Queenkami:Umeugusa moyo wangu.

Queenkami:Umeugusa moyo wangu.

Asema ananienda, anasema hatonitenda anasema anipenda jini jini ananipenda sana.................................x2
 
QK mbona umeshamkatalia hapa hapa jamvini?
Mr. naniiii pole.

dearest lizzy sidhani kama kuna mahala nimemkubalia au kumkatalia.
labda hujanielewa vizuri dear,au labda maelezo yangu yanaonesha hivyo lkn sivyo.
 
Qk umeanza vizuuuuri ila hapo katikati na pale mwisho ukaja kama kuharibu hivi, anywei Mr Mike, ol the best...

sio rahisi kuwa 100% perfect or right.
Naomba uniambie nilipoharibu naweza kurekebisha kama nitaafiki.
 
dearest lizzy sidhani kama kuna mahala nimemkubalia au kumkatalia.
labda hujanielewa vizuri dear,au labda maelezo yangu yanaonesha hivyo lkn sivyo.

Mr Michael sitampatia jibu lake hapa hadharani kwa sababu :
Kutokana na alivyoniandalia hii post kiheshima naona kama vile nitamuaibisha nikimkatalia hapa nyote mkishuhudia,bora pm.
Pia hata kama ingetokea nimkubalie sitakua na ujasiri wa kukubalia hapa hadharani nitaona aibu.

Kaka Mr Michael anaonekana ni mstaarabu ,gentleman na matured,kama kweli ana nia ya kupata mwenza namuombea kila la kheri na nina amini atapata sawasawa na jinsi moyo wake unavyotamani.

Hhhhm. . ,
Basi mi nimeelewa visivyo. . .
 
Kwanza naomba nianze kwa kukuomba Mr Michael samahani kwa kuchelewa kujibu post nzuri uliyoandika juu yangu,nilitingwa na shughuli,im sorry.

Pili naomba nitoe special thanks kwa Gaijin,Nyani Ngabu,bht,sweetlady,kongosho na wengine wote mlioniongelea kwa kutumia maneno mazuri ya kunipamba.Hamjui kiasi gani mmetia faraja moyoni mwangu na ninaomba mfahamu mmekua na nafasi maalum moyoni mwangu.Mungu awabariki sana wapendwa wangu.

Mr Michael sitampatia jibu lake hapa hadharani kwa sababu :
Kutokana na alivyoniandalia hii post kiheshima naona kama vile nitamuaibisha nikimkatalia hapa nyote mkishuhudia,bora pm.
Pia hata kama ingetokea nimkubalie sitakua na ujasiri wa kukubalia hapa hadharani nitaona aibu.

Kaka Mr Michael anaonekana ni mstaarabu ,gentleman na matured,kama kweli ana nia ya kupata mwenza namuombea kila la kheri na nina amini atapata sawasawa na jinsi moyo wake unavyotamani.

Asante sana Mr Michael for this wonderful thread,I like you too.
I cant stop smilling.
Asante sana Q'kami, nafurahi vile umekuja manake angalau Mr. Mikael atapata faraja, tumefanya kazi kubwa sana kumtia moyo! Ubarikiwe pia mpendwa.
 
Huyu Mr. Mikael mbona analeta uzembe....ntampunguzia points mimi.

usimpunguzie point si unajua wewe ukizipunguza point zake zitapungua kweli,
tumvutie subira labda katingwa,nilitamani awepo hapa japo tuchat kidogo au sijui ndo yuko nervous.
 
Asante sana Q'kami, nafurahi vile umekuja manake angalau Mr. Mikael atapata faraja, tumefanya kazi kubwa sana kumtia moyo! Ubarikiwe pia mpendwa.

nimeona,lazima huko alipo atakuwa anawashukuru sana.
 
Back
Top Bottom