- Thread starter
- #21
Vuta subira usubiri kauli yake mwenyewe.
Ni mdada mstaarabu sana.
hapo nilipopigia mstari yaani acha tu,yaani anaonekana ni mstaarabu sana.
Vuta subira usubiri kauli yake mwenyewe.
Ni mdada mstaarabu sana.
sitaki vitu tena nataka mtuWe mbona una haha leo? Au ndo unajipanga kwa ajili ya Valentine?
Btw, nina Barnes & Noble Nook tablet....brand spanking new. Unaitaka? Maana najua unapenda vitu
Mr. Mikael
Huyo huyo Ngabu ndie hasaa anafaa kuwa mshenga. Niamini mimi kaka. Ngabu akisikia kilio chako basi umepita with flying colors
We mbona una haha leo? Au ndo unajipanga kwa ajili ya Valentine?
Btw, nina Barnes & Noble Nook tablet....brand spanking new. Unaitaka? Maana najua unapenda vitu
mimi hujaniona?
hapo nilipopigia mstari yaani acha tu,yaani anaonekana ni mstaarabu sana.
ungekuja tu na id yako mkuu
akikutosa nione hutojuta mkuunakuona bibie usijali.
Kwa jinsi alivyo mstaarabu hata ukipigwa kibuti haitauma.
nifanyie promo mwenzio
Kwa jinsi alivyo mstaarabu hata ukipigwa kibuti haitauma.
akikutosa nione hutojuta mkuu
Mshenga gani unakatisha tamaa!
Hakuna kupigwa kibuti, Mr.Mark ana sifa zote muhimu
kaka kama unaamin kuna mungu nisaidie kusali hiyo kitu hapo bold isitokee.
Sifa zote muhimu kama zipi?Mshenga gani unakatisha tamaa!
Hakuna kupigwa kibuti, Mr.Mark ana sifa zote muhimu
Umechagua lililo jema.
Ngoja tumsubiri aje hapa.
Don't worry my dude. I'll put in a good word for you.
Mshenga gani unakatisha tamaa!
Hakuna kupigwa kibuti, Mr.Mark ana sifa zote muhimu