongeza frequency za sex kati yako na mumeo.
Wapo ambao ni wajanja zaidi ambao huendelea na sex kama kawaida ili wasishtukiwe hata hivyo kutokana na kuwekeza kwa “yule mwanamke” automatically akiwa na mke wake hamu hupungua na matokeo ni kupungua kwa uhitaji na kiwango cha sex hushuka.
NINI CHA KUFANYA:
Kwanza jiulize swali hili:
Je, kiwango cha sex ni mara chache kuliko kawaida? Kama ni chini ya kiwango ni vizuri wewe mwanamke pia kulianzisha uone nini kinatokea.
Kama mwanamke Jitahidi kutengeneza mazingira ambayo yatakufanya usijisikie kuchoka sana na kama inawezekana unaweza kumuomba mume wako kukusaidia kazi ndogondogo za pale nyumbani.
Pia fikiria ni kitu gani unaweza kuongeza (kipya) ili kuimarisha sex na kama inawezekana mnaweza kwenda nje ya hapo nyumbani kwa ajili ya kuwa na intimacy zaidi.
“Maintaining sexual consistency and frequency is essential for the health of marriage”
3. ANAANZA KUKUKWEPA WEWE MWENYEWE MKE WAKE
Anaweza kukukwepa kwa njia zile mnatumia kuwasiliana iwe mchana au usiku huanza kupunguza.
Unaweza kujikuta simu hazijibiwi, sms hazipewi majibu na mara simu imefungwa.
Kama ana simu ya mkononi anaanza kutembea nayo hadi anapenda kuoga, anapoi-charge kama ni nyumbani basi ataisimamia kama FBI wanaomsimamia terrorist aliyekamatwa kabla ya kujilipua.
Na kuna simu akiipokea No matter what ataenda kuongelea nje au kwenye uchochoro wowote.
Kama upo makini utajua tu something is not right!
Kikubwa zaidi hapendi kuwa na wewe “closer” kitendo hiki hufanya muwe mbali kihisia.
NINI CHA KUFANYA:
Jaribu kuchunguza kama simu unazompigia sinamsumbua kazini au ni jeuri yake tu na ukorofi kwa sababu ya “yule mwanamke”
Ongea naye namna ya kuwa na muda pamoja kwa kila wiki.
Wakati mwingine mpigie simu ya kumpa appreciation kwa ajili ya kitu chochote amefanya badala ya simu za kulalamika na kumfanya ajione failure na loser.
Kama una hints chunguza simu yake ya mkononi na kama huna hints achana nayo kwani hakuna mwanaume anapenda kutembea huku amefugwa video camera usoni kuchunguzwa kila kona anayopita.
4. ANAKUWA CRITICAL
Alikuwa anapenda mapishi yako, unavyoonekana (sura na maumbile), mapenzi yako, namna unapenda bajeti; ghafla from nowhere anaanza kulalamika na kukulaumu kwa kila unachofanya.
Inawezekana tatizo ni yule mwanamke!
Kiti kidogo kikikosewa inakuwa kama kapatia sababu ya kuanzisha mgogoro au vita ya tatu ya dunia.
Wakati mwingine anaweza kuwa mwonezi (harassing)
NINI KIFANYIKE:
Jadili kwa nini mume wako anakuwa critical na wewe muulize kwa upendo bila wewe kuwa critical pia.
Pia jadili kujua tatizo lipo wapi ili lirekebishwe huku wote mkiwa positive.
 
Hii nimeikuta sehemu embu wadada mjifunze kidogo

Use his nature to work for you, rather than against you. That means negotiating some infidelity if you are not “in the mood.” It does not have to be other lovers: It could be pornography, or a lap dance [at a strip club]. The important thing to remember is that [sex] is your man's strongest, most basic instinct, so [working with it] puts you in a position of immense power in the relationship. It is far better to walk the dog on a leash than let it escape through an unseen hole in the back fence.

[Also], never cross your legs for an extended period without arranging some sort of alternative. Don't let yourself go — there is nothing less valued than a commodity that no one else wants. Always remind him how valuable you are, how popular you are and drop subtle hints that other men still find you desirable. This will take advantage of his biological need to compete.​
 
Take an honest look at your sex life
How would you want him to treat you?
Find small ways to connect with him
 
Nina swali;
Hivi response utakayoonyesha pale unaposalitiwa na GF/BF ni sawa na pale unaposalitiwa na wife/husband?

Nauliza hivi sababu kabla sijaoa nilishaachana na maGF kadhaa pale nilipothibitisha wamenisaliti. Tena haikuwa kaz kumwambia mtu 'basi, kuanzia leo tusijuane tena'. Lakini sasa huwa nafikiria kwa mfano ikitokea siku wife akacheat na nikagundua, hivi itakuwa rahis kumwambia tusijuane? Kwa haraka nahisi itakuwa ngumu, unless awe sugu. Tena nahis akicheat wife, moto mkubwa zaidi nitauwasha kwa huyo aliyecheat naye...
 
