kichina

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kilimi

    JamiiForums Tanzania Nafasi 10 za kazi kwa watafsiri wa kichina na 10 kwa wapishi wa kichina

    naitaji watu 10 ambaye yupo tayari kufanya kazi KIBAHA na DSM kwa nafasi ya mtafsiri wa kichina na 10 mpishi wa kichina anaeweza kupika vyakula vya kichina (certified) -uzoefu wa miaka 2 au zaid tuma cv 0657392242
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kuna ukweli biashara ya kubeba mizigo kwa kirikuu imeyumbishwa na maguta ya Kichina

    Hapo zamani biashara hasa za hardware walikuwa wanatumia sana kirikuu kubeba cement, mabati, nono, n.k. lakini sikuhizi tunazidi kuona kasi ya maguta yakichukua nafasi hii wafanyabiashara wanaoenda kununua vitu kama maduka makubwa nao hawachezi mbali wameanza kuyaelewa maguta Pia kirikuu...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi wa kike nchini Tanzania wafuata ndoto zao kwa kujifunza lugha ya Kichina

    Shule ya Sekondari Zanaki jijini Dar es Salaam, shule ya wasichana inayomilikiwa na serikali ya Tanzania, mwanafunzi wa kike anayeitwa Rosemary Thadei Mushi anasimama mbele ya wanafunzi wenzake, akiwaongoza kwa umakini jinsi ya kutamka maneno ya Kichina kwa kufuata lafudhi sahihi. Katika...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Muziki waunganisha tamaduni katika shindano la kuimba kwa Kichina nchini Afrika Kusini

    Wanafunzi vijana kutoka kote Cape Town, nchini Afrika Kusini, walileta nguvu na shauku kubwa katika sherehe ya utamaduni wa Kichina siku ya Jumamosi, wakati Taasisi ya Confucius katika Chuo Kikuu cha Cape Town (CIUCT) ilipoandaa Shindano lake la tano la Kuimba kwa Kichina, ikiangazia wazo kwamba...
  5. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Je, kuna nchi inazidi China kwa miundombinu ya kuvutia?

    Hivi duniani kuna nchi ina mind-blowing infrastructure kushinda China Barabara na highways Reli (railway systems) Viwanja vya ndege (airports) BRT system Train stations Bandari (ports & harbours) Nishati (energy infrastructure) Maji na usafi (water & sanitation) Mawasiliano...
  6. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Je kuna faida kujifunza Kichina?

    Hivi kuna faida ya kujifunza Kichina? Maana naona sikuhizi kuna translators kibao kwenye devices zetu, kuna AI zinasaidia kwa kiasi kikubwa kurahisisha mawasiliano mpaka kuna muda najiuliza kama kujifunza Kichina ni worth it anymore Je kuna faida gani ya kujifunza kichina, 2026? Au hakuna...
  7. amarina

    JamiiForums Tanzania Nataka nimshauri Niffa(mfanyabiashara za kichina na kikorea.)

    ukiwa unafanya biashara yako tangaza lakini ukifanya ibada na kuuonyesha umma unakosea. Niliona kavidi kakitrend ukionyesha sehemu yako ya kuswalia, macho yangu yalitua kwenye ramani nyashi, kifupi ni kama unajidhalilisha tu
  8. Yoyo Zhou

    JamiiForums Tanzania Watalii wa kimataifa wajiunga na sherehe ya Mwaka Mpya wa Jadi wa Kichina nchini China

    Sikukuu ya Mwaka Mpya wa Jadi wa Kichina inakaribia. Siku hizi katika mitaa na vichochoro nchini China, kuna wageni wengi ambao wamekuja China kujionea na kupata uzoefu wa sikukuu hiyo muhimu sana kwa Wachina. Sikukuu ya Mwaka Mpya wa Jadi wa Kichina imekuwa kivutio kipya cha China kwa watalii...
  9. L

    JamiiForums Tanzania Karai na ndoto: Vijana wa Tanzania wakumbatia sanaa ya mapishi ya Kichina

    Katika jiko lenye shughuli nyingi katikati mwa jiji la Dar es Salaam, milio ya visu vigonga ubao wa kukatia ilijaa hewani. Katikati ya mvuke na sauti za makarai, Ruth Washima Seni, mwanafunzi kijana wa Tanzania anayesomea mambo ya huduma, anajaribu kukata viazi kwa usahihi, vipande vyembamba...
  10. X

    JamiiForums Tanzania Canada na Ufaransa zawalilia wawekezaji wa Kichina kuwekeza kwenye mataifa yao

    Mwaka 2024 Canada ikishinikizwa na Marekani iliweka ushuru wa 100% kwa magari ya umeme ya China kama ilivyofanya Marekani. The table has turned, hivi karibuni Waziri Mkuu wa Canada Mark Carney alikuwa na ziara nchini China. Katika ziara hiyo alifungua milango ya kibiashara kati ya mataifa hayo...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Sababu mfumo wa Kichina wa Chama kimoja hauwezi kufanikiwa Tanzania?

