Baada ya kuagizwa na waziri mkuu#HABARI BODI ya Maji Bonde la Wami/Ruvu imemkamata mkulima mkubwa raia wa China anayefanya kilimo cha umwagiliaji Kijiji cha Kidogozelo Kitongoji cha Migudeni wilayani Chalinze akivuta Maji katika Mto Ruvu kwa kutumia mashine yenye uwezo wa kuvuta maji Lita milioni moja kwa saa.
Nipashe
Siku zote walikuwa hawamuoni?Huyo mwekezaji wa mbogamboga angekuwa awamu ya Mobutu kule Zaire angepewa kesi ya uhujumu uchumi na utakatishaji wa fedha😂😂
Kwa mujibu wa taarifa za mamlaka ya bonde Wami/ Ruvu ni kwamba yule mchina aliyekamata akichepusha maji ya mtu Ruvu kwa shughuli za umwagiliaji mashine ( pump) yake ina uwezo wa kuvuta Lita milioni moja ( 1,000,000) kwa saa.
Haya maji ni mengi sana, hongera Juma Awesu.
Uzalishaji wa maji ulishuka kutoka Lita milioni 520 hadi 350.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Such important infrastructure hailindwi? Mim sielewi hilo, kumbe t unaweza Kunuea sumu eneo halina ulinzi??!!!!Kwa mujibu wa taarifa za mamlaka ya bonde Wami/ Ruvu ni kwamba yule mchina aliyekamata akichepusha maji ya mtu Ruvu kwa shughuli za umwagiliaji mashine ( pump) yake ina uwezo wa kuvuta Lita milioni moja ( 1,000,000) kwa saa.
Haya maji ni mengi sana, hongera Juma Awesu.
Uzalishaji wa maji ulishuka kutoka Lita milioni 520 hadi 350.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
SWALI LA KIJINGA SANA- SAMAHANI LAKINI KWA KUTUMIA NENO KIJINGASiki zote mlikuwa wapi
Hapo sasa ndiyo watu wanajiuliza kuwa inakuwaje watu wanavunja sheria na viongozi husika wapo na wanalipwa mamilioni ya fedha.Siki zote mlikuwa wapi
Hao ndiyo marafiki zetu wa damu na shida na rahaHawa si ndio wawekezaji mnaolilia kila siku waje wawekeze ama nini?
Serikali inajua kabisa na hilo wanalitoa kuanua ngoma juani na tutaona mwisho wakeKwa mibomba hiyo hawezi kuwa hana vibali vya kutumia hayo maji,wasitafute mtu wa kumuangushia jumba bovu
Hamna ubavu wa kuwarudisha makwao wakati mikopo yao na misaada mnaukubali.Hao washenzi wanatakiwa warudishwe kwao serikali inakosea sana kuwaruhusu kujazana hapa kwetu.
Tuanze na waliompa vibaliSiki zote mlikuwa wapi
Nch imeoza inaongozwa ma Samia, labda yuko Europe shoppingHapo sasa ndiyo watu wanajiuliza kuwa inakuwaje watu wanavunja sheria na viongozi husika wapo na wanalipwa mamilioni ya fedha.
Huyu jamaa amerithi uongouongo wa serikali iliyopita ndio maana inawachukua vigumu sana wananchi kuelewa kipi ni ukweli au uongo.
Tell your president to sort out the mess she is creating u idiot. Magufuli is a saint.Huyu jamaa amerithi uongouongo wa serikali iliyopita ndio maana inawachukua vigumu sana wananchi kuelewa kipi ni ukweli au uongo.