Queenkami:Umeugusa moyo wangu.

Queenkami:Umeugusa moyo wangu.

Huuuh! Hujaona nyuzi za kumdondokea FaizaFoxy nini? Zaidi ya moja!

kwa hiyo watu wameniwahi
maana nilikata nipige CHAGULAGA pale kwa FAIZA sasa kama wameniwahi basi bwana maana mie huwa nataka mipingo iliyoshindikana na wengi kumbe tayari pale watu walisha kata kamba bana
 
nhyafu hangi?🙁
Iti giki ya pe gete!! 🙂

Entuzu ulu ung'wela umnho ale namba nhyafu ili giti ung'wela ale nsoga. Sasa lulu akanike kenaka unene nakatogilwe gete. Emazuli nagalota nalekalya....hiiiiii lekaga nkoi. Kanonu gete!!!!
 
Entuzu ulu ung'wela umnho ale namba nhyafu ili giti ung'wela ale nsoga. Sasa lulu akanike kenaka unene nakatogilwe gete. Emazuli nagalota nalekalya....hiiiiii lekaga nkoi. Kanonu gete!!!!
Embu acheni hizo bana. . . .
 
Nakufananisha na desh desh. Ungemtokea tu kwa ID yako ya zamani, au umeogopa ungemuumiza moyo desh desh?
 
He he he he he, heloo maza.
Naseka mpaka nuseselwa maliwa.

huu ni wehu at nth degree.
Entuzu ulu ung'wela umnho ale namba nhyafu ili giti ung'wela ale nsoga. Sasa lulu akanike kenaka unene nakatogilwe gete. Emazuli nagalota nalekalya....hiiiiii lekaga nkoi. Kanonu gete!!!!
 
Sirudii tena,
Ni huyu mchokozi

sasa vipi, unanikuabli ?
Nataka niwe kompetita mzuri sana.
Nitafsirie kila kitu kwanza ili na mimi nijifunze alafu ntakukubalia kwa kilugha chenu kuonyesha msisitizo.
 
Yaani siku hizi humu full kufunguka tu.

Mtu ukiona noma kufunguka na ID yako ya siku zote unakuja tu kivingine.

Mr. Mikael eti kajiunga leo leo na bandiko la kwanza kafunguka moja kwa moja!

umeona hayo maajabu eeh??eti jamaa wa leo leo,thubutu...jmaa afunguke tu na nem yake ya zaman...
 
Back
Top Bottom