Queenkami:Umeugusa moyo wangu.

Queenkami:Umeugusa moyo wangu.

hongera mshkaj ila umeniwahi kidogo tu,ili umkoleze mtoto ungemuingia na ile style ya kutongoza kilokole,unamtongoza kwa mistari ya bible,atakaa sawa 2...
 
Ngoja nije nitafsiri
ile nipe muda
hiki kitochi kinanisumbua

Nitafsirie kila kitu kwanza ili na mimi nijifunze alafu ntakukubalia kwa kilugha chenu kuonyesha msisitizo.
 
Nilimuuliza;
Huchoki kubeba box🙁
sie tunafurahia home 🙂

akajibu;
mnafurahia nini wakati mmefulia?
Mie napiga kazi
kwa ajili ya badae.


nikamjibu:
he he he he, humkumbuki hata maza ako?
Unanichekesha

akajibu:
mwanamme kuhangaika
nikirudi huko nani atanilipia bills
acha nijitume, ntarudi uzeeni
 
Nilimuuliza;
Huchoki kubeba box🙁
sie tunafurahia home 🙂

akajibu;
mnafurahia nini wakati mmefulia?
Mie napiga kazi
kwa ajili ya badae.


nikamjibu:
he he he he, humkumbuki hata maza ako?
Unanichekesha

akajibu:
mwanamme kuhangaika
nikirudi huko nani atanilipia bills
acha nijitume, ntarudi uzeeni

Kadugaka ndio kuzeeka?

Mnasemaje ndio/nimekubali/sawa/sijui/sitaki/subiri?
 
Nilimuuliza;
Huchoki kubeba box🙁
sie tunafurahia home 🙂

akajibu;
mnafurahia nini wakati mmefulia?
Mie napiga kazi
kwa ajili ya badae.


nikamjibu:
he he he he, humkumbuki hata maza ako?
Unanichekesha

akajibu:
mwanamme kuhangaika
nikirudi huko nani atanilipia bills
acha nijitume, ntarudi uzeeni

You are my hero/heroine.
 
Ndio - nahene
Nimekubali - nakutogagwa
sawa - ehebanga / nichalage duhu
sijui - nhumana
sitaki - njigo
subiri - lembelaga nkoi

itabidi unilipe bwana
Kadugaka ndio kuzeeka?

Mnasemaje ndio/nimekubali/sawa/sijui/sitaki/subiri?
 
Kwanza naomba nianze kwa kukuomba Mr Michael samahani kwa kuchelewa kujibu post nzuri uliyoandika juu yangu,nilitingwa na shughuli,im sorry.

Pili naomba nitoe special thanks kwa Gaijin,Nyani Ngabu,bht,sweetlady,kongosho na wengine wote mlioniongelea kwa kutumia maneno mazuri ya kunipamba.Hamjui kiasi gani mmetia faraja moyoni mwangu na ninaomba mfahamu mmekua na nafasi maalum moyoni mwangu.Mungu awabariki sana wapendwa wangu.

Mr Michael sitampatia jibu lake hapa hadharani kwa sababu :
Kutokana na alivyoniandalia hii post kiheshima naona kama vile nitamuaibisha nikimkatalia hapa nyote mkishuhudia,bora pm.
Pia hata kama ingetokea nimkubalie sitakua na ujasiri wa kukubalia hapa hadharani nitaona aibu.

Kaka Mr Michael anaonekana ni mstaarabu ,gentleman na matured,kama kweli ana nia ya kupata mwenza namuombea kila la kheri na nina amini atapata sawasawa na jinsi moyo wake unavyotamani.

Asante sana Mr Michael for this wonderful thread,I like you too.
I cant stop smilling.
 
Ndio - nahene
Nimekubali - nakutogagwa
sawa - ehebanga / nichalage duhu
sijui - nhumana
sitaki - njigo
subiri - lembelaga nkoi

itabidi unilipe bwana
Wabheja bhabha/mama. . . Lolz

Ntapunguza faida kwenye ule mkopo.
 
Kwanza naomba nianze kwa kukuomba Mr Michael samahani kwa kuchelewa kujibu post nzuri uliyoandika juu yangu,nilitingwa na shughuli,im sorry.

Pili naomba nitoe special thanks kwa Gaijin,Nyani Ngabu,bht,sweetlady,kongosho na wengine wote mlioniongelea kwa kutumia maneno mazuri ya kunipamba.Hamjui kiasi gani mmetia faraja moyoni mwangu na ninaomba mfahamu mmekua na nafasi maalum moyoni mwangu.Mungu awabariki sana wapendwa wangu.

Mr Michael sitampatia jibu lake hapa hadharani kwa sababu :
Kutokana na alivyoniandalia hii post kiheshima naona kama vile nitamuaibisha nikimkatalia hapa nyote mkishuhudia,bora pm.
Pia hata kama ingetokea nimkubalie sitakua na ujasiri wa kukubalia hapa hadharani nitaona aibu.

Kaka Mr Michael anaonekana ni mstaarabu ,gentleman na matured,kama kweli ana nia ya kupata mwenza namuombea kila la kheri na nina amini atapata sawasawa na jinsi moyo wake unavyotamani.

Asante sana Mr Michael for this wonderful thread.
I cant stop smilling.

Habari za kwako Queenkami?
 
QK mbona umeshamkatalia hapa hapa jamvini?
Mr. naniiii pole.
 
Qk umeanza vizuuuuri ila hapo katikati na pale mwisho ukaja kama kuharibu hivi, anywei Mr Mike, ol the best...
 
Back
Top Bottom