Queenkami:Umeugusa moyo wangu.

Queenkami:Umeugusa moyo wangu.

Mr.Mikael

Member
Joined
Jan 18, 2012
Posts
43
Reaction score
17
Queenkami mim sio mgeni hapa Jamii Forums maana nikiwa kama guest haikosi siku bila ya mim kufika hapa na kusoma mambo mbalimbali yanayojiri hapa.
Leo imebidi nijiunge ili niweze kukueleza yaliyoko moyoni mwangu.Baby im not a stalker lakini nimekua nikikufuatilia sana tokea siku ya kwanza nilipokuona kupitia post uliyoandika.
Ulokole,upole,heshima na umakini wako kwa kila unachoandika umetia chachu moyoni mwangu kutaka kujua mengi kuhusu wewe.
Mim sio tajiri wala msomi wa elimuya juu sana ila nina degree moja tu na pia nimejiajiri mwenyewe katika biashara inayonipatia mahitaji yangu yote muhimu.
Umri wangu ni miaka 35 na pia ni mlokole ninayeishi jijini Dar es salaam katika nyumba yangu mwenyewe,niko single lakini nina mtoto wa miaka 6 anayeishi na mama yangu.

Baby queenkami iwapo umri wako hauzidi miaka 40,uwe umesoma au hujasoma lkn mwenye kuweza kusimamia biashara iwapo huna ajira,na kama haupo Dar ukubali kuhamia dar na iwapo upo single tafadhali sana baby queenkami naomba unipe nafasi nakuahidi kuwa yule mwanaume ambaye wanawake wote wanatamani wawe nae.

Baby queenkami im not joking, tafadhali nipe nafasi.
:A S-heart-2:
 
Kheeeee!! Queenkami kadondokewa.

Sasa nimeamini kweli chura anapenda maji lakini si ya moto.

Hongera sana Queenkami.

nipigie ndogo ndogo basi kaka si unajua na ugeni huu lazima tu watu waje wanitishe humu.
Kaka nahitaji support yako.
 
Yaani siku hizi humu full kufunguka tu.

Mtu ukiona noma kufunguka na ID yako ya siku zote unakuja tu kivingine.

Mr. Mikael eti kajiunga leo leo na bandiko la kwanza kafunguka moja kwa moja!

Hehehe kisha direct kwenye public sio kwa PM..😀

Kanifurahisha sana 😀
 
Mr. Mikael

Huyo huyo Ngabu ndie hasaa anafaa kuwa mshenga. Niamini mimi kaka. Ngabu akisikia kilio chako basi umepita with flying colors
 
Yaani siku hizi humu full kufunguka tu.

Mtu ukiona noma kufunguka na ID yako ya siku zote unakuja tu kivingine.

Mr. Mikael eti kajiunga leo leo na bandiko la kwanza kafunguka moja kwa moja!

kiongozi mbona hivi vitu vya kawaida tu,mim sio mgeni sema nimejiunga ili niweze kusema yaliyoko moyoni mwangu.
au kuna nilipokosea kiongozi?ujue kama sio mambo haya hata mim na wewe tusingezaliwa na mapenzi yanaanza kwa njia tofauti tofauti.Usijali mkuu take it easy on me im just expressing mu feelings.
 
Yaani siku hizi humu full kufunguka tu.

Mtu ukiona noma kufunguka na ID yako ya siku zote unakuja tu kivingine.

Mr. Mikael eti kajiunga leo leo na bandiko la kwanza kafunguka moja kwa moja!
ahahaaaaa hii ndo jf bwana
 
kiongozi mbona hivi vitu vya kawaida tu,mim sio mgeni sema nimejiunga ili niweze kusema yaliyoko moyoni mwangu.
au kuna nilipokosea kiongozi?ujue kama sio mambo haya hata mim na wewe tusingezaliwa na mapenzi yanaanza kwa njia tofauti tofauti.Usijali mkuu take it easy on me im just expressing mu feelings.
ungekuja tu na id yako mkuu
 
kiongozi mbona hivi vitu vya kawaida tu,mim sio mgeni sema nimejiunga ili niweze kusema yaliyoko moyoni mwangu.
au kuna nilipokosea kiongozi?ujue kama sio mambo haya hata mim na wewe tusingezaliwa na mapenzi yanaanza kwa njia tofauti tofauti.Usijali mkuu take it easy on me im just expressing mu feelings.

Ni kweli jombaa. Kufunguka ndo mpango mzima.
 
Back
Top Bottom