Kabla hujaingia kwenye ndoa inabidi ujiulize je ntaweza kumvumilia mwenzangu na mapungufu yake yote?
Ukijibu ndio, basi oa, akikusaliti rudia swali ulilojiuliza kabla ya kuingia kwenye ndoa'Je ntaweza kumvumilia mwenzangu na mapungufu yake yote"?
 
Na ndivyo ilivyo. Tena utegemee kusalitiwa na mkeo, lakini itakuwia vigumu kufanya maamuzi kama hayo....!
 
Nina swali;
Hivi response utakayoonyesha pale unaposalitiwa na GF/BF ni sawa na pale unaposalitiwa na wife/husband?

Nauliza hivi sababu kabla sijaoa nilishaachana na maGF kadhaa pale nilipothibitisha wamenisaliti. Tena haikuwa kaz kumwambia mtu 'basi, kuanzia leo tusijuane tena'. Lakini sasa huwa nafikiria kwa mfano ikitokea siku wife akacheat na nikagundua, hivi itakuwa rahis kumwambia tusijuane? Kwa haraka nahisi itakuwa ngumu, unless awe sugu. Tena nahis akicheat wife, moto mkubwa zaidi nitauwasha kwa huyo aliyecheat naye...
kwa BF/GF inakuwa ni rahisi kusema tusijuane, lakini kwa MUME/MKE inakuwa ngumu kwasababu ya viapo mlivyovitoa mbele ya mungu!
 
Nina swali;
Hivi response utakayoonyesha pale unaposalitiwa na GF/BF ni sawa na pale unaposalitiwa na wife/husband?

Nauliza hivi sababu kabla sijaoa nilishaachana na maGF kadhaa pale nilipothibitisha wamenisaliti. Tena haikuwa kaz kumwambia mtu 'basi, kuanzia leo tusijuane tena'. Lakini sasa huwa nafikiria kwa mfano ikitokea siku wife akacheat na nikagundua, hivi itakuwa rahis kumwambia tusijuane? Kwa haraka nahisi itakuwa ngumu, unless awe sugu. Tena nahis akicheat wife, moto mkubwa zaidi nitauwasha kwa huyo aliyecheat naye...

inatakiwaga uanza na mhucka wako coz aliamua mwenyewe kwa tamaa zake.....
 
Cheating is Cheating,awe BF/GF,MUME /MKE,Rafiki,mtu yeyote.Kaitka vitu nisivyopenda ni kuwa-cheated kwa namna yeyote ile na ndio maana huwa najizuia nisi-cheat wengine.
 
inatakiwaga uanza na mhucka wako coz aliamua mwenyewe kwa tamaa zake.....

Ni kweli lakini unaweza kuta aliyecheat naye anajua kabisa ana mume/mke, lakini akamshawishi. Si dharau hiyo. Kwa mfano mimi mtu akilala na mke wangu nitahisi kama kalala na mimi.. hivyo ajiandae kupambana na moto wake...
 
Kabla hujaingia kwenye ndoa inabidi ujiulize je ntaweza kumvumilia mwenzangu na mapungufu yake yote?
Ukijibu ndio, basi oa, akikusaliti rudia swali ulilojiuliza kabla ya kuingia kwenye ndoa'Je ntaweza kumvumilia mwenzangu na mapungufu yake yote"?

:A S thumbs_up:Mkuu hapa umeongea ukweli cheers :tea:
 
Nina swali;
Hivi response utakayoonyesha pale unaposalitiwa na GF/BF ni sawa na pale unaposalitiwa na wife/husband?

Nauliza hivi sababu kabla sijaoa nilishaachana na maGF kadhaa pale nilipothibitisha wamenisaliti. Tena haikuwa kaz kumwambia mtu 'basi, kuanzia leo tusijuane tena'. Lakini sasa huwa nafikiria kwa mfano ikitokea siku wife akacheat na nikagundua, hivi itakuwa rahis kumwambia tusijuane? Kwa haraka nahisi itakuwa ngumu, unless awe sugu. Tena nahis akicheat wife, moto mkubwa zaidi nitauwasha kwa huyo aliyecheat naye...

Mkuu hapa naona unapotoka. Mkeo ndio una mkataba nae. Huyo mwingine waliomegana nae hayamhusu. Kama mkeo alimwambia hana mume, au wametengana wanangojea kutalikiana? Ushauri mambo ya kukandamiza nje yakitokea ni kuhangaika na mhusika wako na si mtu baki
 
Cheating is Cheating,awe BF/GF,MUME /MKE,Rafiki,mtu yeyote.Kaitka vitu nisivyopenda ni kuwa-cheated kwa namna yeyote ile na ndio maana huwa najizuia nisi-cheat wengine.

Zion Daughter, unfortunately dunia tunayoishi imetawaliwa zaidi na cheating. Ni vizuri uka-avoid kucheat maana siyo tabia nzuri, lakini ishi ukijua kuwa kuna cheating na watu hatupo sawa, nakutahadharisha usije ukazimia siku yakikukuta. Play your part and leave the rest to God.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom