Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,822
- 59,435
Ngoja nianze. . . .poa.
anza kwanza kunitetea hizo shutuma nilizopewa.
Nitarudi baadae mtoto anapiga sana mateke leo.
Ngoja nianze. . . .poa.
anza kwanza kunitetea hizo shutuma nilizopewa.
Nitarudi baadae mtoto anapiga sana mateke leo.
Ooh haya basi kama ni hivyo hamna neno. Nilishtuka tu kuona hivyo nikasema mbona Da'Cheusie anataka kunichafulia wasifu wangu...
Msalimie mwanao mtarajiwa. Mwambie uncle Ngabu can't wait to see him/her.
mnikodi na mie
ntawafanyia bei rahisi
Ahsante kwa kunirahishia kazi.
@Cheusie. . haya mama twende kazi.
ngoja nimalize kutafuna embe langu kwanza,maana mikono imejaa pilipili na chumvi nitachafua keyboard.
Hii kazi kubwa... Queenkami anampenda Nyani Ngabu na Queenkami amependwa na Mr Mikael na hapo hapo Nyani Ngabu anampigia Debu Mr Mikael... Mtihani mkubwa kwa QueenKami...Katika Maisha ya Kimapenzi...
Akienda kwa Nyaningabu ambaye hajastuka kihisia na akienda kwa mr mikael akubali kuwa mama wa Kambo! anyway yote Maisha tu
mkuu sidhani kama hilo ni tatizo.Hii kazi kubwa... Queenkami anampenda Nyani Ngabu na Queenkami amependwa na Mr Mikael na hapo hapo Nyani Ngabu anampigia Debu Mr Mikael... Mtihani mkubwa kwa QueenKami...Katika Maisha ya Kimapenzi...
Akienda kwa Nyaningabu ambaye hajastuka kihisia na akienda kwa mr mikael akubali kuwa mama wa Kambo! anyway yote Maisha tu
hapo nilipobold unamaaiisha nini?
ngoja nimalize kutafuna embe langu kwanza,maana mikono imejaa pilipili na chumvi nitachafua keyboard.
Nimerudi kuwapatia shukrani nyote mlionitia matumaini,Queenkami ameshanipatia majibu yangu kwa njia ya private message lakini nasikitika kwamba siwezi kuwajulisha ni majibu ya aina gani.Hata hivyo nyote mlioniweka katika maombi naweza tu kuwaambia kwamba Bwana hujibu maombi hivyo asanteni sana.Kitakachoendelea kuhusu mim na Queenkami tutawajulisheni pale tutakapofikia katika hatua inayoruhusu kufanya hivyo.
Thanks friends for your support.
Nimerudi kuwapatia shukrani nyote mlionitia matumaini,Queenkami ameshanipatia majibu yangu kwa njia ya private message lakini nasikitika kwamba siwezi kuwajulisha ni majibu ya aina gani.Hata hivyo nyote mlioniweka katika maombi naweza tu kuwaambia kwamba Bwana hujibu maombi hivyo asanteni sana.Kitakachoendelea kuhusu mim na Queenkami tutawajulisheni pale tutakapofikia katika hatua inayoruhusu kufanya hivyo.
Thanks friends for your support.
Hii kazi kubwa... Queenkami anampenda Nyani Ngabu na Queenkami amependwa na Mr Mikael na hapo hapo Nyani Ngabu anampigia Debu Mr Mikael... Mtihani mkubwa kwa QueenKami...Katika Maisha ya Kimapenzi...
Akienda kwa Nyaningabu ambaye hajastuka kihisia na akienda kwa mr mikael akubali kuwa mama wa Kambo! anyway yote Maisha tu
Nimerudi kuwapatia shukrani nyote mlionitia matumaini,Queenkami ameshanipatia majibu yangu kwa njia ya private message lakini nasikitika kwamba siwezi kuwajulisha ni majibu ya aina gani.Hata hivyo nyote mlioniweka katika maombi naweza tu kuwaambia kwamba Bwana hujibu maombi hivyo asanteni sana.Kitakachoendelea kuhusu mim na Queenkami tutawajulisheni pale tutakapofikia katika hatua inayoruhusu kufanya hivyo.
Thanks friends for your support.
nipigie ndogo ndogo basi kaka si unajua na ugeni huu lazima tu watu waje wanitishe humu.
Kaka nahitaji support yako.
Ni kweli jombaa. Kufunguka ndo mpango mzima.
Queen nkami anamzima huyo huyo anaemuomba akupigie ndogo ndogo