    Kuna watu wanajidanganya CCM kwamba chao chao na Tanzania ifuate mfumo wa Kichina badala ya mfumo wa kidemokrasia. Ukweli ni kwamba mfumo inabidi uendane na jamii. Sasa tujiulize kama haya yanawezekana. au la. Kwa mawazo yangu haiwezekani kwenye jamii ya Watanzania kwasababu chache tu 1. Jamii...
  12. I

    JamiiForums Tanzania Mtambo wa Kichina wa kurusha makombora walipuka na kuua wanajeshi 8 wa Cambodia.

    https://www.instagram.com/reel/DSuT14MCbJf/?igsh=ZnBzOGh3bGhpOW51
  13. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wapishi wa Kenya wavutiwa na mapishi ya Kichina wakati uhusiano wa kitamaduni ukishamiri

    Kama ambavyo tunafahamu, China nan chi za Afrika zimekuwa na ushirikiano na uhusiano unaogusa pande nyingi, ikiwemo elimu, kilimo, sayansi na teknolojia, biashara na uchumi, pamoja na masuala ya kitamaduni. Kupitia Taasisi za Confucius zilizoko nchi mbalimbali za Afrika, elimu ya lugha na...
  14. Joseph 44

    JamiiForums Tanzania PS4 yangu ya Kichina haikubali akaunti yangu, naomba msaada kutatua tatizo

    Kama uzi unavyojieleza ni kuwa nina ps4 slim yangu mpya ya kutoka china sasa kuna siku nimeamua ni sign in kwenye account yangu ya marekani sasa cha ajabu kila nikisign in inaandika "cannot use this account with this ps4" nimeshindwa kabisa kuelewa nimejaribu kucreate account mpya lakini...
  15. L

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi wa Kenya wapata ufadhili wa kusoma lugha ya Kichina nchini China

    Lugha ya Kichina imeendelea kupata umaarufu katika nchi mbalimbali duniani, na imekuwa ni chaguo kwa vijana wengi ambao wanaona faida yake katika soko la ajira. Shule nyingi duniani hasa za barani Afrika zimejumuisha lugha hii kwenye mitaala yao ya masomo, ikionyesha jinsi ambavyo lugha hii...
  16. K

    JamiiForums Tanzania Picku za kichina (jmc& cannon) zinaubora gani au changamoto ipi?

    Jamani haya magari ya pickup ya kichina yanasifa zipi bora au sifa mbay ukilininagshia na hilux au isuzu au pickup zingine sokoni?
  17. BUSINESS IDEAS ACADEMY

    JamiiForums Tanzania Karibu Tujifunze Kichina (Chinese to Swahili, Chinese to English, English to Chinese, Swahili to Chinese)

    Karibu kwenye uzi huu maalum wa kufundisha lugha ya Kichina (Mandarin). Kupitia uzi huu, CHUO CHA MAWAZO YA BIASHARA tutakuwa tukifundisha lugha ya Kichina hatua kwa hatua kuanzia mwanzo hadi mwisho. Tutapitia mambo yafuatayo: 1. Utangulizi wa Lugha ya Kichina: alfabeti ya Kichina (Pinyin)...
  18. britanicca

    JamiiForums Tanzania Mali za mtoto wa Rais, Abdul Hassan zimeandikwa kwa Majina ya China Xiping yang Chan Tc Milestone Ltd. Kampuni ya Kichina iliyopo Tanzania

    Machine kadhaa na magari mfano ile Rolls Royce yenye insurance ya Sh.55,000,000 ni mali ya Abdul. Ameiandikisha kwa China Xiping yang Chan Tc Milestone Ltd. Kampuni ya Kichina iliyopo Tanzania. Nchi inamegwa halafu wanaweka majina ya Wengine Britanicca
  19. McLaren

    JamiiForums Tanzania Kwenye kampuni hii ya Kichina ukiwa na msongo wa mawazo unapewa "likizo ya kutokuwa na furaha"

    Yu Donglai, mwanzilishi na mwenyekiti wa kampuni ya Pang Dong Lai, hivi karibuni ametambulisha sera mpya ya kazi anayoita “likizo ya kutokuwa na furaha.” Kupitia sera hii, wafanyakazi wanapewa uhuru wa kuchukua mapumziko wakati wowote wanapojisikia wamechoka, wamesongwa na mawazo, au...
  20. Chakorii

    JamiiForums Tanzania Ni wapi kwa Arusha ninaweza kujifunza lugha ya kichina?

    Habari za jioni wapendwa.ninatumaini nyote mpo salama. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wakuu.naombeni msaada wenu tafadhali.Mahali pawe ni Arusha. Ninatanguliza shukrani za dhati🥂.
Back
Top Bottom